Mauzo ya hati fungani katika Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE) wiki iliyoishia tarehe 13 Aprili 2017 yameshuka kutoka thamani ya Shilingi Bilioni 12.1 wiki iliyopita hadi Shilingi Bilioni 6.9...
Habari za muda wanajamvi,
Wahenga walinena Tahadhari kabla ya hatari au vilevile Kinga ni bora kuliko tiba, basi nami naomba nianze kutoa tahadhari kama ifuatavyo.
Najua ni watanzania wengi...
HABARI WANAJAMVI ,KUTOKANA NA KUVUTIWA NA BIASHARA YA KUCHUKUA STOCK YA MAHARAGE NA KUUZA KWA JUMLA MIKOANI NA DAR ES SALAAM.NAOMBA WAZOEFU MNIDSAIDIE KUJUA JINSI HII BIASHARA INAVYO FANYWA NA...
Gazeti la The Citzen linapaswa kupuuzwa kwa kile ilichofanya kuandika kuwa kampuni ya Vodacom inapanga kuomba kuongezewa muda wa kuuza hisa zake kuwaruhusu wageni kununua hisa za Vodacom.
Huku...
Nimepata majengo ambayo nahitaji kufungua chuo cha utalii na usimamizi wa mahoteli na accounts. Sasa mahitaji ya sasa ni
1. Usajili
2. Katiba
3. Lesseni
4. Kodi
Chuo hicho nataraji kuanza...
Vikwazo vya biashara vinatofautiana kwa kila mmoja mfano kuna mwingine fursa ya biashara anakuwa nayo ila shida ni mtaji wakati kuna mwingine mtaji anao wakutosha ila hajui auze nini ili kimtoe...
Salaam JF
Mimi ni kijana mtanzania graduate wa chuo kimojawapo hapa mchini. Pia ni mgeni kidogo humu JamiiForums hii ndio post yangu ya kwanza (Ingawa ni member wa muda kidogo)
Nimekuwa na...
Kijana kama ulifeli form 4 na ukajihisi kuwa ndo mwisho wa malengo yako em usikate tamaa mshirikishe Mungu pia wajibika kwa utendaji wa shughul ndogondogo usidharau kazi kheri wewe uliyeingiza 100...
Kumiliki bajaji
Kumiliki pikipiki (boda boda)
Kuanzisha blogu
Kuanzisha gazeti la uchunguzi tu pekee
Kuanzisha huduma ya chakula mama lishe
Kumiliki daladala
Kumiliki vikirikuu vya kubeba mizigo...
Habarini wandugu, Kwanza kiabisa nawapa pole kwa kuendelea kuisoma namba. Pili nataka kidogo nipitie hizi hisa\offering za Voda ambazo saizi ndo hot issue kn Tanzania investment. Hisa za voda kama...
Wiki hii Mhe Magufuli amezindua mradi mkubwa wa ujenzi wa treni Dar- Moro, ambapo inasemekana 100% ya fedha zote zitakazotumika ni za ndani. Mradi huu utatumia takribani trilioni 2.7 (chanzo...
Habari za mchana wakuu..kuna kipande cha eneo tunataka kuuza kiko maeneo ya mbezi luis njia ya kuelekea goba ila tunataka kujua thaman ya eneo kwa mfano 20 kwa 30..
KUJINASUA KIUCHUMI ILI KUJIONGEZEA MAPATO KWA KUTUMIA FURSA MBALIMBALI , JE MATAJIRI WANANUNUA NINI WANAPOPATA PESA?
Vikorokoro vinaweza kukuongezea kipato
Dhima (liabilities) ni njia nzuri ya...
OCT042013
Kwa mujibu wa ripoti ya Benki kuu ya Tanzania(BOT),Dsm ndio mkoa unaoongoza kwa kuchangia pato la taifa.
1. Dar-es-salaam(GDP-7.5 trilion)
2. Mwanza(GDP-4.09 trilion)
3...
TRA njoni kariakoo mjionee wenyewe namna wafanyabiashara wanavyokuwa wasumbufu kutoa risiti kwa wateja wao. Unanunua bidhaa za 1 milioni wanatoa risiti ya ya laki mbili. Ukikomaa kudai risiti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.