Miaka ya nyuma kabla ya kuzaliwa Kristo (BC) kulitokea mapigano kati ya Waisrael na Wakaanani ambao ndio wenyeji wa eneo hilo wa kabila la Wafilisti ambao ndio Wapalestina wa sasa
Waisrael walikuwa wakiaminika kuwa ni wacha Mungu na Wafilisti walidaiwa kuwa wapagani kwa wakati huo
Katika vita hiyo nabii Daudi alipambana Goliati ambaye alikuwa Mfilisti na Daudi kufanikiwa kumuua Goliati kwa kumpiga na kombeo kichwani
Inaaminika kwamba Wafilisti walikuwa ni mijitu yenye miili mikubwa hivyo Daud Muisrael alikuwa na kamwili kadogo lakini alimshinda Goliati kwa kuwa Mungu alikuwa pamoja naye na ndugu zake Waisrael
Pia kwa kuwa kwa mujibu wa maandiko ya dini Mungu aliwaahidi Waisrael kuwapa mji huo wa Kanani wa Wafilisti (Wapalestna) ndio maana kila wakati kwenye vita kati ya pande hizo mbili Wasrael ndio wanaoshinda na kuungwa mkono na mataifa makubwa ya dunia hii
Awali maandiko kwenye misahafu na maandishi ya wanazuoni wa dini vinasema kuwa wana Wa Israel walikwenda utumwani nchini Misri kwa kipindi kirefu takribani miaka elfu nne
Mungu alisikia kilio cha Israel kutokana na mateso waliokuwa wakiyapata nchini Misri baada ya ndugu yao Yusufu aliyekuwa akiaminiwa na mfalme Farao (Firauni) kufariki dunia
Hivyo Mungu akawahidi wana wa Israel kuwapa nchi ya maziwa na asali ambayo ni Kanani
Ndipo Mungu alipomuinua Musa aende kwa Farao kuwapa ruhusa watu wake Israel watoka utumwani hapo Misri ili waende kumuabudu Mungu na kumtolea sadaka kwenye nchi hiyo ya ahadi Kaanani
Firauni alikuwa mbishi kuwaachia wana wa Israel lakini mapigo aliyopigwa na Mungu hatimaye mwenyewe alisalimu amri akawapa ruhusa Waisrael watoke Misri
Aidha kutokana na Waisrael kutokuwa wavivu na kuwa watu wanafanyakazi nyingi vizuri na ngumu pale Misri na kuifanya nchi hiyo kujitegemea kwa chakula ukilinganisha na Waarabu wenyeji wa Misri
Lakini nabii Musa alimkera Mungu ndipo Mungu alipomwambia hataingia Kaanani hakika atakufa kwa hiyo Waisrael waliingizwa nchi ya ahadi ya Kanani na nabii Joshua
Waisrael walipoingia Kaanani wakauteka mji huo kwa kushinda vita dhidi ya wenyeji wa mji huo ambao ni Wafilisti (Wapalestina) na kuwafurusha na kukaa eneo hilo
Wakati wa vita kuu ya pili ya dunia Adolf Hittler alilisambaratisha Taifa la Israel na kuwaua Wayahudi wengi wale wachache waliosalia wakakimbilia uhamishoni kwenye nchi mbalimbali duniani
Ndipo kipindi hicho Wapalestina wakarejea kwenye mji wao huo wa zamani wa asili wa mababu zao wa Kanani
Baadaye kwenye miaka ya 60 Waisrael wakajiunda tena wakazaliana wakaongezeka na kudai kurejea eneo la Mahariki ya kati kwenye miji yao ya asili waliyopewa na Mungu ya Jerusalemu, Kanani na maeneo mengine ya wakiamini ndio asili yao wakitumia ramani ya kwenye kitabu chao cha dini ya Kiyahudi
Ndipo Umoja wa Mataifa wakagawa baadhi ya miji wakapewa Wapalestina na baadhi wakapewa Waisrael mfano kwenye mji mkongwe wa Jeusalemu upande wa mashariki wa mji huo wamepewa Wapalestina na magharibi wanapewa Israel lakini bado kila mmoja haridhiki na eneo alilogawiwa
Hivyo sababu hiyo ya kugombea ardhi ndio uhasama ulipo kati ya Israel na Wapalestina tangu enzi za nabii Daudi hata kabla ya Kristo mpaka zama hizi za kizazi cha kisasa cha dot com na kistaarabu bado tu hakuna uelewano kati yao
Aidha inasemekana ugomvi huu wa pande hizi mbili kati ya Israel na Palestina hauwezi kwisha mpaka MASIHI WA BWANA YESU KRISTO ATAKAPO RUDI TENA MARA YA PILI DUNIANI UKIONA UGOMVI HUO UMEISHA UJUE KIAMA KIMEKARIBIA TUTUBU DHAMBI ZETU
