Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Habari zenu wakuu; Kama mulivyotushauri kufundisha KIFARANSA kwa njia ya Yutube, huu ni mwanzo wa mfululizo wa vipindi vitakavyokufundisha kuzungumza kwa ufasaha ukiwa nyumbani kwako. Tafadhali...
4 Reactions
30 Replies
5K Views
naombeni msaada juu ya fasili ya lugha ya mtaalamu Hammerly
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hichi ki sentensi kime nipa tabu sana, em wataalamu wa ngeli,yai arimaarufu English tuwekeni saw a hapa. Ukitaka kusema kwa kiingereza hii sentensi uta isemaje? " Baba mimi ni mtoto wa ngapi...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
MAONO YA JANGWANI. 1. Kwa macho haya mawili, Nilishuhudia, Vinginevyo yapofuke. 2. Kwa masikio mawili, Niliyasikia, Kinyumeche yazibike. 3. Malaika elfu mbili, Menisimamia, Kwa vishindo na makeke...
0 Reactions
1 Replies
858 Views
[emoji310] [emoji310]
0 Reactions
0 Replies
2K Views
MAONO YA JANGWANI. 1. Kwa macho haya mawili, Nilishuhudia, Vinginevyo yapofuke. 2. Kwa masikio mawili, Niliyasikia, Kinyumeche yazibike. 3. Malaika elfu mbili, Menisimamia, Kwa vishindo na...
0 Reactions
0 Replies
793 Views
Nimejikuta nikijiuliza kwa nini waganda amekuwa wagumu sana kukikubali kiswahili? Ningetegemea wawe mbele zaidi hasa ukizingatia wamekuwemo Kwenye uanzilishi wa jumuia yetu na Vilevile kiswahili...
0 Reactions
19 Replies
5K Views
Shida yangu kubwa ni neno "was" ukitaka kulitumia na verb unatumia verb gan Kat ya irregular verb, past au partipaticiple mfano juz boss aliniambia I was not seen you in an office hpo ilo neno...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Ingia HAPA
0 Reactions
6 Replies
7K Views
Kiswahili au lugha yeyote kila neno lina mbadala au neno sawa na maana (neno)la mwanzo. Mfano: amekufa=ameaga dunia mrembo=ua emu na wewe andika maneno unayoyafahamu
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Lipi ni sahihi zaidi katika matumizi ya lugha ya Kiswahili
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Naomba mtu yeyote anayejua maana ya neno "hartiti" anisaidie
0 Reactions
1 Replies
806 Views
Naomba ufafanuzi tafadhali. Mtu mwenye kisirani anakuwa katika hali gani? Kisirani ni hasira.? Nini tofauti ya hizi hali. Naomba na mifano kamaitawezekana. Nawakilisha
0 Reactions
0 Replies
10K Views
Abari ndugu zangu na wana kiswahili... Kuna maneno ambayo yanatumika mujarabu kama ya kiswahili lkn kumbe yameathiriwa na lafudhi zetu mfano:- For line = foleni I see= aisee Kma unao mfano...
2 Reactions
17 Replies
2K Views
UWANAUME SIYO NDEVU. 1)Moja ni uvumilivu,na kutokata tamaa. Ili mbele kula mbivu,na kuacha kuzubaa. Kujilinda na uvivu,na kuiacha zinaa. Uanaume si ndevu,ni matendo na tabia. 2)mbili wala si...
1 Reactions
0 Replies
712 Views
Moja ya mashairi yake yanasema: Kama ni watoto fika kwetu posa, utawaona,utawaona, usifike kwangu utaleta fujo, na mpenzi wangu wa sasa tulitalaka na wewe bila kuleta kitu kwetu... Simjui...
0 Reactions
14 Replies
10K Views
Angalia video hii kisha fuata maelekezo: *vigezo na masharti kuzingatiwa(lol)
2 Reactions
0 Replies
2K Views
Kiswahili haina Q. Nimekaa muda mrefu na kutafakari kama kuna neno la kiswahili lenye q ndani yake. Kwa muda sasa keyboard ya simu yangu imenigomea kuandika q lakini hata hivyo sijahihitaji...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Habari wana JF. Naomba msaada wa tafsiri ya maneno haya katika Kiswahili fasaha: Postcodes Internet Data Centres High Performance Computing
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Wanajamvi za mda huu nina shida ya kutokujua kuandika ngeli naomba msaada wenu,kuongea najua ila kuandika ndo issue.ntashukuru kama mtanisaidia kwa hilo mana niko form 2.napaya shida sana darasani
1 Reactions
22 Replies
5K Views
Back
Top Bottom