Comasmita-thank u
Comasmita komaoh au komaoh -thanx very much
Chu ah eeh -i like u
Kamsamnidah-nmesahau kidogo
Abujee-dad
Omunyee-mom
Horabunyee-brother
Hyung nim-respected man as brother
Muyoo? - what?
Unajitahidi lakini umeenda chaka, pronunciation zake hazipo hivyo.
Mfano Hyung~nim ~ kaka. Hiyo ukifanya direct translation utatamka kama "hyu" wakati inatakiwa itamkwe "hyo".
Ni sawa na kampuni ya "hyundai" watu mnasema hyu~nda~i. Ila inavyoandikwa kwa kikorea 현대 inatakiwa itamkwe "hyo~nde".
Nilikaa korea miaka saba kwa hiyo kinapanda sana tu.
Mleta mada sehemu ya kuanzia ni youtube
1. Anza na hangeul (한글) (maandish ya kikorea) jua jinsi ya kuyatamka na kuyaandika, kama una moyo hapa ni siku tatu tu. Ingia Youtube andika "Learn hangeul" kuna video nyingi, pitiapitia.
2. Njoo kwenye maneno common, unaweza anza na salamu za kikorea, hizi nazo pia Youtube utazipata sana.
3. Anza grammar, hapo ndo itakuchukua muda sana kupamaster, kwa grammar nakushauri site hii
talktomeinkorean.com ukifika mbali tafuta vitabu vya watoto, utashangaa unaanza kuelewa, baada ya miaka michache utakua unakiongea.