Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

On JF:

Anonymous
Habari, Mimi ni mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na pia ni mkazi wa Mabibo hostel. Hii changamoto imekuwa ni kwa miaka sasa. Mabafu na vyoo havina milango na wala hakuna dalili za...
2 Reactions
3 Replies
202 Views
Anonymous
Mimi ni mkazi wa kigamboni nina vijana wangu zaidi ya wawili wanasoma shule ya msingi Ungindoni. Changamoto kubwa nayokutana nayo kama mzazi na ukiangalia ni kijana najipambania ni swala la...
0 Reactions
4 Replies
198 Views
Ukweli muhimu ambao watu wengi husahau: Watu hawa hawakuacha chuo wakianza kutafuta mafanikio. Waliondoka chuo kwa sababu: Tayari walikuwa na ujuzi maalum Tayari walikuwa na miradi au biashara...
2 Reactions
32 Replies
660 Views
Anonymous
imeona JamiiForums.com kuna Mwanachama aliandika kuhusu ongezeko la michango kwa Wanafunzi katika Shule nyingi za Dar es Salama, niseme tu alichoandika ni kweli na hali hiyo ina kera sana. Mfano...
3 Reactions
35 Replies
1K Views
Anonymous
Naelekea Mwaka mmoja tangu nimemaliza masomo, ila nilibakiza research hapo Chuoni (Chuo Kikuu Huria). Nilipata kazi Uganda, kwahiyo nikaamua kubadilisha sehemu ninayotakiwa kufanya research yangu...
2 Reactions
12 Replies
1K Views
Anonymous
WANAFUNZI WA SOCIOLOGY na SOCIAL WORK wa OPEN UNIVERSITY tunalipa pesa ya field kila mwaka lakini hatufanyiwi field assessment, kila supervisor tunayemuuliza anatuambia "Tunasubiria taratibu za...
2 Reactions
2 Replies
186 Views
Wakuu habari napenda kuuliza Mtanzania wa kwanza kupata PhD na katika chuo gani? Si vibaya kama wakitajwa hata 10 katika mpangilio. Note: Lengo langu ni kufahamu wazalendo hao; nikiamini kwamba...
1 Reactions
97 Replies
39K Views
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano. Nina swali kuhusu hii Bsc in Data Management inayotolewa pale Open University of Tanzania. 1- Competency, unaweza kutoka ukiwa competent enough kwa...
3 Reactions
53 Replies
15K Views
Anonymous (c258)
Department ya Foreign Language na Literature ya University of Dodoma kuna tatizo kubwa sana. Wanawafelisha wanafunzi bila msaada wowote. Mfano hai ni LG 102 (Communication Skills)—hili somo...
5 Reactions
5 Replies
239 Views
Anonymous (c258)
Shule ya Msingi MOTHER TERESA ENGLISH MEDIUM PRE AND PRIMARY SCHOOL iliyopo Njombe Mjini, Mtaa wa Hagafilo inayomilikiwa na EDWARD MWALONGO, Mbunge Mstaafu wa Jimbo la Njombe Mjini kuna changamoto...
2 Reactions
14 Replies
361 Views
Anonymous
Habari, Mimi ni mzazi nawakilisha wazazi wenzangu ambao wamechoshwa na kero hii. Mimi ni Mkazi wa Kibaha Manispaa, mkoa wa Pwani. Tumechoshwa na kero ya michango mashuleni hasa shule ya Msingi...
1 Reactions
1 Replies
134 Views
Anonymous (0c52)
Tangu mwaka wa masomo ulipoanza mwezi November 2025, baadhi ya wanafunzi TUNAOTUMIA MFUMO wa ZAMANI wa chuo hicho, tumekumbana na changamoto kadhaa na hatupati msaada kokote tunakokwenda. Kwanza...
1 Reactions
1 Replies
157 Views
Timu ya wafanyakazi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) imeanza kwa mafanikio makubwa ushiriki wake katika mashindano ya michezo ya watumishi wa umma nchini Tanzania (Mei Mosi 2026), kwa kuibuka na...
0 Reactions
3 Replies
172 Views
Neema alikuwa amechoka. Miezi mitatu ya research, na bado literature review ilikuwa "rough draft." Supervisor alimwambia mara nyingine tena: "Rudi uiandike title upya." Alianza kujiuliza: "Mimi...
0 Reactions
0 Replies
125 Views
Ndaki ya Uhandisi na Sayansi za Ardhi ya Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), kwa kushirikiana na kampuni ya “Guideline Geo”, inayoongoza duniani katika suluhisho za jiofizikia za maeneo ya karibu na uso...
2 Reactions
2 Replies
124 Views
Siku hizi maisha ya chuoni yamebadilika sana kwa sababu ya AI (Artificial Intelligence). Kuna AI tools ambazo zinaweza kusaidia sana kwenye masomo na kazi za chuo. Badala ya kupambana peke yako...
2 Reactions
10 Replies
1K Views
Habari wadau, Natumaini mnaendelea vizuri. Niko Morogoro, "mkoa wa vyakula vyuo na seminar", na tunaendelea vizuri. Kwa waislamu ni siku ya ibada, kwa wasabato ya maandalizi na wengine wanapanga...
0 Reactions
0 Replies
119 Views
Wakuu baada ya kumaliza PCM form 6 nilichagua kujiunga na kozi ya Mechanical kwenye vyuo vinne Tanzania, ngazi ya Bachelor Degree Selection zimetoka. Vyuo ni NIT, DIT, MUST na ATC ATC nimekosa...
7 Reactions
63 Replies
4K Views
Katika makosa niliyofanya katika maisha ni kujiunga na masomo ya PhD pale Open University of Tanzania. Ningelijua ningeeda UDSM. Kwa matatizo ninayopitia sishauri mtu akasome PhD pale OUT...
44 Reactions
254 Replies
12K Views
Back
Top Bottom