Wadau,
Hiki kitu nimekuwa nacho moyoni nadhani huu ni mwaka watatu sasa,
Kwa tuliowengi tunajua Malengo ya kuanzishwa kwa SOKOINE UNIVERSTY - MOROGORO ni nchi iwe na wataalamu wakutosha wa...
Jamani mimi nipo ktk kuandaa Sisal Agribusiness Project.
Project duration ni twelve years. Nimesha identify cost zote na benefis. Pia nishaandaa Projected Cashflow statement ya mradi huo...
Here’s the market outlook for the week:
EURUSD
Dominant bias: Bullish
This pair went sideways from Monday to Wednesday, and then started rising upwards on Thursday, in the context of an...
Mambo vipi wadau,mwaka jana niliwahi kusikia mihogo ni dili mara mchina kaja kununua sijui iliishia wapi.
Coz kuna mahali nina mashamba yangu nataka nijue kama inalipa nianze kuwa bize na kilimo...
UNASTAHILI ZAIDI YA UNACHOTAMANI
Napenda kukusalimu na kukupa pole kwa mizunguko yoote ya siku ya leo... Pole mfanyakazi, pole mfanyabiashara, pole mwanafunzi, pole pia usiye na kazi lakini...
Habari wanawajasiriamali wanauchumi na wafanyabiashara wa jukwa hili pendwa na watu makini.
Je naweza kupata mtu ambae anakopesha kwa riba au au mwenye info zozote za upande wa hitaji hilo, kama...
IPO ya Vodacom Tanzania imeongezewa muda wa wiki tatu baada ya kushindwa kupata wanunuzi wa hisa hizo.
Watanzania sasa wana mpaka May 11 kununua hisa za Vodacom.
Vodacom Tanzania Gets Go Ahead...
Habari ndugu zangu,
Nimedhamiria kuanza biashara ya kuuza kisamvu kilichotwangwa naomba mwenye kujua jinsi ya kukitunza kisiharibike mapema anieleweshe.
Asante
Naomba kufahamu kuhusu huu uwekezaji...tafadhali,hivi 1 square metre ya ardhi ukiambia inauzwa shillingi 5000,inakuwa ina ukubwa gani? na katika kupimwa au kuongezewa inaongezeka vp? mfano mimi...
Habari wana JF wenzangu,
Mimi ni mjasiriamali takribani miaka kadhaa sasa, nafanya biashara ya stationaries na biashara zingine zinazolingana na hiyo hapo juu.
Lengo la kuandika Uzi huu ni...
Nimekuwa nikifatilia kwa miezi kadhaa dhamani ya shilingi ya Tanzania dhidi ya Dollar ya Marekani, nikagundua kuwa benk zina rate ambazo ni tofauti sana na rate za Bureau de change..
kwa mfano...
AUS200
Dominant bias: Bullish
This market is bullish as well as volatile. Price swung wildly upwards and downward in April, and it has started pulling back again this week (all in the context of...
Kuna watu wamenishangaza sana, wanakimbilia kuchukua mikopo benki ili wakanunue hisa. Najiuliza haya mawazo watu huwa wanayatoa wapi?
Wanayo tabia ya kujielimisha binafsi kabla ya kuchukua...
Wasalaaaaaaam Wanajamvi
Leo nimeona nifunguke kwa upande huu, kama “heading” yangu inavyosema ili kusaidia wanajamvi wenzangu kuondokana na hali hii ngumu ya kimaisha ambayo kwayo sisi watanzania...
Mambo ya kuangalia ni kama ifuatavyo;
i). Performance ya kampuni. kampuni inafanya kazi vizuri kwa weledi na inamategemeo ya ukuaji wa kampuni kama kutanua miundombinu yake na uboreshaji wa...
GOLD (XAUUSD)
Dominant Bias: Bullish
Gold is bullish in the long-term and bearish in the short-term. Price went upwards from April 3 to 17, and then began to be corrected lower. The lower...
Habarini wadau,
Pia poleni wale ambao mmepoteza ajira zenu kwa sababu ya vyeti huku wenzenu "wanaojua kusoma na kuandika" wakiendelea kula mshahara mnono kwa kutumia vyeti vya wengine.
Back to...
Habari zenu wana JF,
Moja kwa moja kwenye mada hivi biashara ya daladala imekuwa kero huku Wilaya yetu tu ya Temeke au hata huko katika Wilaya zenu? Maana sio kwa mavyeti haya na rushwa...