Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Anzali tulomo humu,waja wote tulobaki Twaomba kwa ufahamu,kheri kwenu losabiki Wapiganaji kaumu,walumbi wa taufiki Dua kwenu marehemu,mlofia zetu haki Swala zetu zi muhimu,na mola aziafiki...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
1.Tano umeishika,nchi umeitikisa hoja na viroja,kote vyasikika taji wamekupatia,sifa tumezisikia. 2.Tano tumekupatia,lkn hatukutegemea machachali wenye hali,mzigo umetuelemea nyuso zimevilia,kwa...
0 Reactions
5 Replies
917 Views
BODABODA. 1)imerahisisha kazi,watu twawahi kazini. Masika na kiangazi,twapita barabarani. Japo watutisha wezi,kuweka mawe njiani. Bodaboda gari langu,japokuwa la hatari. 2)buku pia hata...
0 Reactions
1 Replies
963 Views
Kwa wapenzi wa korean dramas hv lile neno oppa linamaana gan?
1 Reactions
38 Replies
15K Views
Habari wanaJF, Ninaomba uzi huu uwe maalumu kabisa kwa ajili ya kuvielewa kwa majina vifaa vya kielectronic na vya teknologia ya habari na mawasiliano (IT) na terminology zake. Unacho takiwa...
2 Reactions
22 Replies
3K Views
The Paragon international is offering an ultimate French course to young students and adults. We have very experienced teachers who can make you speak fluently French in only three months. You can...
0 Reactions
0 Replies
910 Views
"wewe ni mtoto wa ngapi katika familia yenu?" msaada tafadhali
0 Reactions
50 Replies
7K Views
"Wa Mbele Inameni Wanyuma Tupate Kuona"
3 Reactions
19 Replies
15K Views
Wakuu, Hili swali naulizwa sana. Tafsiri sentensi ifuatayo katika Kiingereza, "Baba, mimi ni mtoto wako wa ngapi?" NISAIDIENI WAKUU.
0 Reactions
26 Replies
2K Views
Habari za jioni waungwana! naomba kujuzwa maana ya maneno yafuatayo Nderemo Vifijo Cherekochereko Nnachotaka kujua nikua je haya ni maneno sanifu yakiswahili na kama ndivyo yanamaana gani na...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Greetthinkers!!!!!!!!!! katika pitapita zangu nilikuta mjadala huu wa binadamu na watu ni tofauti; kuwa binadamu ni wote wenye ngozi nyeupe na watu ni wote wenye...
0 Reactions
13 Replies
12K Views
Habari wanaJF, Ninaomba uzi huu uwe maalumu kabisa kwa ajili ya kuvielewa kwa majina vifaa vya kielectronic na vya teknologia ya habari na mawasiliano (IT) na terminology zake. Unacho takiwa...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
THE ADVANTAGES OF SPEAKING ENGLISH Here are some of advantages of Speaking English….you can add more advantages that you may remember, the fact is there are countless number of advantages…...
2 Reactions
0 Replies
909 Views
NDEGE WA THAMANI. 1)Uruke upeperuke,kama ndege wa angani. Usinache niteseke,nikiumia moyoni. Na fulani anicheke,nizomewe mtaani. Ndege wangu wa thamani,sitokutupa njiani. 2)na akili...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Ni mtu asiye na hisia za kike Rafiki uliyeshibana naye hutumiwa sana,na wanawake
0 Reactions
0 Replies
9K Views
Habarino. Eee, - Hivyo yani. Unaambiwa: Papa shurti anuke, Aso' nuka, - Si Papa huyo. Harufu 'HALISI' kali, Lakini 'ISO' KERA'. Naam, ndio Sifa muhimu, Yaani ndio Ladha'ye Papa. Baadae...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
DEREVA KIPOFU. Nina maneno machache, wingi wa vitendawili, Twende sote sikuache, tuliza yako akili, Kama usiku na uche, ulione jambo hili, Kibogoyo ala fupa, mwenye meno lamshinda. Katika...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ardhi iliotesha mti,mti wa mauwa na matunda naam mti wa mauwa na matunda wenye asali na achali na ndege waasiliyo waliootesha vichali waishio wao na watoto wao. ukijani umelemetao wapendeza kwa...
2 Reactions
0 Replies
1K Views
Naomba tafsiri ya huuu msemo kwa kiswahiliii (Insanity is hereditary. You get it from your kids)
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Naomba msaada wenu wa kujua maana na tofauti ya maneno Hekima na Busara pia ni wakati gani yafaa kutumika.
0 Reactions
14 Replies
40K Views
Back
Top Bottom