Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,227
- 113,583
Hapa Nyerere akiikosoa Uingereza pia
Hapa Nyerere akizungumzia Rhodesia
Heheheeee Nyerere bana....kanifurahisha hapo aliposema 'jitu zima' hahahahaaaa.
Nyerere na Mandela wakizungumza na waandishi wa habari.....
Nyerere akizungumzia ugomvi na Idi Amini....
Last edited by a moderator: