Mimi nsingebonyeza kabisa. Maana nisingekuwa na uhakika kama ntarudi kuwa hapa nilipo na ku enjoy life. Hiyo button ningesema iondolewe nisije nika press hata kwa bahati mbaya.
Kumbuka unapokuja...
Wadau,
Naamini Wikiendi ilikuwa njema.
Rejeeni thread ya Preta HII-HAPA.
Kikao kilifanyika Jumamosi Eneo la MERU VIEW, na Hadidu Rejea zifuatazo zilikubaliwa na kupitishwa na wana-Wing...
Wakuu inakuwaje, Ratiba zenu zipoje.
Mimi ya kwangu inaendana na kazi yangu, asubuhi tunaingia mazoezini baada ya hapo kumwagilia bustani pamoja na kulisha kuku.
Nikitoka hapo najiandaa kuingia...
Is it that ego zao zinawapumbaza?
Is it that wamejaaliwa aspect moja ya uzuri wa nje tuu ila wakanyimwa uzuri wa ndani?
Ni rare sana kukuta mdada aliye neemeka na kunawili vilivyo awe na akili...
Huu ni upumbavu
Unakuja baa kwa ushamba wako unaagiza Absolute Vodka alafu unatoa chocolate ya 5000 na kumpa muhudumu.
Muhudumu ambae kila mtu anamla kirahisi kama vile kula pipi ya kijiti ya...
Wanasayansi walipokuwa wakipanga sifa za wanyama mbalimbali , ngiri alikuwa kwenye mashimo yake kwa hiyo waliishia kuwapa mataji wanyama wasio na sifa.
Ufalme wa msituni ulienda kwa simba...
Sasa ndugu yangu wewe ambaye kwa sasa huna hela maisha magumu au hela unayo lakini haikutoshelezi leo nataka nikupe mbinu moja mujarrabu kabisa ya kupata hela leo leo..!
kwanza kabisa...
Ni lini mara yako ya mwisho kuambiwa na mpenzi wako nakupenda au ndo sisi tunaojitumia nakupenda sana mzigua_255 wangu? mimi binafsi natumai xjawahi kumambiwa nakupenda dah!
HEBU........FUNGUKA?
Katika pita pita zangu mtandaoni, nikakutana na kijana anatafuta kazi.
Nikamfanyia usaili kwa njia ya mawasiliano, ikaonekana nikimpachika sehemu fulani itakuwa si mbaya, ili yeye apate nami pia...
Tuanze na kumshukuru mungu kwa kutufanya sisi sote tuwazima, habari mabibi na mabwana, wanawake wa zamani; ukimtongoza basi hua alikua hakuangalii usoni na kama kucha mikononi zitaisha, na kama...
Kichwa kinajieleza ulimiliki geto lako ukiwa na miaka mingapi?
binafsi nimemiliki geto langu nikiwa namiaka 12 tu mpaka sasa nina nyumba yangu vp wewe ulimiliki geto ukiwa na miaka mingapi...
Kuna vijimisemo vifupi vimeibuka huku kwenye mitandao kwa sasa, yaani ni burudani tupu.
Ukivisoma mwisho lazima ubaki mdomo wazi au ucheke, baadhi ya niliyokutana nayo naweka hapa, pia karibuni...
Huu uzi ni maaluma kwa ajili ya kuweka vichekesho tufurahi wote
1 Kifo nini
kifo ni pale unapomtumia text babaako mambo mrembo?
2 Leo nimekunywa sumu ya panya kumbe haina madhara yeyote ila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.