Maana ya haya maneno

Maana ya haya maneno

lee jack

JF-Expert Member
Joined
Jan 17, 2017
Posts
1,082
Reaction score
1,917
Naomba kujua maana ya neno una mambo ya kitoto na unaongea kama mtoto endapo mtu anakwambia maneno kama hayo anamaanisha nini?
 
Bila shaka ulishawahi kumuona mtoto anavyokuwa anaongea na mambo yake anayoyafanya. Mtu akikwambia una mambo ya kitoto anamaanisha akili yake haijakomaa kuwezi kufanya majambo yanayofanywa na watu wazima (Japo unaweza kuwa mtu mzima).

To make it worse amelinganisha umbo lako dogo na akili za kitoto, ni kama double matusi.
 
Bila shaka ulishawahi kumuona mtoto anavyokuwa anaongea na mambo yake anayoyafanya. Mtu akikwambia una mambo ya kitoto anamaanisha akili yake haijakomaa kuwezi kufanya majambo yanayofanywa na watu wazima (Japo unaweza kuwa mtu mzima).

To make it worse amelinganisha umbo lako dogo na akili za kitoto, ni kama double matusi.
Yan mkuu haya maneno naona kama ya udhalilishaji
 
Naomba kujua maana ya neno una mambo ya kitoto na unaongea kama mtoto endapo mtu anakwambia maneno kama hayo anamaanisha nini?
Hufanyi mambo ambayo ni mhimu na unaongea vitu ambavyo sio vya msingi!!!
I stand to be corrected
 
Back
Top Bottom