Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

On JF:

Wakuu baada ya kumaliza PCM form 6 nilichagua kujiunga na kozi ya Mechanical kwenye vyuo vinne Tanzania, ngazi ya Bachelor Degree Selection zimetoka. Vyuo ni NIT, DIT, MUST na ATC ATC nimekosa...
7 Reactions
63 Replies
4K Views
Katika makosa niliyofanya katika maisha ni kujiunga na masomo ya PhD pale Open University of Tanzania. Ningelijua ningeeda UDSM. Kwa matatizo ninayopitia sishauri mtu akasome PhD pale OUT...
44 Reactions
254 Replies
12K Views
Mwandishi mahiri wa vitabu vya lugha ya kiingereza, mmiliki wa shule ya Perfect Vision na Mwanasiasa mahiri tutakukumbuka daima. SAME MASHARIKI tumepata jembe 2025-2035.
1 Reactions
8 Replies
795 Views
Binafsi kwa TANZANIA hii ya Sasa mtoto wangu akisema anasomea ualim namfukuza kwangu saa hiyo 😂🙏😂. Aende akaish kwenye ofisi za CCM huko.
13 Reactions
55 Replies
2K Views
MUHIMU: Ni Kwa vyuo vya kodi zetu / vya serikali, level ya vyuo / taasisi zinazotoa degree, Open University kipo kila mkoa lakini ni maalum zaidi kwajili ya waajiriwa, hawaingii madarasani...
7 Reactions
149 Replies
6K Views
Anonymous
Kozi zinazotolewa CNMS hazina ajira moja kwa moja tofauti na kwenda kuwa Lecturer Chuoni. Mfano ni Bsc. Physics na Bsc. Biology. Unakuta mtu umebobea kwenye masomo magumu ya Sayansi bila kuwa na...
5 Reactions
12 Replies
357 Views
Sio viumbe hai wote wana damu moja inayofanana rangi Ingawa mara nyingi tunafikiria damu kuwa nyekundu kabisa, jamii ya wanyama inaonyesha wigo mzuri wa uhandisi wa kibiolojia. Rangi ya damu...
6 Reactions
35 Replies
388 Views
Kama kuna chuo cha ajabu kwa kuwa na utitiri wa kozi ambazo hazina msingi wowote katika soko la ajira basi UDOM ni kinara. Kuna kozi huenda hujawahi kuzisikia au hutazisikia popote duniani lakini...
18 Reactions
126 Replies
6K Views
Kilio cha muda mrefu cha Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Longido cha kutokuwa na bwalo la kisasa kimepata ufumbuzi baada ya Serikali kuahidi kutoa zaidi ya Shilingi Milioni 700 kwa ajili ya ujenzi...
0 Reactions
0 Replies
101 Views
Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), kwa kushirikiana na wadau wa sekta ya afya nchini, kimeratibu kikao maalum cha kitaifa kilichowakutanisha wataalamu wa radiolojia na tiba ya mionzi kwa lengo la...
3 Reactions
5 Replies
153 Views
Naomba kuuliza kama mtu umejiajiri na unatamani kujiendeleza kimasomo kwenye fani ya usimamizi wa fedha ...ni Bora kusoma kipi kati ya hizo program mbili na kati ya hizo ni ipi ambayo itakupa muda...
4 Reactions
28 Replies
3K Views
Anonymous (22da)
Habari, Napenda kuwapongeza kuwa sauti yetu wananchi Mungu akubariki sana. Samahani naomba utupazie sauti wanafunzi wa postgraduate UDOM tunanyanyasikaaa, mtu ameshamaliza utafiti wake...
2 Reactions
3 Replies
139 Views
Nadhani humu Kuna wazazi/walezi watapitia ujumbe wangu. Kama una mtoto anamaliza kidato cha sita mwaka huu na anataka ajiunge na ualimu mshauri akasome diploma ya ualimu akikataa basi muache...
2 Reactions
12 Replies
309 Views
Anonymous
Pale Kibiti Boys Secondary School Mwalimu Mkuu na baadhi ya Walimu wao fimbo imekuwa ni njia ya malezi, hili suala imekuwa too much. Kuna muda Wazazi na Walezi wa Wanafunzi wanaosoma hapo walitoa...
2 Reactions
7 Replies
266 Views
Uongozi wa Chuo Kikuu cha UDOM uongeze umakini mkubwa katika usimamizi wa masomo ya postgraduate. Wanafunzi wengi wa postgraduate wanacheleweshwa kimaksudi na kulazimishwa kulipa pesa nyingi za...
1 Reactions
5 Replies
431 Views
Anonymous
BARUA YA WAZI KWA WAZIRI WA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOJIA NA TUME YA VYUO VIKUU TANZANIA (TCU) KUHUSU MALALAMIKO YA NYONGEZA YA ADA YA EXTENSION KWA WANAFUNZI WA SHAHADA YA UMAHIRI (MASTERS) –...
4 Reactions
3 Replies
278 Views
Kumekuwa na wimbi kubwa la wahitimu wa vyuo vikuu na vya kati kuhitimu elimu zao bila kuwa na ujuzi wa kivitendo katika taaluma walizozichagua. Hali hii imesababisha changamoto kubwa mitaani, hasa...
1 Reactions
1 Replies
167 Views
Habarini wakuu. Naomba kusaidiwa kimawazo, Mimi ni muhitimu wa Diploma in Accounting and Finance mwaka 2014 na tangu 2016 mpaka sasa ni muajiriwa as an accountant katika taasisi (private)...
4 Reactions
22 Replies
548 Views
Wakuu habari za leo! Natumai mu wazima wa afya. Wapendwa naomba niwashirikishe jambo kidogo kwa ufupi mimi ni IT Professional nafanya kazi moja ya kampuni za private hapa mjini Dar, nimekua...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kimeibuka mshindi wa kwanza katika mashindano ya kitaifa ya usalama wa mtandao ya Cyber Premier League (CPL), baada ya timu yake ya wanafunzi watano, S4LV4T0R3...
4 Reactions
7 Replies
269 Views
Back
Top Bottom