Jukwaa la Historia

On JF:

Morogoro ni mkoa mojawapo wenye MAKABILA mengi hapa nchini. Zifuatazo ni wilaya na MAKABILA yake 1. Halmashauri ya Morogoro: Hii wilaya maarufu kama Morogoro Vijijini, makabila yanayopatikana ni...
8 Reactions
99 Replies
26K Views
Na DaVinci XV Naam Wakati huko duniani Caesarian section (Kuzaliwa kwa mtoto kwa njia ya upasuaji) inaingia kwenye vitabu ya medical na Midwifery kwa mara ya kwanza na kuweka miongozo na...
10 Reactions
40 Replies
6K Views
Kwa wale tulioingia Chuo Kikuu cha Dar-es –Salaam faculty of Medicine enzi hizo intake ya mwaka 1982 tutamkumbuka ndugu yetu huyu mcheshi sana Rosemery Nyerere. Miaka hiyo intake moja ilikuwa...
43 Reactions
170 Replies
29K Views
WENYEVITI CHAMA CHA TANU MWANZA NA KIJIJINI NYAMAZUGO GEITA NA HISTORIA YA KADI YA TANU Chairman wa TANU wa kwanza Mwanza nakumbuka jina lake Hussein Jumbe. Kijijini Nyamazugo Geita kadi za TANU...
0 Reactions
4 Replies
972 Views
Wakati niko nasoma pale Nusery school hapo pale pembeni ya Oysterbay Primary school , tulipata taarifa kwamba kuna basi la kati ya UDA au Kamata limepata ajali meneo ya Kilima Masaki na...
3 Reactions
10 Replies
1K Views
Ndugu wana mtandao wa JF, nimekaa na kumkumbuka huyu mzee Tuntemeke Sanga ambaye nasikia alikuwa na degree saba (km ni kweli) na mbaye alikuwa matata sana bungeni enzi zileee. Je kuna mtu...
13 Reactions
186 Replies
71K Views
*Don’t go anywhere I want to talk to you.’’ (Muhammad Ali shouting at Sal Davis, Frankfurt, Germany 1966) ‘’When I was in Paris I used to stay late to watch Ali’s fights. He had defeated Sony...
2 Reactions
7 Replies
910 Views
Nimekuwa nasoma biography ya Malcom X. Huyu mtu alikuwa wa pekee sana. Hapa nataka kuzungumzia hii hotuba yake(The ballot or the Bullet) ukweli sijawahi sikia hotuba yenye nguvu namna hii...
4 Reactions
17 Replies
2K Views
HISTORIA IMEMSAHAU MZALENDO HUYU MAULID HASSAN Imeandikwa na Kizito Mpangala Anapatikana Wilaya ya Namtumbo, Mkoa wa Ruvuma. Ni kamanda mwenye umri wa miaka 90 sasa. Maulid Hassan ni...
1 Reactions
0 Replies
584 Views
HISTORIA YA TUNTEMEKE SANGA MBUNGE WA ZAMANI WA MAKETE. Tarehe 8 Desemba 1930 huko Lupaso, kijiji cha Bulongwa, Njombe, alizaliwa mtoto wa kiume mwenye afya tele. Mtoto huyo, ambaye alikuja...
12 Reactions
13 Replies
5K Views
MIAKA 60 YA UHURU WA TANGANYIKA 1961: YALIYOMFIKA PROF. KIGHOMA ALI MALIMA HAYAJAMKUTA KIONGOZI YEYOTE KATIKA HISTORIA YA TANZANIA Ally Sykes alikuwa na kawaida kuwa akiwa na mgeni yeyote ndani...
7 Reactions
27 Replies
4K Views
HISTORIA YA PEKEE YA PEMBA NA WAPEMBA Wenyeji wangu wamenifikisha Wete kiasi cha saa nne asubuhi jua limepanda na mji umechangamka. Gari yetu imeegesha pembeni na mkuu wa msafara katoka nje na...
5 Reactions
31 Replies
4K Views
SIKU NILIPOKUTANA NA SALIM HIMIDI Hii makala ni taazia niliyomwandikia rafiki na ndugu yangu Salim Himidi alipofariki Paris. Mtu aliyenijulisha kwa Salim Himidi ni Mohamed Mshangama. Nimeipata...
2 Reactions
5 Replies
915 Views
Wakati wa Ujenzi wa Reli ya TAZARA zaidi ya Wafanyakazi 160 walifariki kwa ajali na magonjwa, kati yao Wachina walikuwa 64. Ujenzi ulihusisha Vibarua na Wahandisi 38,000 kutoka Tanzania na Zambia...
7 Reactions
10 Replies
3K Views
Na Ahmed Rajab SIKU hasa siikumbuki. Lakini mwezi na mwaka naukumbuka. Na siku zenyewe kwa jumla ninazikumbuka. Zilikuwa siku za Morogoro Jazz Band na Mbaraka Mwinshehe. Simba Wanyika hawakuwa...
10 Reactions
62 Replies
5K Views
Katika hali isiyo ya kawaida Jeshi la Marekani lilipata pigo la mwaka ndani ya ardhi ya Iraq baada ya mmoja wa watu muhimu sana ndani ya Jeshi lake kuuwawa ktk tukio ambalo lilifanya USA...
3 Reactions
24 Replies
4K Views
Jere Van Dyk alikamatwa na kushikiliwa na kundi la Taliban kwa siku 45 katika eneo lisilo la mtu kati ya Afghanistan na Pakistan, ambapo alikabiliwa na hukumu ya kunyongwa. Kadiri matukio ya...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Leo katika pita pita zangu za kusoma vitabu, nakutana na historia iliyojaa maajabu, vichekesho, hatamu na mafunzo. Historia ambayo iligusa moyo wangu na kuamua kuiandika angalau wengi wao...
5 Reactions
4 Replies
2K Views
SHEIKH JUMA MWINDADI Imenichukua miaka mingi kuitafuta picha ya Sheikh Juma Mwindadi. Hatimae picha ya Sheikh Jjuma Mwindadi nimeipata kutoka kwa familia yake. NImefahamishwa kuwa ingawa watu...
4 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakati ndugu zetu wa Msumbiji wakimkumbuka Mmoja wa viongozi mashuhuri Kamarade Samora Machel, baada ndege aliyopanda pamoja na abiria wengine 34 ilipotunguliwa katika milima ya jimbo la...
10 Reactions
104 Replies
31K Views
Back
Top Bottom