Waisrael walikuwa wakiaminika kuwa ni wacha Mungu na Wafilisti walidaiwa kuwa wapagani kwa wakati huo
Katika vita hiyo nabii Daudi alipambana Goliati ambaye alikuwa Mfilisti na Daudi kufanikiwa kumuua Goliati kwa kumpiga na kombeo kichwani
Inaaminika kwamba Wafilisti walikuwa ni mijitu yenye miili mikubwa hivyo Daud Muisrael alikuwa na kamwili kadogo lakini alimshinda Goliati kwa kuwa Mungu alikuwa pamoja naye na ndugu zake Waisrael
Pia kwa kuwa kwa mujibu wa maandiko ya dini Mungu aliwaahidi Waisrael kuwapa mji huo wa Kanani wa Wafilisti (Wapalestna) ndio maana kila wakati kwenye vita kati ya pande hizo mbili Wasrael ndio wanaoshinda na kuungwa mkono na mataifa makubwa ya dunia hii
Awali maandiko kwenye misahafu na maandishi ya wanazuoni wa dini vinasema kuwa wana Wa Israel walikwenda utumwani nchini Misri kwa kipindi kirefu takribani miaka elfu nne
Mungu alisikia kilio cha Israel kutokana na mateso waliokuwa wakiyapata nchini Misri baada ya ndugu yao Yusufu aliyekuwa akiaminiwa na mfalme Farao (Firauni) kufariki dunia
Hivyo Mungu akawahidi wana wa Israel kuwapa nchi ya maziwa na asali ambayo ni Kanani
Ndipo Mungu alipomuinua Musa aende kwa Farao kuwapa ruhusa watu wake Israel watoka utumwani hapo Misri ili waende kumuabudu Mungu na kumtolea sadaka kwenye nchi hiyo ya ahadi Kaanani
Firauni alikuwa mbishi kuwaachia wana wa Israel lakini mapigo aliyopigwa na Mungu hatimaye mwenyewe alisalimu amri akawapa ruhusa Waisrael watoke Misri
Aidha kutokana na Waisrael kutokuwa wavivu na kuwa watu wanafanyakazi nyingi vizuri na ngumu pale Misri na kuifanya nchi hiyo kujitegemea kwa chakula ukilinganisha na Waarabu wenyeji wa Misri
Lakini nabii Musa alimkera Mungu ndipo Mungu alipomwambia hataingia Kaanani hakika atakufa kwa hiyo Waisrael waliingizwa nchi ya ahadi ya Kanani na nabii Joshua
Waisrael walipoingia Kaanani wakauteka mji huo kwa kushinda vita dhidi ya wenyeji wa mji huo ambao ni Wafilisti (Wapalestina) na kuwafurusha na kukaa eneo hilo
Wakati wa vita kuu ya pili ya dunia Adolf Hittler alilisambaratisha Taifa la Israel na kuwaua Wayahudi wengi wale wachache waliosalia wakakimbilia uhamishoni kwenye nchi mbalimbali duniani
Ndipo kipindi hicho Wapalestina wakarejea kwenye mji wao huo wa zamani wa asili wa mababu zao wa Kanani
Baadaye kwenye miaka ya 60 Waisrael wakajiunda tena wakazaliana wakaongezeka na kudai kurejea eneo la Mahariki ya kati kwenye miji yao ya asili waliyopewa na Mungu ya Jerusalemu, Kanani na maeneo mengine ya wakiamini ndio asili yao wakitumia ramani ya kwenye kitabu chao cha dini ya Kiyahudi
Ndipo Umoja wa Mataifa wakagawa baadhi ya miji wakapewa Wapalestina na baadhi wakapewa Waisrael mfano kwenye mji mkongwe wa Jeusalemu upande wa mashariki wa mji huo wamepewa Wapalestina na magharibi wanapewa Israel lakini bado kila mmoja haridhiki na eneo alilogawiwa
Hivyo sababu hiyo ya kugombea ardhi ndio uhasama ulipo kati ya Israel na Wapalestina tangu enzi za nabii Daudi hata kabla ya Kristo mpaka zama hizi za kizazi cha kisasa cha dot com na kistaarabu bado tu hakuna uelewano kati yao
Aidha inasemekana ugomvi huu wa pande hizi mbili kati ya Israel na Palestina hauwezi kwisha mpaka MASIHI WA BWANA YESU KRISTO ATAKAPO RUDI TENA MARA YA PILI DUNIANI UKIONA UGOMVI HUO UMEISHA UJUE KIAMA KIMEKARIBIA TUTUBU DHAMBI ZETU