Jukwaa la Historia

On JF:

KUTOKA MAKTABA YA MZEE KISSINGER: PICHA YA KARNE YA 20 YA MWALIMU JULIUS KAMBARAGE NYERERE Jana tulipokwenda kumsalimia mwalimu wetu Mzee Kissinger nilimgusia kuhusu picha aliyonipa miaka mingi...
4 Reactions
11 Replies
2K Views
Mchoro wa karne ya 16 unaoonyesha kuchunwa ngozi akiwa hai kwa hakimu fisadi, Sisamnes, katika mwaka wa 500BC. Sisamnes alikuwa hakimu wa kifalme fisadi wakati wa Cambyses ll katika taifa la...
13 Reactions
34 Replies
4K Views
Habari kwenu jukwaani. Kuna simuluzi BBC Radio wanatujuza historia iliyofichwa. Mwanzoni mwa vita vya Kagera ni kuwa baada ya Amini kufanya uvamizi wake, Tanzania ilitanguliza kikosi cha...
15 Reactions
175 Replies
34K Views
SIGARA "CLIPPER" ALIYOKUWA AKIVUTA MWALIMU NYERERE Picha hiyo hapo chini imepigwa mwaka wa 1955 Magomeni Mapipa Mtaa wa Jaribu kwenye Tawi la TANU alilofungua Ali Msham nyumbani kwake. Ali Msham...
17 Reactions
34 Replies
11K Views
Hector Pieterson being carried by Mbuyisa Makhubo after being shot by South African police. His sister, Antoinette Sithole runs beside them. Pieterson was rushed to a local clinic and declared...
5 Reactions
14 Replies
5K Views
BURIANI NDUGU YANGU SULEIMAN ‘’BAKU’’ ISMAIL Siku ya Alkhamis, tarehe 9 tumemzika ndugu yetu Baku mtu maarufu kupita kiasi Mafia. In Shaa Allah nitakuja kueleza umaarufu wa Baku baadae...
1 Reactions
3 Replies
826 Views
SIKU YA KISWAHILI DUNIANI: WAMAREKANI NA KISWAHILI Nimefika Marekani kwa mwaliko wa Chuo Kikuu Cha Iowa, Iowa City mwaka wa 2011 aliyenialika ni Prof. James Giblin Mkuu wa Idara ya Historia ya...
9 Reactions
18 Replies
1K Views
The assassination of Mr Lincoln Our coverage of the death of the American president Apr 29th 1865 Share Abraham Lincoln was shot in Ford's Theatre in Washington on the evening of April 14th...
0 Reactions
0 Replies
517 Views
Pichani ni Julai 16, 1963, Rais wa Jamhuri ya Tanganyika Julius Nyerere akiweka katika koti la Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa U Thant pini yenye alama ya mwenge wa taifa. Kulia kabisa ni...
37 Reactions
495 Replies
32K Views
Kwenye Uafrika hawapo, uzungu hawapo wala Uarabu hawapo pia.
10 Reactions
61 Replies
10K Views
Kabila la Wachaga linafahamika kwa wengi kuwa linapatikana mkoani Kilimanjaro.Kwa asili, Wachaga ni mchanganyiko wa Wamasai, Wasambaa, Wataita, Wakamba na Wakahe. Wachaga walianza kuhamia kwenye...
5 Reactions
282 Replies
120K Views
KUMBUKUMBU ZA BALOZI JUMA MWAPACHU Balozi Juma V. Mwapachu amechapa kumbukumbu zake.
3 Reactions
5 Replies
1K Views
Nimesimuliwa Chanzo cha usafiri wa umma kuitwa daladala. Wakongwe muje hapa. Alinihadithia babu kuwa zamani miaka ya nyuma kidogo kipindi usafiri wa magari kwa umma umeshamili hasa maeneo ya...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Shaaban Robert Alizawa (1 Januari 1909 - 22 Juni 1962) alikuwa mshairi na mwandishi wa riwaya. Mchango wake katika lugha ya Kiswahili ni mkubwa kwani kazi zake zinaheshimika katika fasihi ya...
3 Reactions
0 Replies
2K Views
WACHA TUSEME, TANZANIA NI YETU SOTE SIO MALI YA WAKRISTO Hivi karibuni kumezuka mjadala mkali kuhusu Serikali kuingia kwenye makubaliano ya kuendesha bandari za Tanzania na kampuni ya DP World...
3 Reactions
12 Replies
3K Views
Ndugu zangu hivi history ya mwandishi nguli hapa Tanzania Shaaban Robert imehifadhiwa wapi? Nimesikia alifanya makubwa sana katika sekta ya Lugha lakini watu hawamuenzi ipasavyo, tasnia ya lugha...
1 Reactions
2 Replies
840 Views
Naomba kufahamu. Hivi Jenerali wa kwanza wa Tanzania ni nani na aliwahi kupigana vita gani?
0 Reactions
0 Replies
951 Views
MTAA WA MUHIDIN MFAUME KIMARIO KINONDONI MOSCOW Leo nikiwa na ndugu yangu mwanahistoria na maktaba inayotembea Hamisi Hababi tumekutana na kibao cha Mtaa wa Kimario Kinondoni Moscow tukaamua...
16 Reactions
29 Replies
2K Views
Kabila la wazinza lipo sengerema, geita na sehemu mbali mbali za kanda ya ziwa Ambaye anazijua tamadun za kabila la wazinza naomba anijuze Note: wale watukanaji na wale wenye stress huu sio uzi...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
PROF. KISSINGER Leo mimi, Hamisi Hababi na Sheikh Taufik Kazaliwa tumemtembelea mwalimu wetu Prof. Kissinger. Kwanza tulikuwa ndani tukapata darsa la Komredi Abdulrahman Babu na Mwana ASP na...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom