Hakuna nchi duniani isiyowataka wafanyabiashara zaidi ya Tanzania..Wanaenda tena msumbiji?, ina maana hawajajifunza kilichowapata wenzao
Daah Leo Nimeona Nyama 1Kg inauzwa sh. 5,000/= Kwa Dar es salaam kutoka 8,000/=
Myth.
Unaweza kuta wewe ni mtumishi wa umma.WAONDOKE WANAMTISHIA nani????......Kila siku stori zile zile tu.....hizi propaganda za kipuuzi kila kukicha zimetuchosha sasa....
Waliokuwa wanafanya biashara isivyo halali ndio wanaolilia kila siku MAANA WALIZOEA MKATO MNO NA KUIGEUZA NCHI HII SHAMBA LA BIBI.......nendeni uko mnapotaka mnapoona kuna UNAFUU WA MAISHA mtutolee nuksi zenu hapa......
Mtuachie nchi yetu tutengeeneze wafanyabiashara wa kesho wenye mapenzi mema na NCHI YETU......
Kenge huwa hasikii mpaka damu imtoke masikioniWAONDOKE WANAMTISHIA nani????......Kila siku stori zile zile tu.....hizi propaganda za kipuuzi kila kukicha zimetuchosha sasa....
Waliokuwa wanafanya biashara isivyo halali ndio wanaolilia kila siku MAANA WALIZOEA MKATO MNO NA KUIGEUZA NCHI HII SHAMBA LA BIBI.......nendeni uko mnapotaka mnapoona kuna UNAFUU WA MAISHA mtutolee nuksi zenu hapa......
Mtuachie nchi yetu tutengeeneze wafanyabiashara wa kesho wenye mapenzi mema na NCHI YETU......
Kwa akili zenu nusu kwani KKOO INA WAFANYA BIASHARA 2900 TU...?????A HIZI ZOTE NI PROPAGANDA ZA WAATHIRIKA WA UKOSEFU WA VIROBA (UKOVI) wa makao makuu UFIPA......maana akili zao zinawaaminisha wao ndio wangekuwa wameishika NCHII hii MAMBO yangetuendea sawia na TANZANIA ingekuwa mfano wa kuigwa DUNIA nzima....
Daah Leo Nimeona Nyama 1Kg inauzwa sh. 5,000/= Kwa Dar es salaam kutoka 8,000/=
Myth.
Itakuwa ipo kigogo hiyohiyo nyama ya elfu tano iko wapi!
Kodi wanazolipa ndizo Bashite anazotumbua huko kwa Zuma na kujenga maghorofa na kununua apartment na magari ya kifahari.WAONDOKE WANAMTISHIA nani????......Kila siku stori zile zile tu.....hizi propaganda za kipuuzi kila kukicha zimetuchosha sasa....
Waliokuwa wanafanya biashara isivyo halali ndio wanaolilia kila siku MAANA WALIZOEA MKATO MNO NA KUIGEUZA NCHI HII SHAMBA LA BIBI.......nendeni uko mnapotaka mnapoona kuna UNAFUU WA MAISHA mtutolee nuksi zenu hapa......kwani uwepo wao kwa sasa umetupa UNAFUU UPI WA MAISHA??/na wakiondoka watatupa unafuu upi au UGUMU upi wa maisha???
Mtuachie nchi yetu tutengeeneze wafanyabiashara wa kesho wenye mapenzi mema na NCHI YETU......
Kwa akili zenu nusu kwani KKOO INA WAFANYA BIASHARA 2900 TU...?????A HIZI ZOTE NI PROPAGANDA ZA WAATHIRIKA WA UKOSEFU WA VIROBA (UKOVI) wa makao makuu UFIPA......maana akili zao zinawaaminisha wao ndio wangekuwa wameishika NCHII hii MAMBO yangetuendea sawia na TANZANIA ingekuwa mfano wa kuigwa DUNIA nzima....
Hebu weka picha tuione wengine hatuna tweeter.nimefuatilia hiyo link, mbona kaliakoo kweupe kabisa bila watu?
ha ha ha ha ha ha!
nchi kwishaaaaaaaaaa!
du kigogo tutaweza kulishana na vibudu huko!Itakuwa ipo kigogo hiyo