JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Dunia yote inaamini, wana JF wote ni wastaarabu. Je, wewe ni mstaarabu? Kama ni ndio, tuonyeshe huo ustaarabu wako.
5 Reactions
53 Replies
401 Views
Unaweza kuwa na mipango mingi, lakini hiyo mipango bila kuwa na watu sahihi wa kuitekeleza usitegemee kuwa tajiri. Hawa watu ndio watakao kutengenezea vitu, watakao fanya mauzo, watakao toa...
2 Reactions
17 Replies
215 Views
Ni dada ambaye lazima apeane na like kwa kila post hapa JF.anaonekana n asiye na ubaya na yeyote. Kama hajapita na like kwenye post yako itabidi......????
6 Reactions
32 Replies
335 Views
Nimerejea baada ya kupotea kwa mda mrefu.nimewamiss sana wadau.
0 Reactions
2 Replies
76 Views
Day 2: Karibuni tena wataalamu wa jiografia. Leo ni raundi ya pili ya Club Mate’s Geography Quiz. Leaderboard: 1. Al Watani - 8pts Taja nchi sahihi kwenye categories zinazofuata. Kila jibu 1...
1 Reactions
5 Replies
95 Views
Habari wakuu, Kwa wale tunaopenda kusafiri mikoa mbalimbali au hata wale tunaojivunia asili zetu, huwa kuna mkoa unaokubali kwenye mambo ya Misosi. Mfano kuna mshikaji wangu yeye anapakubali...
0 Reactions
2 Replies
94 Views
Nipo hapa kwa mangi napiga ngoma.mbege hii ina maunyama sana.karibun wakuu tupige vitu!!
5 Reactions
24 Replies
234 Views
Nakumbuka baadhi ya majina ya walimu waliyopewa na wanafunzi kama ifuatavyo: 1. Solar system - mwalimu wa geograph form 1 au 2 alifundisha solar system akapatiwa jina hapohapo 2. Bambabay -...
0 Reactions
400 Replies
67K Views
Day 1 Wataalamu wa jiografia karibuni kwenye siku ya kwanza ya Club Mate’s Geography Quiz. Wa kwanza kutaja jibu sahihi la category moja atapata point moja, wa kwanza kutaja majibu yote sahihi...
2 Reactions
17 Replies
204 Views
Nameless girl popote ulipo chukua maua yako, kwani ulitubirudisha kwa riwaya za Ben Mtobwa (R.I.P). Ikikupendeza rudi jamvini maana mara ya mwisho kuonekana humu ilikuwa 2024. ........ adriz...
2 Reactions
6 Replies
100 Views
https://www.jamiiforums.com/threads/dilemma-je-nimwandikishe-jina-lake-kwenye-mali-zangu-au-nikubali-tuachane.2326887/
0 Reactions
23 Replies
146 Views
Wakuu, nijitambulishe! Kwanza awali ya yote naitwa AXIOM APEX VERBOSE hii ndio ID pekee ninayoitumia JF sina ID nyingine ukiondoa hio. Tuache hayo. Turudi kwenye mada. Ninaomba kufahamu wewe...
1 Reactions
10 Replies
136 Views
Misosi na soda Mazoezi na maji Mmea na mikito Mmea na vikali Mmea na vilevi Huchagui hubagui
7 Reactions
124 Replies
1K Views
Tumezoea kuona mitumba kutoka Ulaya, Marekani, Canada, Korea, Uturuki, China n.k Ila sijaona mitumba yoyote sokoni kutoka nchi za kiafrika, tatizo ni nini? Nguo zetu zinazochakaa, zinazotubana...
2 Reactions
45 Replies
388 Views
Kwa mara ya kwanza natua jijini aisee nilichokiona sikuamini macho yangu
3 Reactions
15 Replies
181 Views
Najua shida ni sehemu ya maisha ila muda mwingine, tufanye kuweka shida chini, halafu mikono juu, maisha ni haya haya tu🍻🍻🍻🍻🍻
8 Reactions
24 Replies
294 Views
Min-me,SECRETARY BIRD,Mbaga Jr na wote tuenden tukamwagilie moyo
5 Reactions
39 Replies
307 Views
Baada ya bilionea mstaarabu wa Katoro Kahama Sylvester Buyamba na wenzake kuvunja Internet kwenye send off ya kufukuru na kutetemesha mitandao ya kijamii Africa mashariki, kati, kusini hadi...
4 Reactions
8 Replies
315 Views
Hatari sana aiseee
4 Reactions
23 Replies
364 Views
Mida ya kupumzika na kutuliza akili hizi ndo nyimbo pendwa 1."sacrifice by Elton John 2."Sexual healing" Marvin gaye 3."kenny G " forever I love 4 "Joe ".i believe in you 5. "Ruben studdard" I...
3 Reactions
33 Replies
1K Views
Back
Top Bottom