Nipo na kamtaji kama ml 2 hivi nataka kuanzisha play station hapa town napoishi...kwa wenye uzoefu haka kabiashara kapoje wakuu upande Wa maslahi yake na changamoto zake...Asanteni
Wakuu tumeona post nyingi zikiwahamasisha wafanya biashara wadogo na wakati kwenda nchi ya Thailand kufanya manunuzi ya badhaa zao.
Wengi walijitokeza kuchangia na pia
waliahidi soon watakwenda...
Nimekua nikisikia Mara kwa mara viongozi na hata watu wenyedhamana katika asasi kubwa za kiselikari na,w zisizo za kiselikali zikishauri kuwa vijana Tuunde vikundi ili tuweze kupata msaada wa...
Habarini wakuu!
Naombeni mnifahamishe kuhusu kozi za majengo na kodi ya ardhi(land tax)
Mfano: Mtu una nusu heka na kanyumba labda ka thamani ya 30 million na upo kwenye eleo la makazi ya watu...
Tembelea website yangu kusoma mengi www.telona.cf
Biashara ndio chombo kikuu cha maendeleo duniani kote.Watu wengi wanalalamika kuhusu kutofanikiwa katika nyanja za biashara.Biashara ni elimu...
Here’s the market outlook for the week:
EURUSD
Dominant bias: Bearish
EURUSD consolidated from Monday to Friday, save a faint rally that was witnessed on Wednesday. The bearish bias on the...
Shirika la Ndege Tanzania ‘ATCL’ kupitia kwa Mkurugenzi Mkuu, Ladislaus Matindi amesema kuwa wamekusanya kiasi cha Sh. BILIONI 9 kwa kipindi cha miezi minne tangu ndege mbili za Bombardier Q400...
Habari ndugu wana JF
Mimi kutokana na maisha kuwa magumu nafikiria kuacha chuo ili nijihusishe na uzalishaji Mali.
Nazungumza haya kutokana na kauli ama ushauri wa POLEPOLE kwa wanachuo waliokosa...
Habari, Ninaomba msaada wa kujua gharama za na aina nzuri ya mashine za kuamua alizeti. Aidha naombwa kufahamishwa gharama za uendeshaji zikoje ?. Nimeona fursa hii nataka kujikita katika...
Naomba niilete mezani hii mada ili iwasaidie na wale wanunuzi wa bidhaa eti kati ya ebay na aliexpress ni upi unapata bidhaa yako mapema?
Yaani kukutumia mzigo unakufikia kwa muda mchache na...
Wakuu
Tumezoea kusikia ebay, alibaba/aliexpress, na amazon jee hamna tovuti nyingine ambazo tunaweza kufanya manunuzi onlinr
Ningependa tuzifahamu na ambazo huwezi kulizwa na ambazo zinatuma...
Ninachoamini ukiwa karibu na watu wenye Changamoto,naamini na wewe utapata changamoto na kujijenga ubaadae wako ila ukikaa kwa wapenda starehe nawe utapenda starehe sana
Sina chochote cha...
Mimi ni mkazi wa wilaya ya Chunya,
Nategemea kuanza kuotesha miti na maua kwa ajili ya biashara. Je, inaweza kuniletea tija? Pia ni vitu gani muhimu vya kuzingatia?
NATEGEMEA MAWAZO YENU
(Bloomberg) -- Vodacom Group’s Tanzanian unit is considering asking market regulators to extend the deadline of its initial public offering and allow foreign participation because it’s...
Watu wengi wana maswali ya ziada ni kwanini Bei ya hisa za Vodacom ni Shilingi 850 kwa kila hisa?
Bei hii ya hisa ilifikiwa baada ya wakurugenzi wa Vodacom kuafikiana pamoja na mshauri mkuu kwa...
Salaam Wadau,
Kwa wakandarasi wa wa Ujenzi daraja la kwanza hadi la saba ambao hawana wataalamu/utaalamu, napenda kuitambulisha kampuni yetu kuwa tuna wataalaamu wanaoweza kusimamia miradi ya...
Habari wana jf.
Wanajf, ninashida ya tsh 100,000 ya
haraka sana Kama Kuna member
anayeweza kunikopesha kwa riba
mimi nipo tayari.
Namba yangu 0689631083.
Mungu awabariki.
Niliwayi kusema si kila mtu anapenda kujiajiri ila ni matokeo tu ndo usababisha watu na wasomi wanazuoni kuamu kujiajili. Ukitaka kujua hilo ebu angalia jinsi dunia ilivyo leo Wenje naye anaumia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.