Jukwaa la Historia

On JF:

MAKTABA YAPOKEA KITABU CHA TIPPU TIP KUTOKA KWA HAMISI DELGADO Leo nimepokea kitabu, "Tippu Tip: Ivory, Slavery and Discovery," kutoka kwa rafiki yangu Hamisi Delgado. Nimebahatika kuingia ndani...
1 Reactions
3 Replies
91 Views
London. Mkoloni ana njia nyingi za kuwaweka katika mstari ulionyoka. Machief wa Tanganyika ziarani Uingereza 1951.
14 Reactions
220 Replies
4K Views
Waliosema ukiachana na pesa, kitu kingine 'kinacho-run Dunia' ni mapenzi, wanathibitisha hili katika kisa hiki kifupi cha mapenzi. Pichani, anaonekana msichana mdogo akiwa ameketi chini na wazazi...
3 Reactions
6 Replies
205 Views
Tunaposema Tanzania Hatumaanishi Watu Tu Bali Tunaenda Mbali Na Kuangalia vilivyomo pia. Kulinda Tanzania Sio Tu Namna Tujuavyo Tutambue pia mchango Wa Wengine Ambao wao Hawajiwezi Katika...
0 Reactions
1 Replies
32 Views
Ibrahim Mohamed Bashe "Mshindi hahitaji kuwa na nguvu kuliko aliyeshindwa. Anahitaji tu kuwa na utayari wa kustahimili zaidi." Ibn khaldun karne ya 14. "Binadamu wote ni viungo vya mwili mmoja...
0 Reactions
0 Replies
145 Views
HISTORIA FUPI YA KABILA LA WAMAKONDE Kama ulikua hujui chanzo Cha Wamakonde kuweka NDONYA na kuchanja CHALE wacha nikufahamishe;- Wamakonde ni kabila linalo patikana katika wilaya zote...
5 Reactions
36 Replies
5K Views
Hii ni mada ya mtiririko wa matukio ya kidunia yasiyo ya kawaida, yaliyohifadhiwa toka vyanzo mbalimbali kwa njia ya picha, maandishi ama vyote viwili. Lengo kuu ni kupanua ufahamu wa wale wote...
90 Reactions
3K Replies
135K Views
Bob Marley, while having mixed ancestry with a white father and a black mother, self-identified as a black African and embraced Pan-Africanist ideals throughout his life.
8 Reactions
29 Replies
1K Views
https://youtu.be/XPUzrHfjH2s
2 Reactions
2 Replies
118 Views
Edward Festus Mukuka Nkoloso (1919 – 4 March 1989) Edward Festus Mukuka Nkoloso alikuwa mwalimu, mwanaharakati wa uhuru, na mtu mashuhuri kwa wazo lake la kipekee la kuanzisha programu ya anga za...
1 Reactions
6 Replies
272 Views
Wajerumani walitawala Tanganyika kwa kama miaka 20-30 hivi. Walifanya mambo mabaya na mazuri katika utawala wao huo mfupi. Walifanya mazuri kama kujenga reli ya Usambara kutoka Tanga kuelekea...
7 Reactions
47 Replies
1K Views
02 December 2022 Exclusive Interview With Mama Cecilia Tamanda Kadzamira, Former First Hostess of Malawi https://m.youtube.com/watch?v=4zOUbpK945o Cecilia Tamanda Kadzamira, GCVO (amezaliwa 25...
3 Reactions
18 Replies
1K Views
KIBRI KITAANGAMIZA MAREKANI NA ISRAEL Tatizo kubwa la Marekani ni kibri. Hiki kibri kimewaelemea kiasi hawawezi kuwaza kama binadamu mwenye uwezo uliokuwa na kikomo. Hata hapa walipofikishwa...
19 Reactions
149 Replies
2K Views
Tarehe 26/4/2019 ni maadhimisho ya Muungano wa Tanzania. Tukio la kitaifa linalochagizwa siku hiyo ni mkutano wa Mh Rais na Wananchi wa Mbeya katika uwanja wa Rwanda Nzovwe. Katika kudadisi...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Zanzibar kuna wenyeji wengi hasa Kaskazini Unguja, Tanga, Pangani, Mombasa nk. hujinasibu kuwa wao ni Washirazi. Kuna wakati kule Mombasa walikuwa wanaitwa wageni na wengi ilibidi wajichanganye...
7 Reactions
50 Replies
19K Views
Princess Diana's sapphire blue engagement ring may be one of the most recognizable pieces of jewelry in history, but not everyone was a fan of the stunning blue bauble. As re-enacted on season...
2 Reactions
6 Replies
3K Views
https://youtu.be/rXVVWfMv5wo?si=90SAmzHTuVpYN8ek
0 Reactions
0 Replies
124 Views
Back
Top Bottom