johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,028
- 142,088
Nimemsikia mtangazaji wa Upendo TV akiripoti kutokea Cathedral ya Azania Front akisema hapo ndipo alipokuwa anasali Dr. Karl Peters.
Na nimesoma kwenye gazeti fulani kuwa Karl Peters aliruhusiwa kuingia Tanganyika na Sultan wa Oman aliyeishi Zanzibar wakati huo.
Na zaidi ikasemwa Karl Peters aliwahi kuuwa kijiji kizima cha Wachaga huko Rombo.
Naomba majibu ya swali langu, ikumbukwe Karl Peters ndiye aliyemsainisha Mikataba wa Kitapeli Chifu Mangungo wa Msovero.
Nawatakia Dominica njema 🌟
Na nimesoma kwenye gazeti fulani kuwa Karl Peters aliruhusiwa kuingia Tanganyika na Sultan wa Oman aliyeishi Zanzibar wakati huo.
Na zaidi ikasemwa Karl Peters aliwahi kuuwa kijiji kizima cha Wachaga huko Rombo.
Naomba majibu ya swali langu, ikumbukwe Karl Peters ndiye aliyemsainisha Mikataba wa Kitapeli Chifu Mangungo wa Msovero.
Nawatakia Dominica njema 🌟