Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Mzee mponda kaponda tope je tope pondwa litapondwaje? Mnirejeshee mrejesho [emoji23] [emoji28]
0 Reactions
3 Replies
1K Views
NA BIFU NA ADIMINI. 1)nione sina adabu,ukweli nikuambie. Niseme kilo nisibu,upende na uchukie Acha nipige ulabu,na haya inikimbie. Na bifu na adinimi,natamani nikuteke. 2)ni mbaya yako...
2 Reactions
19 Replies
2K Views
Ninaomba kuanzisha hii mada baada ya kusikia kwamba kuna mahali walimu wamefukuzwa kwa sababu ya kuongea kiswahili katika mazingira ya shule. Niseme tu kwamba naunga mkono jambo hilo kwa asilimia...
5 Reactions
121 Replies
18K Views
Kwenye nyimbo ya snura ambayo ame tumia neno shindu .. WAKUU shindu Ina maana gani ?
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Inasemekana kwamba asili ya neno daladala ni zama za Mwl Julius Nyerere wakati shilingi tano likuwa sawa na dolar moja ya kimarekani hivyo shillingi tano ikawa inaitwa dala na wapiga debe enzi...
2 Reactions
2 Replies
3K Views
MOYO WANGU TULIA. 1)Sitaki tena sitaki,moyo wangu usumbuke. Sitaki nipate hiki,rohoni nihangaike. Sitaki nipate kiki,wa jamii wanicheke. Moyo wangu we tulia,mjini kuna vya watu. 2)moyo wangu...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ili mtu utukane,au ili mtu uonekane umetukana kuna vigezo gani au kuna misamiati gani itafanya mtu aonekane ametukana!!!?? Je mtu anayekuambia 'pua yako' Anakuwa amekutukana??? Kama jibu ni...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Hatushindwiiiiii
0 Reactions
1 Replies
830 Views
KICHINA KIINGEREZA KIJERUMAN KIKOREA anayejua chuo kinachotoa mafunzo ya lugha tajwa hapo juu anijuze
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Haraka Haraka Haina Mbaraka Kawie Ufike Chelewachelewa utakuta mgeni si wako Ngoja Ngoja yaumiza matumbo Hizi zinachanganya sana, una nyingine?
0 Reactions
14 Replies
66K Views
Wale wataalamu wa lugha naomba mnisaidie kuondoa utata katika matumizi ya maneno yafuatayo ktk kumaanisha USIWE NA HOFU/SHAKA :- 1) Worry out 2) Worry not Ni lipi SAHIHI kati...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Jaman kaka na dada zangu uzi Wangu wa kesho au Leo upo wapi mbona mumeuficha kwa alieuficha aniwekee apo
0 Reactions
3 Replies
656 Views
Habari zenu. Leo nimeona niwashirikishe yale yaliyomo katika nafsi yangu. Nitaandika kwa mtindo mgeuzo, yaani sio wa maji kufuata mkondo. Mtunzi yoyote anaweza kuendeleza. Shuka nayo-- Njia...
0 Reactions
2 Replies
919 Views
WANA WA MAPOKEO. 1)napohisi kuna jambo,akili inanituma. Nitunge niache tambo,fani izidi kuvuma. Wengi wetu tuna mambo,twalea kwa kulalama. Sisi wana mapokeo,wana huru watuacha. 2)wengine washika...
0 Reactions
0 Replies
759 Views
Hello all! I'm really excited to announce that Language Transfer has released the first 5 tracks of the 100% free and awesome Complete Swahili ( languagetransfer)! There's many more tracks coming...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wataalamu wa Kiswahili ningependa mnisaidie swali hili; Andika barua kwa Mhariri wa gazeti la Mwananchi juu ya tatizo la ajira Tanzania, jina lako ni KASHAIJA S.L.P 10. Butiama. Siyo mbaya hata...
1 Reactions
1 Replies
5K Views
Majibu yenu tafadhali tumebishana sana
0 Reactions
12 Replies
5K Views
Ufahamu wangu wa wastani wa lugha ya kiingereza na kiswahili umenifanya nione matumizi yasiyo sahihi ya either...or ya kiingereza na neno 'aidha' la kiswahili. Nimegundua kwamba baadhi ya...
2 Reactions
8 Replies
6K Views
MLIVUTA BANGI ? 1)Mlifanya ukatili,adhabu ni haki yenu. Mlitenda ubatili,mkazika ndoto zenu. Ulikuwa ujahili,mwajua taluma yenu ? Hivi mlivuta bangi ?. 2)Mmeshakuwa mgambo,kuyatembeza mangumi...
1 Reactions
2 Replies
831 Views
Lugha ya kiarabu,inatofautiana baina ya nchi na nchi,ila iwe wanaongea kiarabu cha kisomi,eweje mtu ambaye hajasoma kiarabu cha kisomi,aseme amewahi kuishi nchi Saudia,halafu aende Oman,aseme...
0 Reactions
0 Replies
775 Views
Back
Top Bottom