Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Mara kadhaa nimemsikia Mtaalamu wa Lugha Bw Oni Sigala akitoa ufafanuzi au maana ya maneno mbalimbali ya Kiswahili baada ya kuulizwa na Mtangazaji. Mimi sio Mtalamu wa lugha hii ila ni...
2 Reactions
3 Replies
2K Views
Hivi kwanini mtu akija huku Dar anapenda lafudhi ya kiswahili chetu? Yaani unakuta mtu anaiga kabisa ule uongeaji sijui na yeye aonekane kazaliwa huku? Sasa kibaya zaidi anavyoongea ni hovyo...
21 Reactions
66 Replies
10K Views
Tafsiri sisisi [ Literal translation] Hii ni aina ya tafsiri ambayo maneno hufasiriwa yakiwa pweke pweke kwa kuzingatia maana za msingi katika lugha chanzi bila kujali sana muktadha (Mwansoko na...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nikiwa mtoto nilikua nikisema shikamoo kwa upesi sana lakini kadri navyozidi komaa kiakili napata ugumu wakulisema pale napokutana na watu walionizidi umri. "Shikamoo" ni neno la kiswahili sanifu...
1 Reactions
14 Replies
3K Views
Habarini wadau, Mimi ni mdau nilie kwenye utaratibu wa kurejeshwa kazini. Nina barua yenye check namba..... inanitaka niombe kazi nionapo tangazo limetangazwa ili niweze kurejeshwa upya kwenye...
0 Reactions
0 Replies
653 Views
Kiswahili ni lugha ambayo imetokana na Kiarabu na Kibantu na maneno mengine machache yaliongezeka kidogo kidogo kutoka lugha zingine za Afrika, Uropa na Asia. Kabla ya kuja wakoloni wa ki Uropa...
8 Reactions
250 Replies
42K Views
Kumekuwa na kasumba ya watendaji wakuu wa serikali kutoa maelekezona majibu kwa kutumia lugha ya kiingereza na kiswahli, Hali hii imepelekea wananchi wengi kubaki wasikilzaji wa sauti pasipo...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Siku ya Kimataifa ya Lugha ya Alama, inayojulikana pia kama International Day of Sign Languages, husherehekewa kila mwaka tarehe 23 Septemba. Siku hii ilianzishwa na Umoja wa Mataifa ili kuongeza...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Nimeona likitumika mahali kadha wa kadha, asili ya ili neno bosheni ni nini? Na maana yake ni nini?
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Ukifika mitaa ya Mbezi mwisho ukiulizia mkalimani Clark huwezi nikosa kabiiiiiisa Ni Mimi mtaalamu wa lugha ninayeweza kuongea Hadi lugha tano 😌 Leo tunaanza na salamu za asubuhi...
1 Reactions
3 Replies
576 Views
Kwa anaye kielewa anijuze. Wakenya wanaharibu sana lugha yetu. Kurasa za mitandao ya kijamii ya bbc imegubikwa na Kishwahili kibaya sana(kisicho fasaha). Ili nalo likatazamwe!
10 Reactions
29 Replies
3K Views
Naona hili ni tatizo kubwa sana kwa watangazaji wetu wa vituo vyote vya redio kuanzia redio ya taifa mpaka vituo vidogo vya redio linapokuja jina lenye asili ya kijerumani matamshi yanakuwa ndivyo...
17 Reactions
52 Replies
3K Views
Mara nyingi nasikia Pembe za Ndovu na meno ya Tembo na sio vice versa je tofauti yake ni nini? Naombeni mnisaidie kwa hili.
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Hili ni gazeti la lugha ya kiingereza la leo 12/09/2023 kutoka Tanzania! Kichwa cha habari ni sahihi? Najua ujumbe kusudiwa umefika! Najua ni makosa ya kibinaadamu! Tatizo wakenya wataanza...
1 Reactions
46 Replies
4K Views
Huyu dada anaimba lugha gani. Na wimbo una maanisha nini? Nyimbo amabazo anacheza huku amesimama ninazo pia ila mpaka ulipie hela
0 Reactions
0 Replies
478 Views
It was July 2022, I woke up early in the morning the rays of sunlight was brightly shining like a pieces of broken glass exposed to the sunlight...
0 Reactions
1 Replies
426 Views
Kuna tofauti gani iliyopo kati hizo terms hapo huwa zinanitatiza.Kwenu JF
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Nanukuu "wakenya mnakiswahili kibaya inatakiwa mpewe darasa la kiswahili"- Samia s. Hassan "Sisi ndio tunakiswahili kibaya ila tunawajibu kwa kiswahili kibaya na watanzania mnatujibu kwa...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
NANI ATANGULIE Kifo hakina chaguo, chabeba kimtakae Wawili wapendanao, mke mume kichukue Na hata kwa mkupuo, bora kifo kiamue Ni nani atangulie, kati ya mke na mume? Mke ndiyo kimbilio...
0 Reactions
7 Replies
633 Views
Back
Top Bottom