Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Pesa si matumaini yao Ni msukuma mkokoteni Tena na jua kali kichwani Pato lake sio ahueni Pesa si matumaini yao Ajabu mwajiriwa tajiri Na mwajiri wake ni fakiri Analipa, kipato swaghiri Pesa si...
0 Reactions
0 Replies
330 Views
Habari za mda huu wakuu. Kwanza kabisa nikiri kuwa asiyekubali kujifunza hafai kuishi katika dunia hii ya mabadiliko, Leo katika pitapita zangu nikaona jengo flani ivi limeandikwa MINI SUPER...
3 Reactions
13 Replies
1K Views
Siku hizi kuna msemo maarufu sana wa 'pira papatu papatu', wengi hawaelewi asili ya msemo huu. Msema huu asili yake mchanganyiko wa struggles za na sauti zitokanazo na samaki anapokua akirukaruka...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari za asubuhi wana JF, Nimekuja humu nina shida ndogo maana penye wengi pana mengi nimehamia nyumba fulani hapa jijini wenye nyumba ni wahaya hawa watu wakiniona nimerudi wao ni kihaya tu...
1 Reactions
37 Replies
23K Views
ATI HATUJIELEWI Hatujishughulishi Na mnatujaji Hatuna mitaji Nyie wafujaji Manayajaza matumbo yenu Mtumba mitumbani Tunalipa kodi Bila ukaidi Nyie mwafaidi Mazingira yetu bado duni Shamba ni...
0 Reactions
1 Replies
668 Views
High Court Judgement "I hereby quash the entire proceedings and judgment of the lower tribunal for being nulity, Everything in ownership of the disuputed plot remains as if there was no case...
2 Reactions
24 Replies
2K Views
Hili neno lina maana gani wakuu?
0 Reactions
10 Replies
13K Views
Wapi naweza kujifunza lugha ya Kichina? Nipo Dar es Salaam
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Good afternoon members (sijui kama nimepatia 😂 ) Kuna sehemu imeandikwa Received from / issued to. hapa unaweza kuandika bidhaa flani imeletwa kutoka stoo ama naandika majina ya wateja...
2 Reactions
20 Replies
1K Views
Wadau hamjamboni nyote? Kichwa cha habari chahusika Naombeni tafsiri sahihi kwa kiswahili ya sentensi I saw him leaving the house Aksanteni na karibuni
2 Reactions
13 Replies
1K Views
Mwathirika na Mhanga. Mwathirika ni ama mtu anayepatwa na jambo linalomsababishia madhara bila ya yeye kukusudia au mtu anayefuata tabia na mienendo ya mtu mwingine. Hivyo, dhana hii inaweza kuwa...
2 Reactions
2 Replies
567 Views
Naitwa Kalemera Rwigyema Mazimpaka Kadogoo Kisungura GENTAMYCINE (anayejitambulisha hivi ndiyo inadaiwa yuko sahihi) na kapatia. Majina yangu ni Kalemera Rwigyema Mazimpaka Kadogoo Kisungura...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Baada ya kusikia kuna Watu wanataka kufunguliwa Mashtaka Mahakamani ya UHAINI nilitaka kujiridhisha ni Makosa gani yakifanywa ndio unaitwa UHAINI? Jibu ni Kumuua Kiongozi wa Nchi AU kutaka...
0 Reactions
0 Replies
419 Views
Leo nimesikitika Sana watangazaji kutokuwa na weledi na kazi yao Asubuhi ya leo nipo najiandaa kutoka radio ilikuwa inaongea (east Africa radio) kipindi wanakiita Mama Mia ,Rita chiwalo ndo...
2 Reactions
47 Replies
3K Views
Sijakusudia 1 Sijakusudia Jama nimeua Sijakusudia Ila najutia Ninayo hatia Naombeni msaada 2 Jama nimeiba Sijakusudia Sikuliridhia Nipo na hatia Naomba nisamehewe 3 Jama nimebaka Kisa ni...
1 Reactions
4 Replies
462 Views
Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Hamis Mwinjuma ametoa wito kwa waswahili kukitazama Kiswahili kwa jicho la fursa na kuwa wepesi kung'amua kila upenyo kwa lugha hiyo na kuhakikisha...
0 Reactions
1 Replies
609 Views
Mizungu ni kauli zinazotumia lugha ya picha na mafumbo ili kuelezea vipengele mbalimbali vya mila na za jamii fulani. Mara nyingi mizungu hutumika kufunza miiko mbalimbali kwa watoto ambao...
1 Reactions
0 Replies
3K Views
Muondoke vs Ondokeni Mje vs mjeni vs njooni Mwende vs nendeni Kiswahili sanifu ni hiki chenye "m" mwanzoni kama mofimu inayotaja dhana ya wingi au safu ya pili yenye mofimu "ni" mwishoni...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari za leo. Lofa sio tusi ni neno la kiswahili ambalo lina maana mbili: = > Maana ya kwanza, ni mtu anayezurura asiye na kazi ya kufanya. = > Maana ya pili ni aina ya viatu ambavyo havina...
2 Reactions
7 Replies
9K Views
Nimefikiria maneno yafuatayo, Je ulisha fikiria jinsi ya kuiandaa biashara Kwaajili ya wateja au mtaji, lakini nadhani hapo hakuna neno linalowakilisha vizuri neno 'position'. To position a...
0 Reactions
19 Replies
1K Views
Back
Top Bottom