Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kinatoa pongezi za dhati kwa Bw. Suleiman Risasi, Mhadhiri Msaidizi kutoka Ndaki ya Sayansi za Jamii (CHSS), Idara ya Sanaa na Taaluma za Habari (AMS), kwa kufanikisha...
Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imefanya ziara ya mafunzo Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kujifunza mafanikio katika masomo ya TEHAMA.
Mkuu wa msafara, Dkt. Rehema Horera katika hotuba yake...
Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kimefanya kikao muhimu na Kamati ya Utendaji wa Afya ya Mkoa wa Dodoma ili kutambulisha rasmi mradi wa matumizi ya akili Unde (AI) katika huduma za sonografia kwa...
Chuo Kikuu cha Dodoma ( UDOM) kupitia Ndaki ya Sayansi za Ardhi na Uhandisi (CoESE) imeendelea kudhihirisha ubora wake kitaifa baada ya andiko lake kuingia katika miongoni mwa maandiko matatu...
Mimi ni mwanafunzi niliyehitimu Chuo cha Uhasibu Arusha, tangu mwaka 2025 lakini mpaka sasa hivi baadhi yetu hatujapatiwa vyeti na vigezo vyote tumekidhi lakini kila tukienda chuoni hapo tumekuwa...
Watoto wa shule ya msingi jijini Mbeya wamepata matatizo ya kiafya ikiwemo kuumwa tumbo na kutapika na wengine kufaliki baada ya kupewa chanjo ya vidonge kwa ajili ya minyoo na kichocho.
Miongoni...
Kuna shule mpya ya Serikali Mkoani Kagera, Halmashauri ya Bukoba Vijijini inaitwa Rubafu Secondary School ipo Kata Rubafu.
Ilifunguliwa ili kuwapunguzia mwendo Wanafunzi wanaotokea Vijiji vya...
Shule ya Msingi MIEMBENI ipo Kijiji cha MIEMBENI, Kata ya Kitanda Halmashauri ya Mbinga Mji, hali halisi ni kuwa haishawishi kabisa suala zima la kufundisha wala kujifunzia.
Madarasa hayana...
Ukisoma hizi course jitahidi ujue kuendesha Bodaboda kama backup.
1. Human resources management
2. Business Administration
3. Teaching (wapo kuanzia...
Napenda kutoa kero yangu hapa kwenu:
Mkoa wa Mwanza na wilaya zake, kwa Maafisa Elimu na Maafisa Taaluma wa Elimu Msingi kuzingatia maadili ya kazi na kuheshimu utu wa walimu, hasa walimu wa...
Habari za wakati huu wana jukwaa.
Niko mbele yenu hapa kuomba kama kuna yoyote aliyewahi kuomba na kupata Scholarship za MEXT za nchini JAPAN aweze kunipa guidance ya mambo kadhaa maana dirisha...
Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), kupitia Kurugenzi ya Tafiti, Machapisho na Ushauri Elekezi, kimeanzisha mafunzo maalum ya uandishi wa mapendekezo ya miradi ya tafiti na huduma za ushauri, yakilenga...
Ninaandika haya kama ajira mpya lakini mwenye uzoefu mkubwa katika ufundishaji.
Nimefika kwenye kituo cha kazi shule ya sekondari na nilichokutana nacho nitofauti na matarajio ya waziri wa elimu...
Mimi Mwanafunzi wa Kampala (KIUT), Kozi ya Pharmacy, kuna jambo linatukera sana, kuna tabia ya Walimu kukomoa Wanafunzi, kutuwekea mazingira magumu ya kufaulu mtihani, na njia pekee ya kutoboa...
Binafsi nakumbuka zamani mwalimu alipokuwa anatuambia log 10 = 1, ukimuuliza logarithm ni nini anakujibu tu ndivyo ilivyo 😅 ukija hesabu za dx/dy tulikariri njia za kupata majibu bila kujua vizuri...
Habari wanajamvi,
Kama heading ilivyo, naomba kwa wenye uzoefu na scholarship hii wanisaidie ufafanuzi wa kina kwa maeneo yafuatayo;
1. Nini huangaliwa zaidi mpaka mwombaji kuwa shortlisted
2...
Hii Department ya Foreign Language na Literature ya University of Dodoma kuna tatizo kubwa sana.
Wanawafelisha wanafunzi bila msaada wowote. Mfano hai ni LG 102 (Communication Skills)—hili somo...
Wakuu kwema naomba kujua utaratibu wa kumuamisha mtoto wa darasa la tatu kutoka mkoa mmoja kwenda mkoa mwingine utaratibu wake upoje 🙏🏽
Mwenye uwelewa na ili.
Habari wana Jamii Forums,
Naomba kuwasilisha hii kero kwa umma na taarifa hizi zifike TAMISEMI na Wizara ya Elimu.
Kuna utaratibu mbovu sana kwa wanafunzi wanaosoma shule ya msingi Tandika...
Katika shule za msingi na sekondari mkoani Mwanza, watoto wenye ulemavu bado wanakabiliwa na mazingira ya kujifunzia yasiyo rafiki, kutoka vyoo visivyofikika hadi madarasa yasiyo na njia salama za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.