Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

On JF:

Wakuu naomba kujua wenye uzoefu na hii biashara ya printing ya vitu mbalimbali kama vikombe,nguo mbalimbali,mabango makubwa na madogo na vitu kama hivyo,naomba kujua kuhusu aina za printing...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Guys habari zenu. Nilifungua biashara mwakan juzi,ikawa inapiga kazi fresh;sasa mwaka huu mambo yameenda tofauti. Nimeamua niifunge biashara,TRA wananidai pesa ya kodi,nimewaambia wafunge then...
0 Reactions
24 Replies
12K Views
JIUNGE NA BIASHARA YA MTANDAONI - NETWORK BUSINESS AMAZONE TRADERS Ndugu jamaa na Marafiki leo nimekulea Biashara nzuri na inayoweza Kukuza kipato Chako toka 100,000 HADI 1000,000 Kwa Mwezi...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Hello! Naombeni msaada kujua vitu muhimu ambavyo unaweza kuuza kwenye mgahawa na vikakuletea faida na vinapendwa na watu ukiachilia mbali na wali,chai na maandazi
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Mayai fek mjini
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Kampuni ya Voda sasa imeonekana kushindwa kuuza hisa zake katika soko la DSE, hii ni baada ya kuongeza muda wa mauzo ya awali kwa wiki 3, kisha kusogoze muda wa kuwekwa sokoni kwa karibia mwezi...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Here’s the market outlook for the week: EURUSD Dominant bias: Neutral This market did nothing significant last week, save the movement between the resistance line at 1.1250 and the support...
2 Reactions
2 Replies
681 Views
Bilionea Adolf Merckle mmiliki wa kampuni ya HeidelbergCement inayomiliki asilimia zaidi ya 60 kampuni ya Twiga cement ya Tanzania amejiua jumatatu tarehe 5 jan 2009 kwa kujigongesha kwenye treni...
0 Reactions
21 Replies
9K Views
Wanajamii. visit google search for boeing 787 images and see how people are creative. *********************************************** Boeing 787 Dreamliner Will Provide New Solutions for...
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Kuna tetesi kuwa ile Kampuni ya DECI (T) ltd imenyimwa kibali na Central Bank (BOT) cha kuanzisha Scheme nyingine inayoitwa Elimika Scheme inayohitaji mwanachama kutoa Sh milion tano upate sh...
0 Reactions
32 Replies
9K Views
people from the area could not speak English. “Do we need a foreigner to do work such as housekeeping or gardening Tanzania Standard Newspapers|Home 1. Jamani hata kazi kutandika...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais ,Mazingira Dk Batilda Burian, alisema kuwa serikali ipo mbioni kukataza matumizi ya mifuko ya plastiki endapo wafanyabiashara na watengenezaji wa mifuko...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakati Mheshimiwa Mkapa anamaliza uongozi wake alikiri kuwa eneo mojawapo ambalo halikupewa umuhimu katika uongozi wake ni KILIMO. Kutokana na jinsi Mheshimiwa Raisi Kikwete alivyoanza katika kasi...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Dotto Bulendu anaandika fb page Moja ya madhaifu makubwa tuliyonayo Tanzania hasa kwenye sekta ya utalii ni namna ya kufanya "Branding Compaign" ya nchi yetu ama vivutio vyetu vya utalii. Kwa...
6 Reactions
18 Replies
2K Views
Habar zenu wakuu. Katika pita pita zangu mtaani nmegundua wafanya biashara wengi wanatumia ''mzizi'' katika kuendesha biashara zao. Kitu ambacho kimenishangaza sana ni kuona hata wale...
1 Reactions
11 Replies
8K Views
Hivi karibuni kumekuwa na mfululizo wa mabenki kuibiwa fedha na wafanyakazi wake. Mara chache matukio haya yamekuwa yanaripotia. Mabenki huyafanya taarifa hizi kuwa siri ili kutoondoa imani kwa...
4 Reactions
16 Replies
4K Views
Nchi yenye utajiri mkubwa wa mafuta kuliko zote duniani "Venezuela" inakabiliwa na mkwamo kutokana sera mbovu za uchumi. Thamani ya fedha imeporomoka na hifadhi ya fedha za kigeni ni ndogo sana...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Southampton. Watafiti wa chuo kikuu cha Southampton wamesema watampa pauni 3,526( sawa na sh10.3 millioni) mtu yeyote atakayejitokeza aweze kuambukizwa kikohozi ili kusaidia uvumbuzi wa...
1 Reactions
25 Replies
3K Views
Asalaam wakuu Ktk ile ofa yangu wengi wamenijia inbox na kupendekeza jina liwe bashite. Sasa nimeogopa kutengeneza bango maana hilo jina mmmh! Halitakuwa na shida kweli? Lisije kuniletea shida...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Wapendwa, nina miaka miwili sasa nikijishugulisha na kilimo kama biashara, na kinanilipa kiasi chake.nimepanga kuisajiri biashara yangu, kuwa inajihusisha na kilimo na ufugaji wa kuku ingawa kuku...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom