Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

On JF:

Umri ni miaka 14, Mtoto ana uwezo mzuri darasani wala sina shaka juu ya uwezo wake. ana uwezo wa ziada wa kulisakata gozi (mpira) Shule ya msingi alisoma mchanganyiko ya kutwa. Katika likizo...
3 Reactions
14 Replies
405 Views
Anonymous
HALI HIYO IMEPELEKEA BAADHI YA WALIMU KUKOSA FEDHA ZA KUJIKIMU NA KUPELEKEA KULALA MADARASANI KUTOKANA NA KUKOSA FEDHA ZA KODI. PIA WALIMU WENGI TUNANAISHI MBALI NA FAMILIA ZETU KWANI TULIKOSA...
0 Reactions
7 Replies
633 Views
Mtaàla mpya wa elimu unataka shule za msingi zifundishwe na mwalimu mwenye stashahada ya ualimu, lakini sifa za Mwl kujiunga na stashahada au degree zipo sawa. Hii itakosesha walimu wa kufundisha...
0 Reactions
3 Replies
290 Views
Anonymous
Wilaya ya Mbinga Mkurugenzi amelazimisha shule zote za Sekondari kuanzia Mwaka 2025 kuwa Kidato cha kwanza wanatakiwa kusoma masomo yote bila kujali wameyachagua au la, kitu ambacho ni kinyume na...
1 Reactions
9 Replies
289 Views
Wakuu habari za wakati huu Jobless Mimi Nina kipengele kimoja ili kukidhi matakwa ya hizi nafasi za ajira TAKUKURU. Advance nimesoma private mpaka namaliza nilikuwa nadaiwa 1m+ hivyo sikuchukua...
1 Reactions
5 Replies
178 Views
Salaam wakuu, Kwa ujuvi wa mambo, ukiwa na lengo la kua Biomedical Engineer mzuri kibongo bongo lipi ni chaguo sahihi zaidi hapo juu? Nawasilisha...🙏
1 Reactions
0 Replies
129 Views
Anonymous
Halmashauri ya Muheza - Tanga wamekuwa na limbikizo la madeni ya Watumishi hasa Waalimu wanadai pesa za uhamisho, likizo inaenda miaka mitatu hadi minne mtu hajalipwa stahiki zake hivi huwa...
0 Reactions
1 Replies
102 Views
Wakuu mambo vipi naomba msaada wa application ya ku editia videos. Nataka ni edit ka event ka familia nimekashuti mwenyewe.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Anonymous (8b17)
Tunaomba Serikali kuwalipa hela za matumizi na ada wafadhiliwa wa kada za ubingwa na ubobezi katika sekta ya afya wanaosomeshwa katika Vyuo Vikuu nje ya nchi. Mwaka umepita tangu tumepatiwa hela...
0 Reactions
1 Replies
137 Views
Wanabodi, Nimekuwa nikipitia matokeo ya form four kwa baadhi ya shule za Zanzibar, kwa shule nyingi nilizopitia, nimeshangazwa kukuta Div I, Div II, na Div III ni chache sana!, kule zimejazana...
5 Reactions
79 Replies
13K Views
Dodoma, Aprili 11, 2026 Kongamano la vijana ya kumbukizi ya miaka 104 ya kuzaliwa kwa Baba wa Taifa, Julius Nyerere, limefanyika leo Jumamosi katika Ukumbi wa Chimwaga, Chuo Kikuu cha Dodoma...
1 Reactions
2 Replies
110 Views
Teknolojia ya Artificial Intelligence (AI) imebadilisha sana namna watu wanavyotengeneza maudhui ya video. Leo hii, mtu anaweza kutengeneza video za matangazo, musiki, elimu, au burudani bila...
2 Reactions
5 Replies
640 Views
Wanabodi, Kuna msemo wa kizungu usemao, "numbers don't lie" yaani numbers, haziongopi!. Japo mimi nilipokuwa primary School nilikuwa mzuri wa hesabu, sekondari nikakutana na Additional...
45 Reactions
359 Replies
14K Views
Test how smart you are.... A quick brain tickler … Please look at the math’s below: They say only people with an IQ with 120 and over are able to figure this out… If: 2 + 3 = 10 7 + 2 = 63...
1 Reactions
11 Replies
9K Views
Habari wakuu. Samahani naomba ushauri, nahitaji kuendeleza career yangu katika MpH. Je KIUT ni sehemu sahihi ya kuweza kupata elimu iliyo bora na inayotambulika. Asante
4 Reactions
5 Replies
247 Views
Serikali imewahimiza wataalamu wa lugha ya Kiswahili kutumia kikamilifu fursa zinazotokana na ukuaji wa lugha ya Kiswahili duniani, ikiwa ni pamoja na tafsiri, ukalimani, uandishi wa vitabu na...
1 Reactions
0 Replies
144 Views
Anonymous
Ninaandika kama mwanafunzi wa Moshi Co-operative University. Kuna tatizo kubwa ambalo halizungumzwi wazi: baadhi ya lecturers wanatumia vitisho badala ya kufundisha. Tunatishiwa kupewa C au...
1 Reactions
12 Replies
202 Views
Jaman brothers naenda kidato cha tano tahasusi ya PMC(Physics, Mathematics, Computer). Natamani kupata division 1.3. Naombeni ushauri wenu na technique za kusoma
1 Reactions
6 Replies
849 Views
Anonymous (8b17)
Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa Mkoa wa Dodoma njia haipitiki, ni hatari jamani warekebishe barabara basi, hata wanafunzi hapo hawawezi kwenda shule. Hali ya ubovu imeongezeka tangu mvua...
1 Reactions
1 Replies
145 Views
Back
Top Bottom