Irente, Lushoto: Je, wajua chanzo cha jina Irente?

Mshana Jr

Platinum Member
Aug 19, 2012
269,634
697,845
Mwaka 1896 Kampuni ya kikoloni ya serikali ya ujerumani ya Germany East Africa Plantation (Deutsche-Ostafrikanische Plantagenge Schellshaft) walianzisha shamba la majaribio ya kilimo cha kahawa kwenye eneo ambalo kwa sasa linajulikana kwa jina la Irente.

Mashamba mengine ambayo yalianzishwa kipindi hicho ni Gare, Maweni, Sakharani na Mazumbai. Kusudi lilikuwa ni kufanya jaribio la zao hili lakini kutokana na ukosefu wa rotuba ya udongo zao la kahawa lilitelekezwa mwaka 1914.

Baada ya Ujerumani kupoteza koloni lake kwa Mwingereza mwaka 1918 shamba hili lilimikiwa na raia kutoka Ugiriki, Bwana W.J Tamé. Na baada ya uhuru wa Tanganyika mwaka 1961 shamba hili liliuzwa kwa Kanisa la Kilutheri Tanzania (Tanzania Lutheran Church).

Inasemekana neno Irente Farm lilitokana na kirai (phrase) "I rented a Farm" na hivyo jina Irente likatokana na jina "I rented". Kutokana na mazungumzo ya lugha ya kingereza wakati huo baadhi ya Waswahili walibadilisha "I rented" kuwa ‘Irente’.
IMG-20200525-WA0022.jpg


Jr
 
umenikumbusha Lushoto, i always go back there to enjoy a wonderful view ya hedaru na mombo nikiwa nimekaa kwenye ule mwamba au nikiangalia ule mwamba uliojichonga mfano wa kisu kimelala kwenye jiwe.. inasemekana kutokana ukinzani mkubwa wa upepo uliopo chini ya ule mwamba basi kuna kipindi hakuna gravity force pale.. means ukiachilia kitu si ajabu kikaokotwa somehwere hedaru au mombo :).. nimetia chumvi hapo..... Nature is Life and nature heals... nasikia mbali na Ben mkapa somebody alikuwaga waziri ana hotel pia kule juu
 
umenikumbusha Lushoto, i always go back there to enjoy a wonderful view ya hedaru na mombo nikiwa nimekaa kwenye ule mwamba au nikiangalia ule mwamba uliojichonga mfano wa kisu kimelala kwenye jiwe.. inasemekana kutokana ukinzani mkubwa wa upepo uliopo chini ya ule mwamba basi kuna kipindi hakuna gravity force pale.. means ukiachilia kitu si ajabu kikaokotwa somehwere hedaru au mombo :).. nimetia chumvi hapo..... Nature is Life and nature heals... nasikia mbali na Ben mkapa somebody alikuwaga waziri ana hotel pia kule juu
Nimetoka huko jana

Jr
 
Mwaka 1896 Kampuni ya kikoloni ya serikali ya ujerumani ya Germany East Africa Plantation (Deutsche-Ostafrikanische Plantagenge Schellshaft) walianzisha shamba la majaribio ya kilimo cha kahawa kwenye eneo ambalo kwa sasa linajulikana kwa jina la Irente.

Mashamba mengine ambayo yalianzishwa kipindi hicho ni Gare, Maweni, Sakharani na Mazumbai. Kusudi lilikuwa ni kufanya jaribio la zao hili lakini kutokana na ukosefu wa rotuba ya udongo zao la kahawa lilitelekezwa mwaka 1914.

Baada ya Ujerumani kupoteza koloni lake kwa Mwingereza mwaka 1918 shamba hili lilimikiwa na raia kutoka Ugiriki, Bwana W.J Tamé. Na baada ya uhuru wa Tanganyika mwaka 1961 shamba hili liliuzwa kwa Kanisa la Kilutheri Tanzania (Tanzania Lutheran Church).

Inasemekana neno Irente Farm lilitokana na kirai (phrase) "I rented a Farm" na hivyo jina Irente likatokana na jina "I rented". Kutokana na mazungumzo ya lugha ya kingereza wakati huo baadhi ya Waswahili walibadilisha "I rented" kuwa ‘Irente’. View attachment 1459919

Jr
Gare nilipapenda sana yale mazingira ya kimissionari yalikuwa yanavutia sana

Irente Primary School - Watoto wasioona
Nakumbuka walikuja shuleni kwetu kuimba ( huwa sisahau sauti zao nililia sana siku ile. Niliwaonea huruma sana nikajiuliza kwa nini wengine wako hivi! Waliamba vizuri sana ukisikia talanta ni wale watoto)
Ndipo nilipoanza kuipenda 'Tuimbe Sote-RTD'
 
Mwaka 1896 Kampuni ya kikoloni ya serikali ya ujerumani ya Germany East Africa Plantation (Deutsche-Ostafrikanische Plantagenge Schellshaft) walianzisha shamba la majaribio ya kilimo cha kahawa kwenye eneo ambalo kwa sasa linajulikana kwa jina la Irente.

Mashamba mengine ambayo yalianzishwa kipindi hicho ni Gare, Maweni, Sakharani na Mazumbai. Kusudi lilikuwa ni kufanya jaribio la zao hili lakini kutokana na ukosefu wa rotuba ya udongo zao la kahawa lilitelekezwa mwaka 1914.

Baada ya Ujerumani kupoteza koloni lake kwa Mwingereza mwaka 1918 shamba hili lilimikiwa na raia kutoka Ugiriki, Bwana W.J Tamé. Na baada ya uhuru wa Tanganyika mwaka 1961 shamba hili liliuzwa kwa Kanisa la Kilutheri Tanzania (Tanzania Lutheran Church).

Inasemekana neno Irente Farm lilitokana na kirai (phrase) "I rented a Farm" na hivyo jina Irente likatokana na jina "I rented". Kutokana na mazungumzo ya lugha ya kingereza wakati huo baadhi ya Waswahili walibadilisha "I rented" kuwa ‘Irente
 
Back
Top Bottom