joseph mwita
Member
- Jan 7, 2011
- 7
- 0
Naomba msaada wenu wa kujua maana na tofauti ya maneno Hekima na Busara pia ni wakati gani yafaa kutumika.
Kweli nakubaliana na wadau kuwa hekima na busara yana maana zinazokaribiana sana. Unaweza kuyatumia kama "synonyms"-(naomba neno lake la kiswahili kama unajua). Ingawa wapo wanaodhani kuwa hekima mara nyingi mtu huzaliwa nayo ilihali busara mtu hujifunza kutokana na mazingira anayoishi. Inawezekana ikawa kweli lakini bado haitoshi (nionavyo mimi) kuwa tofauti kubwa sana.Naomba msaada wenu wa kujua maana na tofauti ya maneno Hekima na Busara pia ni wakati gani yafaa kutumika.
Neno ilo kwa kiswahili linaitwa: Visawe.Kweli nakubaliana na wadau kuwa hekima na busara yana maana zinazokaribiana sana. Unaweza kuyatumia kama "synonyms"-(naomba neno lake la kiswahili kama unajua). Ingawa wapo wanaodhani kuwa hekima mara nyingi mtu huzaliwa nayo ilihali busara mtu hujifunza kutokana na mazingira anayoishi. Inawezekana ikawa kweli lakini bado haitoshi (nionavyo mimi) kuwa tofauti kubwa sana.
Naomba msaada wenu wa kujua maana na tofauti ya maneno Hekima na Busara pia ni wakati gani yafaa kutumika.
Naomba msaada wenu wa kujua maana na tofauti ya maneno Hekima na Busara pia ni wakati gani yafaa kutumika.
Nderemo: Changamko, Mteremo, Ukunjufu, Uchangamfu, Ramsa, Mteremo, (celebration; cheerfulness).nderemo na vifijo
Hekima = Wisdom, Knowledge, common sense, Philosophy, Discernment, intelligenceNaomba msaada wenu wa kujua maana na tofauti ya maneno Hekima na Busara pia ni wakati gani yafaa kutumika.
umezunguka pale pale mkuuHekima ni ule uwezo wa mwanadamu kuwa na maarifa ya kufahamu kipi cha kufanya, kwanini afanye, wapi na kwa wakati gani na Busara ni uwezo wa kufanya maamuzi kwa kuzingatia hasa uzoefu wa maisha