*Ukweli ni kwamba Gambo anaboa, he's too much. Unazuiaje ziara ya kamati ya mipango miji eti kuna waraka unaozuia? Hujui maudhui ya ziara, tumeooteza open spaces 2 Njiro tunataka kwenda kukagua...
Mwaka 1952, Albert Einstein alipewa nafasi ya kuteuliwa kuwa Rais wa Israel lakini akakataa kwa hoja moja kwamba yeye ni mwanasayansi, asiyekuwa na uwezo wa kushughulika na watu (pamoja na umri...
Wanamajlis,
Jana Jumatatu nimefanya kipindi maalum kuhusu maisha ya Aboud Jumbe na siasa za Tanzania.
Ingia hapo chini kusikiliza:
Mohamed Said: KIPINDI MAALUM RADIO KHERI FM 104: ABOUD JUMBE...
Utangulizi
Prof. Ibrahim Lipumba ni msomi wa kutajika katika kundi kubwa lolote la wasomi popote pale duniani. Prof. Lipumba aliingia katika siasa mwaka wa 1995 si kwa mapenzi yake bali kwa...
Katika vita hii tunapata mafunzo manne makubwa kwa viongozi wetu wa nchi; hasa majemedari wa majeshi yetu.
(1) Tusifanye maamuzi ya kivita kutokana na intellijensia uchwara. Hata ukiwa na...
From Wikipedia.
1925 - "Millions Now Living Will Never Die"
"Millions now living will never die!" was exclaimed by Rutherford in a series of public lectures starting 1918. This was related to his...
Mpango wa kuanzisha elimu ya chuo kikuu Africa ya Kati ulianza 1857 -1965 na mshinikizo huuo uliwekwa na wamisionary hasa wa kanisa la Anglicana, kupitia vyuo vikuu tanzu vya Oxford, Cambridge...
TUKUMBUSHANE kuhusu kile kilichoitwa Operation Snow White ndani ya Kanisa la Scientology. Kanisa la Scientology lilifanya uamuzi wa siri wa kuunda mtandao duniani ili kujihami na kashfa zilizokuwa...
Utangulizi
Kitabu hiki kimezungumza kuhusu kitabu cha Dr. Harith Ghassany, ''Kwaheri Ukoloni Kwaheri Uhuru,'' (2010) na kitabu cha Mwandishi, ''The Life and Times of Abdulwahid Sykes (1924 -...
By eddy reyamy
George Githii alikuwa Mhariri Mkuu wa gazeti la Nation. Githii aliandika taazia ya Jomo Kenyatta wakati Kenyatta yu hai hajafa. Bahati mbaya sana kwa Githii, Kenyatta akapata...
Aboud Jumbe Mwinyi
TAAZIA
ABOUD JUMBE 1920 - 2016
George Githii alikuwa Mhariri Mkuu wa gazeti la Nation. Githii aliandika taazia ya Jomo Kenyatta wakati Kenyatta yu hai hajafa. Bahati mbaya sana...
Kuna Baadhi ya Wanasiasa Walisikitisha sana Hatima yao, Nitawataja wawili ambao Visa Vyao Nimevifuatilia Kwa Undani Hasa. Kuna Rais aliyefikia Mauti Kwa Njia ya Kinyama kabisa wa Taifa La Liberia...
Kwa muda mrefu nimewahi kusikia hadithi kadhaa kuwahusu hii jamii/kabila la Wandorobo japo katika kutembea kwangu mbugani sikuwahi bahatika kukutana na hawa jamaa. Ingekuwa vizuri kwa wenye uelewa...
Unaweza kuuliza kwa nini kichwa cha thread hii kiwe muhimu. Unaweza hata usiwe mtu unayemsikiliza Bob Marley, lakini ukweli unabakia kuwa huyu jamaa ni icon. Mpaka leo kutoka, Brooklyn Bangladesh...
islam
--------------------------------------------------------------------
1 - The Almighty said: (Then He turned to the sky when it was smoke) separated 11:
- Made these verses in the...
From UPDP in Zambia
To our friends in the media, the diplomatic community and the election observers currently in our country.
Since the voting closed at 1800 on Thursday 11th August we have...
Badawi Qulatein
Utangulizi
Hapo chini ni aliyoandikia Salim Msoma kwa kichwa, ''Al Marhum Comrade Badawi Qulatein,'' na kuniletea kuhusu Badawi Qulatein. Nami nimeona niweke hapa ili jamii...
Mnamo mwaka 1982, mtu mmoja kwa jina la Michael Fagan, alifanikiwa kuingia kwenyekasri ya Malkia, Queen Elizabeth baada yakuvunja dirisha na kuingia chumbani humo.
Michael Fagan
Mtu huyo...
Great thanks to Mr Marcelin R Ndimbwa Mkurugenzi - Malinyi...
Mwanzo wa kuyathibitisha yaliyoandikwa na kuyajadiri juu ya mapinduzi ya kilimo Wilayani Malinyi umeanza Jana nikiwa na Comrade...
Utangulizi
Katika waandishi ambao siwezi kupita makala zao ni Salim Msoma. Utampenda akiandika au kuzungumza kwa Kiingereza au Kiswahili achilia mbali mantiki katika maudhui. Kaniletea habari hizi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.