Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

On JF:

Mauzo ya hati fungani katika Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE) wiki iliyoishia tarehe 13 Aprili 2017 yameshuka kutoka thamani ya Shilingi Bilioni 12.1 wiki iliyopita hadi Shilingi Bilioni 6.9...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nimepata pesa imeandikwa Bank of korea 1000won
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Tafadhari naomba kufahamishwa tofauti ya maneno Inc, Ltd na Co. yanapotumika kwenye majina ya biashara mfano Kwese Inc, Google Inc.
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Habari za muda wanajamvi, Wahenga walinena Tahadhari kabla ya hatari au vilevile Kinga ni bora kuliko tiba, basi nami naomba nianze kutoa tahadhari kama ifuatavyo. Najua ni watanzania wengi...
34 Reactions
56 Replies
8K Views
HABARI WANAJAMVI ,KUTOKANA NA KUVUTIWA NA BIASHARA YA KUCHUKUA STOCK YA MAHARAGE NA KUUZA KWA JUMLA MIKOANI NA DAR ES SALAAM.NAOMBA WAZOEFU MNIDSAIDIE KUJUA JINSI HII BIASHARA INAVYO FANYWA NA...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Gazeti la The Citzen linapaswa kupuuzwa kwa kile ilichofanya kuandika kuwa kampuni ya Vodacom inapanga kuomba kuongezewa muda wa kuuza hisa zake kuwaruhusu wageni kununua hisa za Vodacom. Huku...
2 Reactions
17 Replies
4K Views
Nimepata majengo ambayo nahitaji kufungua chuo cha utalii na usimamizi wa mahoteli na accounts. Sasa mahitaji ya sasa ni 1. Usajili 2. Katiba 3. Lesseni 4. Kodi Chuo hicho nataraji kuanza...
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Vikwazo vya biashara vinatofautiana kwa kila mmoja mfano kuna mwingine fursa ya biashara anakuwa nayo ila shida ni mtaji wakati kuna mwingine mtaji anao wakutosha ila hajui auze nini ili kimtoe...
4 Reactions
11 Replies
2K Views
Salaam JF Mimi ni kijana mtanzania graduate wa chuo kimojawapo hapa mchini. Pia ni mgeni kidogo humu JamiiForums hii ndio post yangu ya kwanza (Ingawa ni member wa muda kidogo) Nimekuwa na...
1 Reactions
11 Replies
3K Views
Kijana kama ulifeli form 4 na ukajihisi kuwa ndo mwisho wa malengo yako em usikate tamaa mshirikishe Mungu pia wajibika kwa utendaji wa shughul ndogondogo usidharau kazi kheri wewe uliyeingiza 100...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
namba kuuliza bei za mchele sokon hapa dar maana nataka ni kama tani 2 na madalali mtawapataje
0 Reactions
15 Replies
6K Views
Kumiliki bajaji Kumiliki pikipiki (boda boda) Kuanzisha blogu Kuanzisha gazeti la uchunguzi tu pekee Kuanzisha huduma ya chakula mama lishe Kumiliki daladala Kumiliki vikirikuu vya kubeba mizigo...
0 Reactions
10 Replies
7K Views
Habarini wandugu, Kwanza kiabisa nawapa pole kwa kuendelea kuisoma namba. Pili nataka kidogo nipitie hizi hisa\offering za Voda ambazo saizi ndo hot issue kn Tanzania investment. Hisa za voda kama...
7 Reactions
40 Replies
6K Views
Wiki hii Mhe Magufuli amezindua mradi mkubwa wa ujenzi wa treni Dar- Moro, ambapo inasemekana 100% ya fedha zote zitakazotumika ni za ndani. Mradi huu utatumia takribani trilioni 2.7 (chanzo...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari za mchana wakuu..kuna kipande cha eneo tunataka kuuza kiko maeneo ya mbezi luis njia ya kuelekea goba ila tunataka kujua thaman ya eneo kwa mfano 20 kwa 30..
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Nimeona ni kwepe usumbufu anaejua nauli ya Moro to Njombe anipe taarifa
0 Reactions
1 Replies
2K Views
KUJINASUA KIUCHUMI ILI KUJIONGEZEA MAPATO KWA KUTUMIA FURSA MBALIMBALI , JE MATAJIRI WANANUNUA NINI WANAPOPATA PESA? Vikorokoro vinaweza kukuongezea kipato Dhima (liabilities) ni njia nzuri ya...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
OCT042013 Kwa mujibu wa ripoti ya Benki kuu ya Tanzania(BOT),Dsm ndio mkoa unaoongoza kwa kuchangia pato la taifa. 1. Dar-es-salaam(GDP-7.5 trilion) 2. Mwanza(GDP-4.09 trilion) 3...
1 Reactions
91 Replies
119K Views
TRA njoni kariakoo mjionee wenyewe namna wafanyabiashara wanavyokuwa wasumbufu kutoa risiti kwa wateja wao. Unanunua bidhaa za 1 milioni wanatoa risiti ya ya laki mbili. Ukikomaa kudai risiti...
0 Reactions
3 Replies
904 Views
Mimi nina swali, kwanini TRA lazima uwalipe kodi kabla ujaanza biashara? wanajuaje utapata faida kiasi gani ndani ya mwaka?
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Back
Top Bottom