Chen Boda, aliyepata kuwa “Top Pen” wa Chama cha Kikomunisti cha China. Picha kwa hisani ya Memoires de Guerre
SI kwamba najaribu kujipendekeza kwa muasisi na Mhariri Mtendaji wa Gazeti la Dunia...
Wakuu naomba kujuzwa ukweli wa hili, kuwa baada ya mapinduzi ya Zanzibar, kulikuwa na wanasiasa wenye ushawishi wakiongozwa na Abdulrahman Babu wa Umma Party ambao walikuwa na itikadi za...
Mwaka 1896 Kampuni ya kikoloni ya serikali ya ujerumani ya Germany East Africa Plantation (Deutsche-Ostafrikanische Plantagenge Schellshaft) walianzisha shamba la majaribio ya kilimo cha kahawa...
DAR-ES-SALAAM YANGA AFRICANS YASIMAMISHA MAANDAMANO MSIKITI WA MAKONDE ILIPOTOKA ADHANA
Waandamanaji wa Yanga waliokuwa katika maandamano makubwa wakiwa wamebeba kikombe chao cha ubingwa wa Ligi...
Kwa hisani ya Wikipedia,
Bibi Titi Mohammed (1926–2000) was a Tanzanian politician. She was born in 1926 [1], in Dar es Salaam, Tanzania to a Muslim family. She was a close friend of the...
Na Ahmed Rajab
PROFESA Mohamed Hassan Abdulaziz aliyefariki dunia jijini Nairobi asubuhi ya tarehe 10 Julai akiwa na umri wa miaka 91 alikuwa gwiji wa isimu, Kiswahili na Kiarabu. Zaidi ya hayo...
Franklin Boukaka ambaye mwanzoni alikuwa akijulikana kama Francois Boukaka alikuwa mwanamuziki mzuri sana kule Republic of Congo (siyo DRC). Alikuwa na ndoto kubwa sana na mwelekeo wa Afrika baada...
Anaandika Mo Mlimwengu.
Yule bwana aliyesema mwenda bure si mkaa bure kuna kitu alikiona. Mgagaa na upwa siku zote huwa hali wali mkavu. Mlimwengu mimi nikaona itakuwa dhambi kubwa kwangu kufika...
Lingchi (凌遲), ilikuwa mfumo wa mateso na adhabu ya kifo iliokuwa ikitekelezwa huko China kutokea miaka ya ya 900 hadi kupigwa marufuku 1905.
Katika adhabu hii kisu kilitumika kuchumoa kiungo...
KITABU KIPYA: SAL DAVIS AN AUTOBIOGRAPHY
Ndugu zangu kitabu cha maisha ya Sal Davis leo kimechapwa na Amazon kama mnavyoona hapo chini.
Kitabu kilichukua muda kwani si kazi nyepesi kumkalisha...
RAMADHANI MAREKANI: TARWEH TIMES SQUARE NEW YORK
Allah Muweza.
Nani angewaza hata katika ndoto zake za wazimu kuwa ipo siku pataadhiniwa Times Square usiku wa Ramadhani na patasaliwa sala ya...
Leo ni siku iliyozaliwa TANU, tushereheke birthday ya chama pendwa na kongwe iliyozaa CCM.
CCM ni kama maji, usipoyanywa utayaoga. Leo hata Chadema hawajaenda maofisini wakisherekea kuzaliwa kwa...
LEO SIKU YA MASHUJAA
Mwaka jana nilipokea picha hiyo hapo chini ya kwanza kutoka Maktaba ya Ally Sykes.
Picha hii nilikuwanayo kwa miaka mingi lakini ubora wake ulikuwa hafifu.
Nilipoipata picha...
Before 1961, Tanganyika was a territory that was under the control of different colonial powers, including Germany and later Britain. The education system that existed during this time was largely...
Gazeti La Dunia
Pingpong porini na Savimbi
Mwandishi wa makala haya, Ahmed Rajab, akiwa kwenye handaki eneo la Jamba, Angola, ilikokuwa kambi ya kijeshi ya kundi la waasi la UNITA. Kunradhi kwa...
MTI MBICHI UKAGEUKA KUNI
Na- Aron Seni
ilikuwa asubuhi tulivu na njema ya mwaka 1977. Baba wa taifa hayati JK Nyerere alipomuita nyumbani kwake msasani-Dar es salaam aliyekuwa Mwanasheria mkuu...
Waanzilishi na waasisi wa Chama Cha Wananchi (CUF): Shabaan Khamis Mloo, Seif Sharif Hamad na James Mapalala…
Huyu Mapalala aliwekwa ndani na kuteswa sana na Dikteta Nyerere kwa zaidi ya miaka...
Na, Comred Mbwana Allyamtu.
Sunday 10/9/2017.
Misri (Kwa Kiarabu: مصر, Masr) ni nchi ya Afrika ya Kaskazini-Mashariki ikiwa na eneo la Rasi ya Sinai kwenye bara la Asia pia. Ni nchi yenye wakazi...
SAKATA LA KUPOTEA RAJAB OMARI MTANA KIJIJI CHA LULAGO HANDENI 2013
Waislam 10 wamehukumiwa kunyongwa kwa tuhuma za kuua mlinzi mmoja.
Kufikia hukumu hii kuna mengi na chanzo chake kilianzia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.