Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
NAJUTA KUMSOMESHA Najuta leo najuta Majuto ni mjukuu Mwenzenu yamenikuta Nimeshavunjika guu Wakubwa walinambia Masikio nikaziba. Hata ada nikalipa Chuoni kumpeleka Nikajiona kibopa Kidume...
3 Reactions
8 Replies
899 Views
Mfano una daftari la kurekodi stock inavyoingia kutoka stoo au ukinunua, na pia unarekodi stock ikitoka aidha kwa kuwauzia wateja ama kuibiwa. ni sawa kuandika "zilipotokea na zinapokwenda" ama...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Taifa letu pendwa mzimwini Taarifa zimetufikia zenyeujonzi Radio zimetutenga mafukara Rafiki wetu taarifa katuaga Viongozi wamegawanyika Vikumbo wapigana Samia kauza Bandari Samia hajauza Bandari...
5 Reactions
7 Replies
749 Views
Hii ni Aburani na ahadi Iliyowekwa Siku za Nyuma na Umoja wa Mataifa, Kuwa Kutakuwa na Siku Maalumu ya Kusheherekea Lugha ya Kiswahili Duniani Kila Mwaka. Hii ni Abra nzuri kwa sisi wazungumzao...
1 Reactions
0 Replies
868 Views
Gazeti La Dunia Matumizi sahihi ya lugha na upeo wa fikra Ahmed Rajab Ahmed Rajab Mwandishi wa makala haya, Ahmed Rajab, akizungumza kwenye Baraza la House of Lords jijini London Julai 5, 2023...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Katika matumizi ya simu tunakuta alama: * inatamkwa nyota. # inatamkwa alama ya reli. Kwanini * isitamkwe alama ya nyota sababu sio nyota kihalisia.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jiamini 1. Na popote ukiwepo Usiwe kama libopo Usijione simpo 2. Yalo yako ujikite Mitihani uipite Hadi ukate upete 3. Usisikie uzushi Uyafanye kwa utashi Usiwe na nukusani 4. Tembea nenda na...
1 Reactions
2 Replies
314 Views
BARUA YA WAZI 1 Nawasalimu kwa jina, jinale la jamhuri Kwako wewe kamishina, uigongae mihuri Wasimamizi wa shina, msome pasi kiburi Hii barua ya wazi, kwenu nyinyi viongozi 2 Upapo mwingi uhaba...
2 Reactions
1 Replies
475 Views
Nawasalim nyote. Pokeeni Salam. Naona vyema tuwe na uzi mmoja maalum wa ngeli. Naomba usaidizi wa ngeli sahihi ya maneno haya. Kifaranga/Vifaranga - ( naona watu wengi hutumia ki-vi ambapo...
0 Reactions
4 Replies
999 Views
Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdullah amewataka Wahariri kushirikiana na mabaraza ya Kiswahili ya BAKITA na BAKIZA ili kuendeleza lugha ya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Tangu nimerudi nchini nimekuwa nikipata tabu sana kutambua yupi anastahili shikamoo na yupi hastahili, kuna nalingana nao umri ila wana maumbo makubwa hivyo najikuta nikiwapa shikamoo na...
13 Reactions
180 Replies
8K Views
Matumizi sahihi ya maneno haya kwa kweli huwa yananitatiza sana? Huwa napata shida sana kujua ni wakati gani wa kutumia kwa mfano neno "Kwenye " au wa kutumia neno "Katika" kwenye kuongea au...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Waungwana naomba anayejua namna yakuzi master tones za kichina tafadhali
0 Reactions
3 Replies
843 Views
Napata utata hapa wakuu! Kwa wale wajuzi wa kiswahili..
1 Reactions
45 Replies
32K Views
TUNATAKA, HATUTAKI Tunataka uwekezaji, hatutaki uporwaji, Wao wachukue mji, tubaki watazamaji, Tunakemea ulaji, tunakataa upigaji...
0 Reactions
0 Replies
825 Views
Nini maana sahihi ya maneno haya Kwa ninavyofahamu mimi, Tovuti ni intaneti na wavuti ni website. Karibu utwambie unavyoelewa wewe. Ikumbukwe kuwa internet sio mtandao, mtandao ni network
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Bw. Saidi Yakubu amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Urusi nchini Mhe. Andrey Avetisyan ambapo wamejadili namna bora ya Tanzania na Urusi...
0 Reactions
0 Replies
514 Views
One day I saw someone I thought I’d never see He was sagging with smell of marijuana coming from his mouth And the way he talked you could tell he was from the south Just standing there staring...
1 Reactions
4 Replies
908 Views
Kipini Cha Pua 1 Silifanyi siri tena, ninasema hadharani Vyuma vinafumuana, nionapo manjiani Shufu sinayo maana, urembo wenu ficheni Avaae hupendeza, nami chanipa uchizi 2 Kiwe cha rangi ya...
3 Reactions
3 Replies
975 Views
Back
Top Bottom