Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), kwa kushirikiana na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, kikiwa na ufadhili wa Serikali ya Korea ya Kusini kupitia KOICA na uratibu wa UNICEF, kimetoa mafunzo...
Walimu wa sekondari wailes wanaongoza kwa kubuni michango shule ni tatizo ni nini? Mtoto asipoenda kusoma jumamosi anadaiwa tofali 5 mpaka 10 za sementi na hela aliyotakiwa kulipa jumamosi...
Mimi ni mwalimu wa Shule ya Sekondari katika Halmashauri ya Arusha DC.
Hivi karibuni wanafunzi wa kidato cha nne walifanya mitihani ya pre-mock, ambapo kila mwanafunzi alitozwa shilingi 12,000...
Ni matumaini yangu mko salamaa!
Mimi niko salamaa sijui ninyi huko,
Mnaoumwa poleni, na wenye changamoto za hapa na pale poleni pia.
Niende kwenye lengo, nataka niandae research proposal kwa...
Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kimeendelea kudhihirisha nafasi yake kama mdau muhimu katika sekta ya afya, baada ya kushiriki kikao cha tano cha kitaifa cha wataalamu wa afya kilicholenga kuimarisha...
Moja ya mambo ambayo yamekua changamoto kwa wadau wengi ni malalamiko juu ya umeme kuisha haraka pasipokujua nini sababu.
Leo kelphin ntakupa au ntakukumbusha jambo moja au zaidi ya kuzingatia...
Habari
wakuu,
Udsm kwa nyakati tofauti huwa inakuwa na viongozi DARUSO pamoja na kambi
za wanaharakati. Na wote kwa pamoja wana mchango mzuri sana.
Sasa tukumbushane wanaharakati maarufu...
Wanafunzi wa UDOM tunalipishwa hela ya Makazi tunapobaki wakati wa likizo ingawa tunakuwa tushalipa hela ya makazi (accommodation fees) ya mwaka mzima kwenye direct cost.
Sasa swali ni je kama...
Habari wakubwa bila shaka mpo salama, nawahitaji wote mliosomo hiyo kozi au mnaendelea na masomo kozi hiyo hapo juu. Naomba uzoefu wenu katika hiyo kozi kuanzia uzuri wa kozi yenyewe katika nyaja...
Tunawaandikia kuwasilisha malalamiko kuhusu tatizo la sinki za vyoo kujaa katika baadhi ya maeneo ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), tatizo hili limekuwa likiathiri Wanafunzi kwa muda mrefu...
It serious unafikiri mimi ningemshauri ninj? Zaidi ya kumwambia kwamba akasomee ulozi na uchawi Afrika magharibi kwa sababu kwa alichofaulu ni kiwango kizuri kwa hiyo fani na ama kwa hakika vodoo...
Jaman nauliza kwamba ukiachana na driving hivi ni short course gani inaweza kunilipa na kunifanya niweze kuishi jijini Dar es Salaam vizuri na pia nikaweza hata kuweka akiba ya 300k ndani ya...
Wana jf kama kuna mdau mwenye details za kujiunga na shirika la Jesuits naomba anijuze na kielimu mie ni graduate. All the best guys with constructive and destructive criticism.
If you happened to go through a Jesuit Learning Institution anywhere in the world and you are currently based in Dar es salaam...PM me...I am a Jesuit Alumnus myself and I recently attended a...
Sisi ni Walimu wa Shule ya Sekondari Mang'aliza, Kata ya Mang'aliza, Wilaya ya Mpwapwa, Tarafa ya Rudi, kero yetu ni kwa viongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa Mkoa wa Dodoma wameshindwa...
WARAKA WA WANAFUNZI WA ELIMU JUU KWA SERIKALI KUHUSU
MIGOMO NA MAANDAMANOYA MARA KWA MARA VYUO VIKUU HAPA NCHINI.
Tunapenda kuchukua fulsa hii kwanza kuomba msamaha na...
Wakuu naomba msaada wa mawazo kidogo; nilikua na kazi kwenye taasisi moja hapa nchini lakini nikiwa pale, kipato changu kikubwa kilikua kinatokea kwenye side hustles zangu sana japo na mshahara...
Wana theology,wataalam wa biblia na wale Wana historia napenda kuwasilisha swali kwenu nikitaka kujua mji wa galilaya ambao umetajwa kwenye biblia kwa Sasa uko katika nchi Gani na huo mji kwa sasa...
Binti yangu wa kidato cha 6 aliumwa shuleni nikapigiwa simu nikaenda kumfata, baada ya kumpeleka hospitali alipangiwa sindano za siku 10, siku aliyorudi shuleni na karatasi waliyotupatia wenyewe...
If you’ve been planning to apply, this is your moment. These scholarships are closing TOMORROW, and if you already have your documents ready, you might still be able to submit in time.
🎓...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.