Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Why are you puzzled? Did I startle you? Oh well! You didn’t see that coming? Of course you didn’t! It was just a kiss, right there! A quick, soft and tender You still wonder What was...
1 Reactions
20 Replies
3K Views
Wakuu ningependa kujuzwa chanzo cha maneno kama hayo yenye je mwishoni.Nasikia wengi wanatumia huo mtindo siku hizi.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Msomaji mwenzangu: Naomba unitegee sikio. Hapa Ulaya kamusi za matusi na maneno yenye sifa mbaya ziko madukani. Niwie radhi kama maoni yangu hapa yanazua karaha hata iwe kidogo miongoni mwenu...
0 Reactions
16 Replies
33K Views
tofauti ya maneno haya 1 ""sikia"" na ""sikiliza"" 2 ""aibu"" na ""haya"" 3 "shabaha" na "lenga" 4. "legelege, goigoi na mzembe"
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Nywele zina majina mengi,yakiwamo1.ndevu......2.sharubu.........3.malaika.........4.sharafa..........5.
0 Reactions
9 Replies
8K Views
Kwa wapenzi wa literature je mnafahamu kuwa vitabu vitatu vya Chinua Achebe Things fall apart,an arrow of God na no longer at easy ilikuwa ni sentensi moja ambayo aliitoa vitabu vitatu?ni kama...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Naomba kujuzwa maneno haya kwa kiswahili maana lugha yetu hii ni changa lakini tata baada ya kuathirika kwa nchi yetu kutufundisha kwa kutumia mitaala na lugha za nje; 1. Neno diploma 2. Advanced...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Judi nijibu swali, kwa nini unaitwa 'Misi'? Ni mwembamba yako hali, au mrembo tausi? Ulimi wako asali, wa tamaa kama fisi? Ni kweli wewe ni 'Misi', nijuze mie rijali. Pichani sio kigoli, iweje...
0 Reactions
30 Replies
4K Views
Kama neno hili ni tafsiri ya neno la Kiingereza "Plain cloth police officer", je hili vazi "KANZU" linahusianaje/linalandanaje na kutokuvaa sare?
0 Reactions
3 Replies
7K Views
Nilipata wakati mgumu nilipokuwa Mtwara mwaka jana hasa katika matumizi, matamshi na maana ya baadhi ya maneno ya kiswahili. Ila maana ya neno "kugoma" ilinitatiza sana na ilinichukua muda...
0 Reactions
19 Replies
5K Views
Misemo yenyewe ni hii niliyobold red Person1:Thank you for your help. A) Person2: You are welcome. Person1: I got A in Maths B) Person2: Good for you. Msemo A, nafikiri kumjibu hivyo person1...
0 Reactions
12 Replies
10K Views
Niondoleeni ukusi ukusi wa mawazo. Fasihi simuliz iliyoandkwa 2iteje?
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Naomba mashiko ju ya udhaifu wa nadharia ya vikundi virai kwamba ilikua ya kinadharia zaidi kuliko ilivyotakiwa kua. 1. Kwa nini ilikua ya kinadharia? 2. Ilitakiwa iweje?
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Ndungu wanajamii. mie bado sijaelewa sera yetu ya elimu kuhusu utumiaji wa lugha mbili za kiswahili na kiingereza hivi kwa changamoto za dunia ya leo,za utandawazi na soko huria ni lugha gani...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Ndugu waswahili wenzangu maneno haya yanayohusu wakati nashindwa kuyatumia ipasavyo na mwenye uelewa wa kutosha naomba anielimishe; alfajiri,asubuhi,mchana,adhuhuri,jioni,alasiri na usiku.kwa...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Habarini, Nataka kujua neno hili linatamkwa vipi kwa kiswahili?
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Hivi hii tafsir ya Mozambique ilitoka wapi na kuwa Msumbiji? Sasa Kenya itakuwa nini kwa kidhungu? Au neno Zanzibar ni kiswahili kweli?
1 Reactions
34 Replies
7K Views
Habari zenu? Nmekutana na baadhi ya watu wakitamka haya maneno... 1-Msa=Musa. 2- Mk*ndu=Mwekundu. 3- Mwananke= Mwanamke. 4- Leli=Reli. 5- Reri= Reli. 6-...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Nimekuwa nikifuatilia matangazo ya TBC1 wamekuwa wapenzi sana wa wa kutumia neno habari mpasuko. Sijui wamepata wapi kiswahili hiki? Nionavyo kuna makosa. Ilipaswa watumie 'Habari motomoto'...
0 Reactions
56 Replies
9K Views
Wana jf, naomba mnisaidie ufafanuzi wa neno KARAMU na KALAMU. Kwa kweli maneno haya yananichanganya sana.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom