Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

On JF:

Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), kwa kushirikiana na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, kikiwa na ufadhili wa Serikali ya Korea ya Kusini kupitia KOICA na uratibu wa UNICEF, kimetoa mafunzo...
1 Reactions
2 Replies
169 Views
Walimu wa sekondari wailes wanaongoza kwa kubuni michango shule ni tatizo ni nini? Mtoto asipoenda kusoma jumamosi anadaiwa tofali 5 mpaka 10 za sementi na hela aliyotakiwa kulipa jumamosi...
2 Reactions
9 Replies
216 Views
Anonymous
Mimi ni mwalimu wa Shule ya Sekondari katika Halmashauri ya Arusha DC. Hivi karibuni wanafunzi wa kidato cha nne walifanya mitihani ya pre-mock, ambapo kila mwanafunzi alitozwa shilingi 12,000...
1 Reactions
8 Replies
310 Views
Ni matumaini yangu mko salamaa! Mimi niko salamaa sijui ninyi huko, Mnaoumwa poleni, na wenye changamoto za hapa na pale poleni pia. Niende kwenye lengo, nataka niandae research proposal kwa...
1 Reactions
11 Replies
361 Views
Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kimeendelea kudhihirisha nafasi yake kama mdau muhimu katika sekta ya afya, baada ya kushiriki kikao cha tano cha kitaifa cha wataalamu wa afya kilicholenga kuimarisha...
4 Reactions
3 Replies
179 Views
Moja ya mambo ambayo yamekua changamoto kwa wadau wengi ni malalamiko juu ya umeme kuisha haraka pasipokujua nini sababu. Leo kelphin ntakupa au ntakukumbusha jambo moja au zaidi ya kuzingatia...
33 Reactions
75 Replies
8K Views
Habari wakuu, Udsm kwa nyakati tofauti huwa inakuwa na viongozi DARUSO pamoja na kambi za wanaharakati. Na wote kwa pamoja wana mchango mzuri sana. Sasa tukumbushane wanaharakati maarufu...
1 Reactions
225 Replies
30K Views
Anonymous
Wanafunzi wa UDOM tunalipishwa hela ya Makazi tunapobaki wakati wa likizo ingawa tunakuwa tushalipa hela ya makazi (accommodation fees) ya mwaka mzima kwenye direct cost. Sasa swali ni je kama...
2 Reactions
48 Replies
746 Views
Habari wakubwa bila shaka mpo salama, nawahitaji wote mliosomo hiyo kozi au mnaendelea na masomo kozi hiyo hapo juu. Naomba uzoefu wenu katika hiyo kozi kuanzia uzuri wa kozi yenyewe katika nyaja...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Anonymous
Tunawaandikia kuwasilisha malalamiko kuhusu tatizo la sinki za vyoo kujaa katika baadhi ya maeneo ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), tatizo hili limekuwa likiathiri Wanafunzi kwa muda mrefu...
0 Reactions
0 Replies
118 Views
It serious unafikiri mimi ningemshauri ninj? Zaidi ya kumwambia kwamba akasomee ulozi na uchawi Afrika magharibi kwa sababu kwa alichofaulu ni kiwango kizuri kwa hiyo fani na ama kwa hakika vodoo...
1 Reactions
3 Replies
668 Views
Jaman nauliza kwamba ukiachana na driving hivi ni short course gani inaweza kunilipa na kunifanya niweze kuishi jijini Dar es Salaam vizuri na pia nikaweza hata kuweka akiba ya 300k ndani ya...
7 Reactions
59 Replies
928 Views
Wana jf kama kuna mdau mwenye details za kujiunga na shirika la Jesuits naomba anijuze na kielimu mie ni graduate. All the best guys with constructive and destructive criticism.
0 Reactions
28 Replies
7K Views
If you happened to go through a Jesuit Learning Institution anywhere in the world and you are currently based in Dar es salaam...PM me...I am a Jesuit Alumnus myself and I recently attended a...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Anonymous
Sisi ni Walimu wa Shule ya Sekondari Mang'aliza, Kata ya Mang'aliza, Wilaya ya Mpwapwa, Tarafa ya Rudi, kero yetu ni kwa viongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa Mkoa wa Dodoma wameshindwa...
3 Reactions
30 Replies
563 Views
WARAKA WA WANAFUNZI WA ELIMU JUU KWA SERIKALI KUHUSU MIGOMO NA MAANDAMANOYA MARA KWA MARA VYUO VIKUU HAPA NCHINI. Tunapenda kuchukua fulsa hii kwanza kuomba msamaha na...
1 Reactions
22 Replies
17K Views
Wakuu naomba msaada wa mawazo kidogo; nilikua na kazi kwenye taasisi moja hapa nchini lakini nikiwa pale, kipato changu kikubwa kilikua kinatokea kwenye side hustles zangu sana japo na mshahara...
8 Reactions
39 Replies
2K Views
Wana theology,wataalam wa biblia na wale Wana historia napenda kuwasilisha swali kwenu nikitaka kujua mji wa galilaya ambao umetajwa kwenye biblia kwa Sasa uko katika nchi Gani na huo mji kwa sasa...
3 Reactions
19 Replies
466 Views
Anonymous
Binti yangu wa kidato cha 6 aliumwa shuleni nikapigiwa simu nikaenda kumfata, baada ya kumpeleka hospitali alipangiwa sindano za siku 10, siku aliyorudi shuleni na karatasi waliyotupatia wenyewe...
5 Reactions
36 Replies
559 Views
If you’ve been planning to apply, this is your moment. These scholarships are closing TOMORROW, and if you already have your documents ready, you might still be able to submit in time. 🎓...
0 Reactions
0 Replies
116 Views
Back
Top Bottom