Chawa wa lumumbashi
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 793
- 1,749
Waanzilishi na waasisi wa Chama Cha Wananchi (CUF): Shabaan Khamis Mloo, Seif Sharif Hamad na James Mapalala…
Huyu Mapalala aliwekwa ndani na kuteswa sana na Dikteta Nyerere kwa zaidi ya miaka miwili…
Muwe mnaandika na mabaya ya Nyerere ili vijana wajifunze sio kila siku kumwaga sifa na mapambio tu!…!
Pia soma - Zitto Kabwe: Buriani Mzee James Mapalala, Wajibu umeutimiza