Ndomana mnafanyiwa ukatili, bora useme ukweli hutumii pombe mm nitakununulia hata wine ya Namibia nitalipa. Sio kunidanganya nakufanya uhuni wa kipumbavu unakunywa Maji non stop chupa tano Kwa dk...
Guys am back...
Better than who I was...
Ni mimi de Gunner. Tafadhari Moderator rudisheni jina langu la de Gunner
Maisha ya ban mabaya sana, it's not worth it. Najua humu kuna anonymous IDs...
Hili swali linawahusu wale ambao hawatumii majina yao ya kweli hapa ukumbini. Je, jina lako lina maana yoyote? Kuna sababu yoyote ile iliyokufanya uamue kutumia jina hilo!?
Nilikuwa nimeamua...
Unaweza kuwa na mipango mingi, lakini hiyo mipango bila kuwa na watu sahihi wa kuitekeleza usitegemee kuwa tajiri.
Hawa watu ndio watakao kutengenezea vitu, watakao fanya mauzo, watakao toa...
Ni dada ambaye lazima apeane na like kwa kila post hapa JF.anaonekana n asiye na ubaya na yeyote.
Kama hajapita na like kwenye post yako itabidi......????
Day 2:
Karibuni tena wataalamu wa jiografia. Leo ni raundi ya pili ya Club Mate’s Geography Quiz.
Leaderboard:
1. Al Watani - 8pts
Taja nchi sahihi kwenye categories zinazofuata.
Kila jibu 1...
Habari wakuu,
Kwa wale tunaopenda kusafiri mikoa mbalimbali au hata wale tunaojivunia asili zetu, huwa kuna mkoa unaokubali kwenye mambo ya Misosi.
Mfano kuna mshikaji wangu yeye anapakubali...
Nakumbuka baadhi ya majina ya walimu waliyopewa na wanafunzi kama ifuatavyo:
1. Solar system - mwalimu wa geograph form 1 au 2 alifundisha solar system akapatiwa jina hapohapo
2. Bambabay -...
Day 1
Wataalamu wa jiografia karibuni kwenye siku ya kwanza ya Club Mate’s Geography Quiz. Wa kwanza kutaja jibu sahihi la category moja atapata point moja, wa kwanza kutaja majibu yote sahihi...
Nameless girl popote ulipo chukua maua yako, kwani ulitubirudisha kwa riwaya za Ben Mtobwa (R.I.P).
Ikikupendeza rudi jamvini maana mara ya mwisho kuonekana humu ilikuwa 2024.
........
adriz...
Wakuu, nijitambulishe!
Kwanza awali ya yote naitwa AXIOM APEX VERBOSE
hii ndio ID pekee ninayoitumia JF sina ID nyingine ukiondoa hio.
Tuache hayo. Turudi kwenye mada.
Ninaomba kufahamu wewe...
Tumezoea kuona mitumba kutoka Ulaya, Marekani, Canada, Korea, Uturuki, China n.k
Ila sijaona mitumba yoyote sokoni kutoka nchi za kiafrika, tatizo ni nini?
Nguo zetu zinazochakaa, zinazotubana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.