Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Jamani naomba nisaidiwe hili neno maana yake hasa nini?
0 Reactions
6 Replies
16K Views
MSALITI NI HALUA. 1)vitoto mlikataa,tulisema baba yenu. Nyinyi kwake ni uozo,kama karanga ya mbuzi. Pindi mnapozubaa,huwaongoza mwenzenu. Msaliti ni halua,vibwana nyinyi vibua. 2)yeye...
0 Reactions
0 Replies
797 Views
Je,unapenda kujifunza kuongea kichina? Mandarin chinese Kuanzia feb 1-2014 tutaanza kufundisha kichina,mafunzo ni miezi mitano,yaan feb 1_july 1. Mahali sinza mapambano primary school iliyopo...
1 Reactions
50 Replies
17K Views
KIPATO (INCOME) Enlarge poem Kipato wengi hupata, kutunza ndiko kugumu, Hupata vingi vitita, pesa na vingi muhimu Bali kutnza utata, watoe zamu kwa zamu, Kipato wengi hupata, kutunza ndiko kugumu...
0 Reactions
0 Replies
846 Views
MWANASIASA NA MWANANCHI MWANASIASA 1) Ndugu zangu wananchi,mimi wenu kiongozi, Liyepigania nchi,na kuleta ukombozi, Mimi aula siwafichi,nipitishe uchaguzi, Sio bora uongozi,uwe bora uongozi...
0 Reactions
0 Replies
950 Views
MSUTAJI AKISUSA. 1)Samani poleni sana,japo yaweza kuuma. Ila nikuchukizana,mdomo waweza sema. Kwa bidii kukazana,bora ninene mapema. Msutaji akisusa,msutwaji hufurahi. 2)jasiri...
0 Reactions
0 Replies
792 Views
Qui Parle le fran?0?4ais bien? Je manque bien de parler cette langue.?0?4a c'est pourquoi j'ai decid?? d'??crire en cette nuit comme ?0?4i.soyez les bienvenus.......!!!!! Que Dieu vs bennisse mes...
0 Reactions
41 Replies
5K Views
CHAMROHO CHAMROHO. 1)Kapu lake mkononi,njiani ajizungusha. Na mi mate i tumboni,usoni kajikausha. Kwa mbali yu taabani,siri anasikitisha. Chamroho chamroho,mate taka mdomoni. 2)mate...
0 Reactions
0 Replies
611 Views
TUMBUA MAJIPU. 1)Ukweli yanaumiza,maumivu ni makali. Ni lazima kumaliza,tena kuyatupa mbali. Na dawa yake fukiza,hata kama njia ghali. Jembe tumbua majipu,tumbua usiogope. 2)Wengi...
2 Reactions
1 Replies
2K Views
EMBE CHEREMA LAOZA. 1)umepata mkataji,mti pale ulikwepo. Wakaufanya mtaji,virukaruka vipopo. Waze wakuda wa jiji,wafa kuitwa makopo. Embe dodo licherema,laiza likilalama. 2)embe leo...
0 Reactions
0 Replies
782 Views
Ifuatayo ni sehemu ya shairi liloandikwa na Idd Ninga likijulikana kama tatizo ni baba mkwe ,unaweza kutoa maoni na ushauri wako. 1>tatizo ni baba mkwe,mke amenibania. Sipendwi na wangu...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
KISOGO MCHAWI? 1. Natoa kingilambago, nisikizwe kilingeni, Simtaki jini kago, maalim Subiani, Namtaka Mwinyimbago, kibokoye Makatani, Vipi iwe tafarani, alipowapa kisogo. 2. Fundi kalia...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
PUNGUZA TUI UTIE MCHELE. Kobe hugeuka paka, kwa uchungu wa mwanawe, Atoe sumu ka nyoka, kiasi asichezewe, Kama tai ataruka, kwa makucha aparuwe, Tua nasema jituwe, siku zako zimefika. Nasema...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
MLEGEZO . 1)wengi japo wanasema,kama umekata gogo. Mabwe pande mji mwema,uliopewa kisogo. Tambua jua mapema,hilo jambo ni kipigo. Mlege wazua tata,utata wenye mashaka. 2)wengine jali...
2 Reactions
1 Replies
1K Views
TANZANIA NAKUPENDA SANA. Mama Tanzania, nakupenda sana, Nakupigania, usiku mtana, Zitaangamia, husuda fitina, Za walo pania, watu kuchinjana Nakupenda sana, wangu Tanzania. Siwati kulia, tunapo...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
IKULU YA MASHETANI. 1)tutauteka Dunia,milele tutatawala. Nyote mtaangamia,kila kona kila pala. Sana tutawachukia,wale wafanyao sala. ikulu ya mashetani,tutaiteka Dunia. 2)mbona hofu...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
JOHO LA MWENDA WAZIMU. 1)ukiona hakunacho,usinyooshe kidole. Vidole kile ambacho,vipo kwako siyo mbele. ukisifu kwa kijicho,utalogwa kwa tembele. Joho la mwenda wazimu usivae harusini...
1 Reactions
0 Replies
714 Views
UJINGA WA MWAFRIKA,FURAHA YA MZUNGU. 1)ni uchu wa madaraka,ndio unaotuponza. ama kili zimechoka. tumekuwa takataka,kwa jalala lenye funza. ujinga wa muafrika,ni furaha ya mzungu. 2)wao mbona...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
I wanna learn Hebrew and Lingala. Anyone can help please..
0 Reactions
4 Replies
1K Views
1>mungu akupe maisha,marefu yenye baraka. Lugha vyema wafundisha,twaelewa kwa haraka. Njia umetuonyesha,nasi twapenya kichaka. Pongezi davidi nzela,mema ninakuombea. 2>ushauri na nasaha,zako...
1 Reactions
0 Replies
941 Views
Back
Top Bottom