Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Tofauti ya Mwizi na Tapeli ni nini?
0 Reactions
3 Replies
733 Views
Ndugu zangu kuna Msukuma anakijua vizuri zaidi basi please: Umo wing'we anambeleje kutafsiri Lugano lwenulu na mambo gose du. Tusaidiane tafadhali wasukuma. Nitumie tafsiri yake kupitia...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Moja ya maneno ninayoyaona sana yakitumika na baadhi ya watu mitandaoni hata baadhi ya wasanii pia...!! DAMSHI PAMBE TUNUNU CHUCHUNGE TUKINAO
2 Reactions
29 Replies
19K Views
My dear Tanzanian compatriots, my fellow JF companions, it is with great eloquence and fervor that I implore you to eschew your linguistic provincialism and embrace the vast expanse of the English...
10 Reactions
41 Replies
4K Views
It is with great erudition and lexical dexterity that I make the assertion that Diamond Platinumz, the prodigious Tanzanian musician, should consider transitioning to singing in English. While it...
2 Reactions
14 Replies
1K Views
Imeibuka kasumba kwa wanaume nao kuiga misemo ambayo kusema kweli inatia ukakasi haiwezekan mwanaume na wewe unatumia neno tyuuu aisee tuangalie baadhi ya maneno sio kila kitu tunaiga binafsi...
2 Reactions
60 Replies
8K Views
"In humans (homo sapiens): The storytellers control the world, Of course, each of us free to tell stories."
1 Reactions
3 Replies
606 Views
Habari zenu wakuu? Kuna hili swali Huwa najiulizaga muda mrefu sipatii jibu pengine hapa naweza pata ufahamu! Nilipenda kujua muwa ni nini he ni tunda, kinywaji, mboga, nyasi au nini? Asanteni
6 Reactions
28 Replies
5K Views
Hizi ni 'brand zenye hati miliki ya kitanzania' Vitumbua, chapati, makange, ugali, kachumbali, mtori, "ebyenshoro(wahaya)", "enumbu", "ensharazi", "amakongo", "entutunu", "ebila", "ebitomasi"...
7 Reactions
42 Replies
3K Views
Wajuvi wa lugha mnisaidie,kwakuzingatia mzizi wa neno,kitenzi na matamshi upi ni usahihi wa maneno au sentensi hizi: Onyesha-onesha Kaka wake-kakaake Hajala-hajakula Hajaja-hajakuja NB...
2 Reactions
4 Replies
869 Views
Ujue kwenye hii dunia Lugha ya mawasiliano Worldwide is English ila sisi Tanzania tunaendekeza sana Kiswahili. Watu tukienda huko nje tunashindwa vingi coz our English ni poor kabisa mm ningekua...
0 Reactions
6 Replies
831 Views
'Otherwise these is absolutely rubbish;' by PhD Holder and JamiiForums Great Thinker dr namugari Tafadhali Wordsmiths Wengine akina jiwe angavu na Division One Mimi GENTAMYCINE nataka Kukijua...
6 Reactions
11 Replies
1K Views
Hakuna maana yoyote ya kijinadi kama taifa la Kiswahili kama kwenye vyombo vyetu vya habari vinakuwa na makosa mengi kwenye matamshi ya Kiswahili. Au la basi mmoja wa Watangazaji anayekidhi...
0 Reactions
0 Replies
584 Views
Wasalaam wana bodi! Ndg zangu nimesikitishwa sana na ukimya wa waziri wa sanaa, utamaduni ,michezo na burudani ndg Nape Mnauye kwa kutokuona jinsi lugha adhimu ya kiswahili kinavyoharibiwa na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wana JamiiForums naomba msaada wa kujua nini maana ya neno MSHUA. Wakati gani hutumika, mazingira gani husika, jinsia gani hutumia na ni muhusika ni nani hasa anapaswa kuitwa MSHUA. Hovi karibuni...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Straight to the point;- Nauliza, " Usambe" ni nini?" [emoji848]
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Je mwigulu nchemba alipaswa kuwa wziri wa pesa au waziri wa fedha? Au utafauti wake ni Nini na kwa nini asiitwe waziri wa pesa.
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Habari. Naomba msaada zaidi, Kwa Dar es salaam, ni wapi naweza kujifunza lugha ya "SPANISH ". Na gharama zake kwa ujumla.
1 Reactions
1 Replies
817 Views
Mara kadhaa nimemsikia Mtaalamu wa Lugha Bw Oni Sigala akitoa ufafanuzi au maana ya maneno mbalimbali ya Kiswahili baada ya kuulizwa na Mtangazaji. Mimi sio Mtalamu wa lugha hii ila ni...
2 Reactions
3 Replies
2K Views
Hivi kwanini mtu akija huku Dar anapenda lafudhi ya kiswahili chetu? Yaani unakuta mtu anaiga kabisa ule uongeaji sijui na yeye aonekane kazaliwa huku? Sasa kibaya zaidi anavyoongea ni hovyo...
21 Reactions
66 Replies
10K Views
Back
Top Bottom