Mikdde
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 5,721
- 5,582
Naomba kuuliza kama mtu umejiajiri na unatamani kujiendeleza kimasomo kwenye fani ya usimamizi wa fedha ...ni Bora kusoma kipi kati ya hizo program mbili na kati ya hizo ni ipi ambayo itakupa muda mzuri wa kufanya mambo yako mengine ..
NB : naomba pia ushauri wa chuo gan kinatoa evening classes Kwa Master degree
NB : naomba pia ushauri wa chuo gan kinatoa evening classes Kwa Master degree