Panctuality
JF-Expert Member
- Jun 11, 2019
- 925
- 1,386
Habarini wakuu.
Naomba kusaidiwa kimawazo, Mimi ni muhitimu wa Diploma in Accounting and Finance mwaka 2014 na tangu 2016 mpaka sasa ni muajiriwa as an accountant katika taasisi (private),
Nafikiria kujiendeleza kielimu katika tasnia hii hii ya accountancy na katika kufuatilia hapa na pale inaelezwa kuwa unaweza ukachukua CPA (T) kwa kuanzia Foundation level, intermediate level na hatimaye Final level na kuwa CPA holder au kuingia bachelor degree ya accountancy na kusoma CPA kwa kuanzia level ya intermediate level hadi final level.
Naomba kushauriwa nipitie njia gani ili nibaki salama kwenye ajira yangu na maisha ya familia yaendelee? Na je, foundation level naweza kupata exemptions kwa baadhi ya masomo ikizingatiwa Diploma yangu ni ya Accounting and Finance GPA 4.1 ?
Naomba kusaidiwa kimawazo, Mimi ni muhitimu wa Diploma in Accounting and Finance mwaka 2014 na tangu 2016 mpaka sasa ni muajiriwa as an accountant katika taasisi (private),
Nafikiria kujiendeleza kielimu katika tasnia hii hii ya accountancy na katika kufuatilia hapa na pale inaelezwa kuwa unaweza ukachukua CPA (T) kwa kuanzia Foundation level, intermediate level na hatimaye Final level na kuwa CPA holder au kuingia bachelor degree ya accountancy na kusoma CPA kwa kuanzia level ya intermediate level hadi final level.
Naomba kushauriwa nipitie njia gani ili nibaki salama kwenye ajira yangu na maisha ya familia yaendelee? Na je, foundation level naweza kupata exemptions kwa baadhi ya masomo ikizingatiwa Diploma yangu ni ya Accounting and Finance GPA 4.1 ?