Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

On JF:

wakuu wa Arusha/Moshi ningependa kuwafahamisha kuwa nafikiria kufungua ofisi mojawapo ya miji hiyo,mimi ni mchaga lakini nimeishi nje ya hiyo miji kwa muda mrefu sana, naombeni info kuhusu hali...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari za jioni wadau! Niliwahi kuandka hapa jukwaan kuelezea kuhusu kuhitaji mtu ambaye tunaweza anzisha tuition centre. Nimepata mtu lakini naona hayuko serious, kwa post hii naomba watu walio...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari za leo wanajamvi. Nina malengo ya kuanzisha biashara ya kununua chuma chakavu na makopo ya plastic. Naomba mwenye uelewa wa hii biashara anisaidie mawazo yake na mchanganuo wa hii biashara...
1 Reactions
4 Replies
6K Views
RevenueBrust.com - Earn 10$ Per Referral Link Visit ! Earn 2000$ monthly from home
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Samahani, Ukiachana na hii rate ya saivi ambayo ni 30% iliyowekwa mwaka Jan kutoka 25%. Ningependa kujua kama kuna mtu anajua ni rate ipi ilitumika kulipia import duties kwa metal kuanzia miaka...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kama inavyojieleza hapo jipatie nyumba ya vyumba vitano IPO Arusha ,field force . Kiwanja chake ni 20 kwa 20 unaweza pitia Ngusero au Field force . Serious buyer PM
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Yanayoendelea kutokea ni muendelezo wa yale mliyoyanyamazia juu ya wengine kwa kipindi kirefu. Hakuna kitu kinachoota bila kupandwa mbegu yake, sasa hivi hii ni mbegu iliyokuwa imepandwa na ndio...
1 Reactions
2 Replies
775 Views
Myenye kufahami hii ya Biashara ya imekaaje?! Natafuta Mwekezaji (business partner) ambaye atapata faida ya laki 5(50%) baada ya kuwekeza Million 1 kwenye biashara yangu yenye leseni , TIN na...
0 Reactions
2 Replies
884 Views
Habarini wapendwa naomba kujua katika hizi siku kuu tajwa hapo juu mjasilia mali huwa anatumia njia gani kuuza bidhaa yake.Yaani awe na vigezo gani aingie ndani,asanten
1 Reactions
3 Replies
1K Views
ECONOMISTS wenzangu wa jukwaa letu pendwa la kiuchumi. Habari zenu wakuu ! CBA ndio uchumi wenyewe.. Naomba tushirikiane kwa wale wenye ujuzi zaidi jinsi ya kufanya cost and benefit analysis...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Karibuni Sana one2 one focus company Ltd tunajenga nyumba kwa bei nafuu Sana na kununua viwanja na kuuza viwanja kwa bei nafuu Sana pia tunafanya renovation na finish za nyumba (contact...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu. Nakuleteeni umuhimu wa kumiliki hii Card ya payoner ambayo ukisajiri leo utatumiwa kadi yak ndani ya wiki 3 kupitia njia ya posta,then utaverify kwa kuweka upya namba za siri ,utaweza...
1 Reactions
31 Replies
6K Views
wakuuu habari,naomba msaada wa kuelekezwa wapi wanaburn CD ambazo zinzlakuwa na cover lake juu ya CD, pia nifahamu ni shilingi ngapi kwa CD moja, na wanauwezo wa kubarn CD ngapi kwa siku, msaada wadau
0 Reactions
1 Replies
779 Views
wakuu naomba mwenye Kujua machine ya kubarn/ print CD zenye cover juu, he naweza kupata wapi,na shilling ngapi,na na iana gani hiyo,napenda yenye uwezo wa kubarn CD mia moja kwa siku.msaada wadau
0 Reactions
0 Replies
960 Views
Habari zenu wakuu Kuna mtu anauza kiwanja ambacho hakijapimwa maeneo ya Kigamboni eneo la muongozo - Shirikisho Tatizo langu kubwa ni kwamba sina jinsi/namna ya kumjua muuzaji au mmiliki halali...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Wachumi mnisaidie tafadhari, eti kama uchumi unakuwa kwa 7% na mfumuko wa bei ni 7%, hii inamaana yeyote katika tafsiri za uchumi? #elimu #education #economics #
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Benki ya Dunia yasifu ustahimilivu wa uchumi wa Tanzania Benki ya Dunia imesema Tanzania inafanya vizuri katika sekta ya uchumi kuliko nchi nyingine jirani kama Kenya na Uganda kwa ukuaji imara...
0 Reactions
0 Replies
623 Views
Salaam, Mahali ninapoishi/wilaya haina mahala pa kusafishia picha, inawalazimu kusafiri hadi mkoani kwenda kusafisha picha hizo.Kwangu nimeona kama ni fursa, nnafikiria kuingia kwenye biashara...
0 Reactions
8 Replies
6K Views
Habari wana JR mimi huwa najiuriza swala moja " nyerere alifunga migodi ya madini enzi zake na kusema tutasubili watanzania wapate elimu juu ya madini haya waje wachimbe wenyewe". je hadi sasa...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Speculation would first seem to be one of the easiest things on earth because you might think of making money by hitting bid and ask buttons for trading instruments of your choice. Hitting bid and...
0 Reactions
0 Replies
717 Views
Back
Top Bottom