Habari wakuu,
Huwa naona kwenye bured de change wanabadilisha dollar kwa thamani tofauti, yaani note moja ya dollar 100 ina thamani kuliko note moja ya dollar 1 kwa mfano;
US $ CASH 50, 100...
Habari zenu Waheshimiwa wote,
Nilikuwa naomba muongozo wenu ktk hili,sisi ni vijana tupatao watano na biashara yetu ni kugema Ulimbo,tulikuwa tunasikia hizi tetesi kuhusu Saccos na tunataka kuwa...
SALAAM!. samahani wakuu kwa wanaojua jinsi ya kufungua paypal acount plz nina acount crdb na akiba sasa nataka kuopen pay pal acount ili niweze kununua bidhaa online thanx
Wakuu
Naombeni msaada, nataka nianzishe kampuni ndogo ambayo itakua inasambaza bidhaa flani
Mtaji wangu ni mdogo sana, je naweza kutumia chumba changu kama ofisi. Sina ela ya kukodi frem
Katika hatua ya uibuaji wa mradi (Project Plan), ni baadhi ya taarifa tu (facts and issues) hujulikana na zingine hazijulikani. Kutojulikana kwa taarifa hizi zingine (Unknown facts &issues/total...
Iko na extenal cd room yake ina ufa kwenye kioo haina ubovu wowote.aina ni asus.specification zake ziko hapo kwenye picha.ni Palmtop sio laptop.
Bei laki 2 tu.
Kuwait dinar ndiyo pesa yenye nguvu kuliko zote kwa sasa ambapo ukiwa nayo moja ni sawa na hii yetu(Tsh 5509)..ya pili ni Bahrain dinar ambayo moja ni sawa na TSH 4169..Ya tatu ni Oman rial ambayo...
What is the 'Foreign Exchange Market'?
The foreign exchange market is the market in which participants are able to buy, sell, exchange and speculate on currencies such as (tsh, $s, euro,pound...
Here’s the market outlook for the week:
EURUSD
Dominant bias: Bearish
This pair trended upwards last week, briefly went above the resistance line at 1.0750, and then retraced southwards...
Wakuu,nina shamba la familia la ekari 4 lenye hati ya kimila tuliyopewa 2010 mwezi wa saba.
Kulingana na hali ya kiuchumi ya sasa,ninataka niunganishe familia yangu yenye watu wazima 6 km kikundi...
Siku 100 za rais wa Ghana Nana Akufo Ado amefanikiwa kuimarisha uchumi alioukuta ukiyumba na kufanikiwa kudhibiti mfumuko wa bei kwa zaidi ya asilimia 12.
Pia Ameidhinisha kiasi cha dollar milion...
Habari,
Je, kadi za NMB zinaruhusu manunuzi ya mtandaoni kama amazon, aliexpress n,k?
Hii ni baada ya kuwauliza wao wakanijibu ndiyo.
Aliyewahi jamani jee ni kweli?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.