Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

On JF:

"An error occurred please ..." Hili tatizo kwenye kujisajiri heslb olams online mmelitatuaje
1 Reactions
1 Replies
90 Views
Kuna mambo yanaendelea chuoni hapo mpaka unajiuliza, hiki chuo kina wenyewe kweli? Na wanafunzi wamekaa kimya, mpaka unajiuliza tunazalisha wasomi wa namna gani? Jumanne tarehe 30 June, wamefanya...
0 Reactions
0 Replies
123 Views
Habari za Leo wakuu, Naombeni kuuliza kati ya hizo kozi mbili tajwa ni ipi ina uwanja mpana wa ajira kwa hapa Tanzania? Na ni ipi ipo wide? Natanguliza shukrani.
1 Reactions
50 Replies
12K Views
Habari za muda huu wakuu Naomba ushauri, mtu mwenye diploma ya forensic science anaweza kusoma degree ipi hasa kama anataka kujikita kwenye uchunguzi wa maiti
0 Reactions
0 Replies
114 Views
Kama kuna mtu alisoma Ndanda sekondari miaka ya 1972-1975/6 naomba anicontact PM tukumbukane tafadhali
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Wakuu, nina mdogo wangu anataka kahama chuo kutoka kampala university kwenda muhimbili(MUHAS),Kozi ya udaktari mwaka wa tatu.Taratibu zikoje
0 Reactions
3 Replies
133 Views
Viongozi walioteuliwa kuingoza TAHLSO wengi wao si wanafunzi wa vyuo washamalza masomo wapo mtaani jambo ambalo ni kinyume na katiba ya TAHLSO. Kuna matumizi mabaya ya madaraka na ufujaji mwingi...
0 Reactions
7 Replies
170 Views
Anonymous (6de4)
Naomba kuwasilisha Jambo hili. Serikali iliyopo madarakani ambayo inakwenda kumaliza muda wake, imefanya ubadhirifu mkubwa wa fedha za wanafunzi. Naomba takukuru waweze kufika na kulifanyia kazi...
0 Reactions
0 Replies
115 Views
Naombeni MSAADA nahitaji kuomba mkopo heslb diploma kozi ya dental naombeni mnisaidie mambo gani yanahitajika hapo Natanguliza 🙏🙏🙏🙏
0 Reactions
1 Replies
69 Views
Kuna tabia ya baadhi ya Lecturers wengine hapa chuoni UCC UDSM, tena ni kikundi cha Lecturers inavyoonekana ni wanajuana wanachokifanya, kuanzia kwa Principal Mr. Aron na Mr. Kabigi sana sana...
0 Reactions
0 Replies
127 Views
Tafsiri halisi ya malipo haya ni ipi? Je, ni kwamba Serikali imeshindwa kugharamia kikamilifu utekelezaji wa sera ya elimu bila ada, au shule zimebaini kuwa fedha zinazotolewa hazitoshelezi...
0 Reactions
0 Replies
69 Views
Wakuu habari zenu. Kuna binti alimaliza kidato cha nne 2022. Lakini alisoma Art subjects, sasa anatamani kusomea afya awe nurse. Sasa anauliza kama anaweza kusoma QT masomo ya science ili apate...
0 Reactions
3 Replies
481 Views
Habari za asubuhi wadau Nahitaji MSAADA wa kupata chuo huko kwenye mitandao mingine naona matangazo mengi kuhusu hiki chuo vipi wakuu kinafaa au ndoa kizuri chajiuza.......
0 Reactions
0 Replies
83 Views
KARIBU CHUO DIRECT* Hiki ni Kikundi Rasmi cha Msaada kwa Waombaji wote wa Vyuo Vikuu na Vyuo vya Kati Tanzania. Huduma Tunazotoa: 1. Mikopo ya HESLB- Maombi kamili, marekebisho ufuatiliaji 2...
0 Reactions
1 Replies
106 Views
Wajuzi wa hizo kazi naomba msaada wenu kwa mwenye kufahamu au kuwa na taarifa. Baada ya kumaliza kazi zangu za Kila siku huwa nakuwa na muda kidogo ambayo naona kama unapotea. Sasa nahisi kama...
2 Reactions
4 Replies
211 Views
Mei 25, Mdau alipost picha za muonekano wa Vyoo vya Shule ya Msingi Miembeni iliyoko Kata ya Msamala Manispaa ya Songea Mkoani Ruvuma, akaonesha jinsi hali ilivyokuwa mbovu na ya kusikitisha na...
1 Reactions
4 Replies
143 Views
Anonymous
Wahitimu wa Chuo cha Kilimanjaro College of Health and Allied Science (KICHAS) hatujapata vyeti lakini tukiulizia wanasema chuo chetu kilisahaulika. Wahitimu wa Mwaka 2025, tumeuliza uongozi wa...
0 Reactions
4 Replies
181 Views
Anonymous
Sisi wataalamu wa maabara(certificate hadi degree) nchini Tanzania ambao tulifanya Mtihani wa Leseni kuanzia march 15 hadi april 01(certificate hadi degree) tumecheleweshewa kupewa matokeo kwa...
1 Reactions
3 Replies
169 Views
Habarini wajuvi. Ninaomba msaada wa channel za binti yangu kuhamia Benjamin Mkapa High School kwa kidato cha 5. Binti amepangiwa Mpemba Sec huko Songwe. Natanguliza shukurani.
0 Reactions
6 Replies
188 Views
Kuna Mwalimu chuo kikuu mzumbe ndani ya Morogoro anafanya elimu Kama Biashara anatoa assignment ambayo tunatakiwa kuondoka Zaidi ya page 80 Na haturuhusiwi kuprint eti tukusanye softcopy Kwa CR's...
7 Reactions
40 Replies
730 Views
Back
Top Bottom