Ni ngumu sanaWakuu, nina mdogo wangu anataka kahama chuo kutoka kampala university kwenda muhimbili(MUHAS),Kozi ya udaktari mwaka wa tatu.Taratibu zikoje
PoaNi ngumu sana
Ushauri aende St Francis au CuHAS
KUPATA tu nafasj kampala ni ishara tosha pale MUHAS hapamfahi