Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

On JF:

Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kinatoa pongezi za dhati kwa Bw. Suleiman Risasi, Mhadhiri Msaidizi kutoka Ndaki ya Sayansi za Jamii (CHSS), Idara ya Sanaa na Taaluma za Habari (AMS), kwa kufanikisha...
3 Reactions
7 Replies
206 Views
Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imefanya ziara ya mafunzo Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kujifunza mafanikio katika masomo ya TEHAMA. Mkuu wa msafara, Dkt. Rehema Horera katika hotuba yake...
4 Reactions
7 Replies
240 Views
Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kimefanya kikao muhimu na Kamati ya Utendaji wa Afya ya Mkoa wa Dodoma ili kutambulisha rasmi mradi wa matumizi ya akili Unde (AI) katika huduma za sonografia kwa...
1 Reactions
2 Replies
153 Views
Chuo Kikuu cha Dodoma ( UDOM) kupitia Ndaki ya Sayansi za Ardhi na Uhandisi (CoESE) imeendelea kudhihirisha ubora wake kitaifa baada ya andiko lake kuingia katika miongoni mwa maandiko matatu...
2 Reactions
1 Replies
179 Views
Anonymous
Mimi ni mwanafunzi niliyehitimu Chuo cha Uhasibu Arusha, tangu mwaka 2025 lakini mpaka sasa hivi baadhi yetu hatujapatiwa vyeti na vigezo vyote tumekidhi lakini kila tukienda chuoni hapo tumekuwa...
0 Reactions
0 Replies
108 Views
Watoto wa shule ya msingi jijini Mbeya wamepata matatizo ya kiafya ikiwemo kuumwa tumbo na kutapika na wengine kufaliki baada ya kupewa chanjo ya vidonge kwa ajili ya minyoo na kichocho. Miongoni...
0 Reactions
2 Replies
214 Views
Anonymous (f836)
Kuna shule mpya ya Serikali Mkoani Kagera, Halmashauri ya Bukoba Vijijini inaitwa Rubafu Secondary School ipo Kata Rubafu. Ilifunguliwa ili kuwapunguzia mwendo Wanafunzi wanaotokea Vijiji vya...
2 Reactions
12 Replies
332 Views
Anonymous (ad13)
Shule ya Msingi MIEMBENI ipo Kijiji cha MIEMBENI, Kata ya Kitanda Halmashauri ya Mbinga Mji, hali halisi ni kuwa haishawishi kabisa suala zima la kufundisha wala kujifunzia. Madarasa hayana...
2 Reactions
4 Replies
160 Views
Ukisoma hizi course jitahidi ujue kuendesha Bodaboda kama backup. 1. Human resources management 2. Business Administration 3. Teaching (wapo kuanzia...
46 Reactions
135 Replies
3K Views
Napenda kutoa kero yangu hapa kwenu: Mkoa wa Mwanza na wilaya zake, kwa Maafisa Elimu na Maafisa Taaluma wa Elimu Msingi kuzingatia maadili ya kazi na kuheshimu utu wa walimu, hasa walimu wa...
0 Reactions
1 Replies
138 Views
Habari za wakati huu wana jukwaa. Niko mbele yenu hapa kuomba kama kuna yoyote aliyewahi kuomba na kupata Scholarship za MEXT za nchini JAPAN aweze kunipa guidance ya mambo kadhaa maana dirisha...
1 Reactions
4 Replies
597 Views
Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), kupitia Kurugenzi ya Tafiti, Machapisho na Ushauri Elekezi, kimeanzisha mafunzo maalum ya uandishi wa mapendekezo ya miradi ya tafiti na huduma za ushauri, yakilenga...
1 Reactions
0 Replies
97 Views
Ninaandika haya kama ajira mpya lakini mwenye uzoefu mkubwa katika ufundishaji. Nimefika kwenye kituo cha kazi shule ya sekondari na nilichokutana nacho nitofauti na matarajio ya waziri wa elimu...
5 Reactions
13 Replies
347 Views
Anonymous (719f)
Mimi Mwanafunzi wa Kampala (KIUT), Kozi ya Pharmacy, kuna jambo linatukera sana, kuna tabia ya Walimu kukomoa Wanafunzi, kutuwekea mazingira magumu ya kufaulu mtihani, na njia pekee ya kutoboa...
3 Reactions
6 Replies
400 Views
Binafsi nakumbuka zamani mwalimu alipokuwa anatuambia log 10 = 1, ukimuuliza logarithm ni nini anakujibu tu ndivyo ilivyo 😅 ukija hesabu za dx/dy tulikariri njia za kupata majibu bila kujua vizuri...
7 Reactions
21 Replies
315 Views
Habari wanajamvi, Kama heading ilivyo, naomba kwa wenye uzoefu na scholarship hii wanisaidie ufafanuzi wa kina kwa maeneo yafuatayo; 1. Nini huangaliwa zaidi mpaka mwombaji kuwa shortlisted 2...
0 Reactions
0 Replies
101 Views
Anonymous
Hii Department ya Foreign Language na Literature ya University of Dodoma kuna tatizo kubwa sana. Wanawafelisha wanafunzi bila msaada wowote. Mfano hai ni LG 102 (Communication Skills)—hili somo...
0 Reactions
0 Replies
111 Views
Wakuu kwema naomba kujua utaratibu wa kumuamisha mtoto wa darasa la tatu kutoka mkoa mmoja kwenda mkoa mwingine utaratibu wake upoje 🙏🏽 Mwenye uwelewa na ili.
2 Reactions
5 Replies
207 Views
Anonymous
Habari wana Jamii Forums, Naomba kuwasilisha hii kero kwa umma na taarifa hizi zifike TAMISEMI na Wizara ya Elimu. Kuna utaratibu mbovu sana kwa wanafunzi wanaosoma shule ya msingi Tandika...
0 Reactions
0 Replies
148 Views
Katika shule za msingi na sekondari mkoani Mwanza, watoto wenye ulemavu bado wanakabiliwa na mazingira ya kujifunzia yasiyo rafiki, kutoka vyoo visivyofikika hadi madarasa yasiyo na njia salama za...
1 Reactions
1 Replies
218 Views
Back
Top Bottom