Salam wakuu,
mlioko mjini (dar), hivi wazo la kuwa gaming centre yenye machine za kisasa inaweza kulipa?
Tafadhali nijuzeni, kama kuna game centre yenye mashine za kisasa wanatoza bei gani (kwa...
Msaada kwenye Mtaro hapo!!Hivi jamani wakuu kwa niaba ya mke wangu ambaye anataka kufanya biashara ya kupeleka bidhaa zilizotengenezwa na ukili! ila sasa mpaka sasa hivi bado tunahangaika kujua...
Inasikitisha Kwakweli Katiaka Ulimwengu wa sasa pale Demand ya Service ni Kubwa ila hamna Supply. Nimezungukia Tanesco Mpaka Nimechoka, ni Mwezi wa Nane huu hawa jamaa wanajisuasua tu kuniwekea...
Kuna habari za ndani kuwa TANESCO imefilisika wala haikopesheki tena.source katibu mkuu wa wizara!kama kuna mwana jf aliye na data zaidi amwage hapa. Tukumbuke 8% only ya watanzania ndio wapatao...
source: TBC1 sijui wanalalamika nini hao hao ndio juzi wamepiga kura kuendeleza ujinga huo!sitaonea mtu huruma kwa lolote lifanyalwo na serikali ya ccm!
Najua kuna wadau wa TRA humu jamvini
for the past 8 weeks tumekua tunashuhudia mambo mengi sana ya ajabuajabu kutoka TRA.. personally kuna incidences tatu nimezipata
ya kwanza mliuplift gari na...
Kwa kuwa mimi si mtaalam wa uchumi nitaanza kwa kuomba radhi pale nitakapoandika mambo yatokayo kwa mtu wa kawaida (lay person). Ni kuhusu bei ya mafuta inayozidi kupaa kila siku. Sasa hivi bei...
[FONT="Century Gothic"][/FONT
Wachumi naomba mnisaidie maana kamili ya neno Inflation kwani naona bei za vitu zinazidi kupanda lakini anakuja afisa mzito wa Serikali/Takwimu anasema Inflation...
Ivi ni kwamba madini yameisha chini au?
Nasikia vitu vimeanza toweka wakati kuna walinzi
Mbaya zaidi wameacha MASHIMO jamani ivi hii serikali iko serious bse ata sustainable environmental...
Chinese workers build 15-story hotel in just six days
As the United States and China battle over the finer points of currency manipulation at the G-20 summit, American negotiators may want to...
wanabodi nawasalimu,
nimepata mradi ULIONIZIDI KIMO ambao nina uzoefu nao kiutaalam,
kwa kawaida (kutokana na uzoefu ) profit margin inarange kati ya 40-55%
NATAFUTA MUWEKEZAJI (MSHIRIKA WA...
With Gold Prices hitting a new record high of $1403 and currency volatility looms the currency markets concerning what should be a medium of exchange. Some financial regulators are proposing a...
Wiki iliyopita nilisikia kuwa TUCTA wanapanga kuipeleka Serikali mahakamani kwa kuchakachua mishahara ya wafanyakazi sekta binafsi.
Wakati wa kampeni tumesikia kuwa wafanyakazi wa serikali...
Ndugu Zangu,
Hebu kaeni kwanza mfikirie, iwapo hili nalo linahitaji mkono wa Serikali.
Nazungumzia suala la makazi yasiyo rasmi, yaani, squatter areas. Ndani ya Dar yametapakaa kila kona, hata...
WAKU NA WEHESHIMIWA POLENI NA PIRIKA ZA UCHAGUZI
Nahitaji ushauri na maarifa kwenu wana JF mimi nafkiri kuanzisha biashara ya kusafirisha ndizi za bukoba nje ya nchi lakini sifaham utaratibu wa...
Wakuu,
Kuna tangazo mtakuwa mshaliona kwa juu... Wateja wa Zain mtakapoongeza salio tarehe 15 Novemba (Jumatatu) kuanzia sh. 500/= na kuendelea utajipatia 20% ya ziada siku hiyo tu.
Kwakuwa ni...
Naelekeza mahojiano yaliyotangulia kuhusu "gharama za ujenzi Tanzania" na kuanzisha thread hii ambayo nia yake ni kuleta technologies mbali mbali zinazotumika ulimwenguni katika ujenzi ulio nafuu...
Serikali ya Sweden imesaini mkataba wa kuipatia Serikali ya Tanzania Sh.bilioni 44 kwa ajili ya mradi wa usambazaji wa umeme vijijini.
Akizungumza wakati wa kusaini mkataba huo jana na...
Wadau naona Uhusika wa John Andrew Chenge, Iddris Rashid, Tanil Kumar Somaiya na Shailesh Pragji Vithlani katika Manunuzi ya Radar 1999 ni uhujumu wa Uchumi na inabidi washitakiwe kuhujumu Uchumi...