Umri ni miaka 14, Mtoto ana uwezo mzuri darasani wala sina shaka juu ya uwezo wake.
ana uwezo wa ziada wa kulisakata gozi (mpira)
Shule ya msingi alisoma mchanganyiko ya kutwa.
Katika likizo...
HALI HIYO IMEPELEKEA BAADHI YA WALIMU KUKOSA FEDHA ZA KUJIKIMU NA KUPELEKEA KULALA MADARASANI KUTOKANA NA KUKOSA FEDHA ZA KODI.
PIA WALIMU WENGI TUNANAISHI MBALI NA FAMILIA ZETU KWANI TULIKOSA...
Mtaàla mpya wa elimu unataka shule za msingi zifundishwe na mwalimu mwenye stashahada ya ualimu, lakini sifa za Mwl kujiunga na stashahada au degree zipo sawa. Hii itakosesha walimu wa kufundisha...
Wilaya ya Mbinga Mkurugenzi amelazimisha shule zote za Sekondari kuanzia Mwaka 2025 kuwa Kidato cha kwanza wanatakiwa kusoma masomo yote bila kujali wameyachagua au la, kitu ambacho ni kinyume na...
Wakuu habari za wakati huu
Jobless Mimi Nina kipengele kimoja ili kukidhi matakwa ya hizi nafasi za ajira TAKUKURU. Advance nimesoma private mpaka namaliza nilikuwa nadaiwa 1m+ hivyo sikuchukua...
Halmashauri ya Muheza - Tanga wamekuwa na limbikizo la madeni ya Watumishi hasa Waalimu wanadai pesa za uhamisho, likizo inaenda miaka mitatu hadi minne mtu hajalipwa stahiki zake hivi huwa...
Tunaomba Serikali kuwalipa hela za matumizi na ada wafadhiliwa wa kada za ubingwa na ubobezi katika sekta ya afya wanaosomeshwa katika Vyuo Vikuu nje ya nchi.
Mwaka umepita tangu tumepatiwa hela...
Wanabodi,
Nimekuwa nikipitia matokeo ya form four kwa baadhi ya shule za Zanzibar, kwa shule nyingi nilizopitia, nimeshangazwa kukuta Div I, Div II, na Div III ni chache sana!, kule zimejazana...
Dodoma, Aprili 11, 2026
Kongamano la vijana ya kumbukizi ya miaka 104 ya kuzaliwa kwa Baba wa Taifa, Julius Nyerere, limefanyika leo Jumamosi katika Ukumbi wa Chimwaga, Chuo Kikuu cha Dodoma...
Teknolojia ya Artificial Intelligence (AI) imebadilisha sana namna watu wanavyotengeneza maudhui ya video. Leo hii, mtu anaweza kutengeneza video za matangazo, musiki, elimu, au burudani bila...
Wanabodi,
Kuna msemo wa kizungu usemao, "numbers don't lie" yaani numbers, haziongopi!.
Japo mimi nilipokuwa primary School nilikuwa mzuri wa hesabu, sekondari nikakutana na Additional...
Test how smart you are....
A quick brain tickler
Please look at the maths below:
They say only people with an IQ with 120 and over are able to figure this out
If:
2 + 3 = 10
7 + 2 = 63...
Habari wakuu. Samahani naomba ushauri, nahitaji kuendeleza career yangu katika MpH. Je KIUT ni sehemu sahihi ya kuweza kupata elimu iliyo bora na inayotambulika. Asante
Serikali imewahimiza wataalamu wa lugha ya Kiswahili kutumia kikamilifu fursa zinazotokana na ukuaji wa lugha ya Kiswahili duniani, ikiwa ni pamoja na tafsiri, ukalimani, uandishi wa vitabu na...
Ninaandika kama mwanafunzi wa Moshi Co-operative University.
Kuna tatizo kubwa ambalo halizungumzwi wazi: baadhi ya lecturers wanatumia vitisho badala ya kufundisha. Tunatishiwa kupewa C au...
Jaman brothers naenda kidato cha tano tahasusi ya PMC(Physics, Mathematics, Computer). Natamani kupata division 1.3. Naombeni ushauri wenu na technique za kusoma
Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa Mkoa wa Dodoma njia haipitiki, ni hatari jamani warekebishe barabara basi, hata wanafunzi hapo hawawezi kwenda shule.
Hali ya ubovu imeongezeka tangu mvua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.