Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

On JF:

Msaada hii kozi siku izi wanaombaje maana haipo kjwenye mfumo wa maombi kupitia nactevet na hio ni kozi ambayo nahitakji sana kuisoma Cuhas tumeshindwana wamesema 535,000 ya nafasi 😂 tena...
0 Reactions
2 Replies
106 Views
Kwa ufupi wakuu nahitaji kujifunza Jinsi seli zinavyozaliwa, zinavyokuwa, zinavyowasiliana na jinsi zinavyokufa. Jinsi vinasaba DNA na RNA vinavyonakiliwa, jinsi vinavyotoa maelekezo ya...
1 Reactions
5 Replies
130 Views
Habari zenu wakuu? Kwa mnao somesha Makongo Secondary this time, je kimaadili inafaa kumpeleka Dogo secondary boarding? Dogo ni wa kiume a namaliza la saba mwaka huu. Concern yangu ni kuhusu suala...
4 Reactions
56 Replies
655 Views
Tunaomba msaada kwani kazi tunapata ila vyeti hatuna, tumefatilia chuo wanatuzungusha hata hawajali kabisa tunateseka sisi tunaomba mamlaka husika mtusaidie.
0 Reactions
0 Replies
44 Views
Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), leo tarehe 17 Juni 2026, kimepokea ujumbe kutoka Baraza la Vyuo Vikuu vya Afrika Mashariki (IUCEA) uliolenga kujadili ushirikiano katika utekelezaji wa Mpango wa...
0 Reactions
0 Replies
79 Views
Habari wapendwa, naomba mwenye kukifahamu kwa undani chuo tajwa hapo juu naomba msaada wako. Na kama ulishawahi kusoma huko itapendeza sana. Shukrani
0 Reactions
4 Replies
150 Views
Ndio maana kila siku nasema ni uwendawazimu wa hali ya juu Sana kulipa hela kumsomesha mwanafunzi shule inayo fundisha kwa mtaala wa NECTA. Ni ubabaishaji wa hali ya juu Sana. How comes mtoto...
4 Reactions
35 Replies
1K Views
Ninaomba mamlaka husika zitafakari hali halisi ya elimu ya kidato cha tano na sita nchini. Serikali imekuwa ikisema elimu ni bure, lakini ukweli uliopo mashuleni ni tofauti kabisa hasa kwa watoto...
0 Reactions
1 Replies
128 Views
Kuna haja kwa mamlaka husika kufuatilia kwa karibu kinachoendelea katika baadhi ya programu za incubation kwa vijana wabunifu zinazoendeshwa chini ya Atamiz/CBE. Kila mwaka vijana wengi hujiunga...
0 Reactions
0 Replies
88 Views
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) na Makamu Mwenyekiti wa Jopo la Kimataifa la Sayansi ya Mabadiliko ya Tabianchi (IPCC), Dkt. Ladislaus Chang’a, tarehe 16 Juni 2026...
0 Reactions
1 Replies
87 Views
  • Redirect
Habari wapendwa, naomba mwenye kukifahamu kwa undani chuo tajwa hapo juu naomba msaada wako. Na kama ulishawahi kusoma huko itapendeza sana. Shukrani
0 Reactions
Replies
Views
Mimi ni mhitim wa kozi ya clinical assistant KUTOKA kwenye chuo flani hapa DAR nimefatilia transcript KUTOKA NACTVET na kufanikiwa kuipata hivyo napenda kujuzwa INA umuhim kwenye kuomba nafasi za...
0 Reactions
3 Replies
95 Views
  • Featured
Kuna ukweli mmoja mchungu sana kuhusu mfumo wetu wa elimu ya juu hapa nchini ambao kama tusipoujadili sasa, kwa uwazi na bila kupepesa macho, tutakuja kujuta kama taifa baada ya miaka mitano au...
18 Reactions
34 Replies
1K Views
Habari wanajamii Nilitamani kufahamu kama Zile postgraduate programs ambazo sio blended ama online classess pale udsm ni lazima kuattend vipindi physically au kuna nafasi ya kuhudhulia kwenye...
0 Reactions
0 Replies
95 Views
Wadau mimi ni mwanafunzi niliyemaliza form4 na kubahatisha kujiunga na kidato cha tano kwa mchepuo wa PCM kwa alama ya BAA. Shule niliyochaguliwa ni mpya ukizingatia kama mnavyojua mziki wa PCM...
2 Reactions
32 Replies
431 Views
Shule ya Jokate Mwegelo Girls Sekondari iliyopo Kisarawe ni miongoni mwa shule zinazofanya vizuri kitaaluma, jambo linalotokana na juhudi na kujituma kwa walimu pamoja na wanafunzi wake. Hata...
0 Reactions
0 Replies
105 Views
Hello, Mimi nimechaguliwa HGLi na nilitaka HGE. Math nina C so nilitaka kubadili kabla sijafika shule Naombeni kujua kama kuna uwezekano wa kubadili tahasusi mtandaoni.
1 Reactions
6 Replies
165 Views
Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya imetoa ufafanuzi kuhusu uchakavu wa madarasa ya Shule ya Msingi Kibisi iliyopo Kata ya Kyimo kwa kueleza kuwa kuna kiasi cha Tsh. Milioni 10 kimetengwa...
0 Reactions
0 Replies
170 Views
Link iyo chini kutazama https://selform.tamisemi.go.tz/Content/selection-and-allocation/2026/first-selection/index.html
5 Reactions
4 Replies
293 Views
Anonymous
KERO Mimi kama mzazi na mdau wa elimu shule ya sekondari mchungaji mwema iliyoko chini ya dayosisi ya Kagera nakelwa na mambo kama haya 1. Walimu KUNYIMWA MKATABA ambao ni silaha ya kulinda ajira...
0 Reactions
0 Replies
81 Views
Back
Top Bottom