Wataalamu wa viwanja na mashamba (ardhi kwa ujumla)

Blank page

JF-Expert Member
May 28, 2015
5,473
4,787
Naomba kufahamu kuhusu huu uwekezaji...tafadhali,hivi 1 square metre ya ardhi ukiambia inauzwa shillingi 5000,inakuwa ina ukubwa gani? na katika kupimwa au kuongezewa inaongezeka vp? mfano mimi nina shillingi laki 3 je nikinunua kwa bei hiyo nitapata eneo la ukubwa kiasi gani? na litatosha kwa shughuli gani au huo ni sawa na ukubwa kisai gani?? nawasilisha mawazo yenu na elimu ya juu zaidi kuelimishana juu ya ardhi.
reference; baada ya kuona matangazo mengi ya kuuza mashamba na ardhi so nahitaji kufahamu thamani ya ardhi wakuu...

Bagamoyo fukayosi
*Mtr 800 toka Bara Bara kuu ya Bagamoyo.
*Huduma zakijamii zipo jirani
*Bei Sh 5,000 kwa Sqm1
Mashamba Bagamoyo Fukayosi.
*Km 3 toka barabara kuu ya Bagamoyo.
*Bei Sh 2,500,000 kwa Ekar 1.maeneo yote yamepimwa na Yana hati.
VKP Investment.
 
Nyumba angalau vyumba vitatu jiko sebule selfu na fensi ya kawaida si chini ya sqmr 500 hivo 500 zidisha mara 5000 hivo ni milion 2.5
ah so kama ni hzo 60sq.metres nazotaka kuchukua zitakuwa ni ndogo sana kwamb inatakiwa nijiongeze sana mkuu? na vp kuhus ukubwa wa ekari 1 inakuaje?
 
ah so kama ni hzo 60sq.metres nazotaka kuchukua zitakuwa ni ndogo sana kwamb inatakiwa nijiongeze sana mkuu? na vp kuhus ukubwa wa ekari 1 inakuaje?

SQM 60ni sawa na enep lenyeukubwa wa 2m x 30m au 3m x 20m au 15m x 4mkama liko box !! Hivyo utaona ni eneo dogo ! Hivyo kuuongeza eneo inategemea na aina ya shughuli unayotaka kufanya !!!

Kuhusu ukubwa EKARI(ACREE) 1 = 4046.8566 SQM !! Vivyo hivyo HEKARI (HECTARE) 1 = 10,000 SQM
 
SQM 60ni sawa na enep lenyeukubwa wa 2m x 30m au 3m x 20m au 15m x 4mkama liko box !! Hivyo utaona ni eneo dogo ! Hivyo kuuongeza eneo inategemea na aina ya shughuli unayotaka kufanya !!!

Kuhusu ukubwa EKARI(ACREE) 1 = 4046.8566 SQM !! Vivyo hivyo HEKARI (HECTARE) 1 = 10,000 SQM
Asante sana mkuu,nimekupata vizur bila chenga.
 
Back
Top Bottom