Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 20,915
- 30,259
RAMADHANI MAREKANI: TARWEH TIMES SQUARE NEW YORK
Allah Muweza.
Nani angewaza hata katika ndoto zake za wazimu kuwa ipo siku pataadhiniwa Times Square usiku wa Ramadhani na patasaliwa sala ya Tarweh barabarani huku ''neon lights'' za New York zikiwaangazia Waislam?
Times Square ni sehemu maarufu kwa watalii mfano wa Picadilly Circus, London au Tahrir Square, Cairo, au Champs Elysees, Paris.
Najiuliza kwa nini hawakusali Central Park ambayo imepakana na Times Square na ni sehemu kubwa yenye faragha kuliko Times Square au Madison Avenue ambayo ni nyuma ya Central Park.
Kwa nini wafunge barabara wasali Times Square?
Namsikiliza Imam katika hii clip.
Anasoma Ayatul Kursi.
Imam anatoa bishara gani?
Tusubiri.
Allah Muweza.
Nani angewaza hata katika ndoto zake za wazimu kuwa ipo siku pataadhiniwa Times Square usiku wa Ramadhani na patasaliwa sala ya Tarweh barabarani huku ''neon lights'' za New York zikiwaangazia Waislam?
Times Square ni sehemu maarufu kwa watalii mfano wa Picadilly Circus, London au Tahrir Square, Cairo, au Champs Elysees, Paris.
Najiuliza kwa nini hawakusali Central Park ambayo imepakana na Times Square na ni sehemu kubwa yenye faragha kuliko Times Square au Madison Avenue ambayo ni nyuma ya Central Park.
Kwa nini wafunge barabara wasali Times Square?
Namsikiliza Imam katika hii clip.
Anasoma Ayatul Kursi.
Imam anatoa bishara gani?
Tusubiri.