JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Mimi nsingebonyeza kabisa. Maana nisingekuwa na uhakika kama ntarudi kuwa hapa nilipo na ku enjoy life. Hiyo button ningesema iondolewe nisije nika press hata kwa bahati mbaya. Kumbuka unapokuja...
5 Reactions
30 Replies
268 Views
Wadau, Naamini Wikiendi ilikuwa njema. Rejeeni thread ya Preta HII-HAPA. Kikao kilifanyika Jumamosi Eneo la MERU VIEW, na Hadidu Rejea zifuatazo zilikubaliwa na kupitishwa na wana-Wing...
28 Reactions
1K Replies
57K Views
https://www.jamiiforums.com/threads/dilemma-je-nimwandikishe-jina-lake-kwenye-mali-zangu-au-nikubali-tuachane.2326887/
0 Reactions
22 Replies
110 Views
Wakuu inakuwaje, Ratiba zenu zipoje. Mimi ya kwangu inaendana na kazi yangu, asubuhi tunaingia mazoezini baada ya hapo kumwagilia bustani pamoja na kulisha kuku. Nikitoka hapo najiandaa kuingia...
4 Reactions
10 Replies
119 Views
Is it that ego zao zinawapumbaza? Is it that wamejaaliwa aspect moja ya uzuri wa nje tuu ila wakanyimwa uzuri wa ndani? Ni rare sana kukuta mdada aliye neemeka na kunawili vilivyo awe na akili...
23 Reactions
355 Replies
4K Views
Ipi kwako ni jibu sahihi, ukifikisha miaka 80? Afya imara Utajiri wa kutupa Umasikini wa kutupa Huwezi kutembea Ukiishi kijamaa Ukiishi kibepari Utakuwa umetengwa Utakuwa umekufa Ukifurahi na...
0 Reactions
0 Replies
27 Views
Huu ni upumbavu Unakuja baa kwa ushamba wako unaagiza Absolute Vodka alafu unatoa chocolate ya 5000 na kumpa muhudumu. Muhudumu ambae kila mtu anamla kirahisi kama vile kula pipi ya kijiti ya...
2 Reactions
12 Replies
153 Views
Mzee? Maskini? Kwa kosa lipi hasa? Je tajiri naye huacha laana?
3 Reactions
12 Replies
151 Views
Wanasayansi walipokuwa wakipanga sifa za wanyama mbalimbali , ngiri alikuwa kwenye mashimo yake kwa hiyo waliishia kuwapa mataji wanyama wasio na sifa. Ufalme wa msituni ulienda kwa simba...
17 Reactions
82 Replies
5K Views
Bwana muheshimia mod wa JF almaarufu kama 255Fixer niko hapa velvet nusu kreti ni yako mkuu
5 Reactions
14 Replies
101 Views
Sasa ndugu yangu wewe ambaye kwa sasa huna hela maisha magumu au hela unayo lakini haikutoshelezi leo nataka nikupe mbinu moja mujarrabu kabisa ya kupata hela leo leo..! kwanza kabisa...
2 Reactions
9 Replies
145 Views
Just imagine 😭🙌
8 Reactions
39 Replies
501 Views
Ni lini mara yako ya mwisho kuambiwa na mpenzi wako nakupenda au ndo sisi tunaojitumia nakupenda sana mzigua_255 wangu? mimi binafsi natumai xjawahi kumambiwa nakupenda dah! HEBU........FUNGUKA?
1 Reactions
5 Replies
73 Views
Katika pita pita zangu mtandaoni, nikakutana na kijana anatafuta kazi. Nikamfanyia usaili kwa njia ya mawasiliano, ikaonekana nikimpachika sehemu fulani itakuwa si mbaya, ili yeye apate nami pia...
6 Reactions
80 Replies
543 Views
Tuanze na kumshukuru mungu kwa kutufanya sisi sote tuwazima, habari mabibi na mabwana, wanawake wa zamani; ukimtongoza basi hua alikua hakuangalii usoni na kama kucha mikononi zitaisha, na kama...
2 Reactions
13 Replies
160 Views
Hapa kitaa inafahamika kama;jeuri,kazi,mji,majito,kungi,kishari,ndege,hatari,shada,kiboko,zungu,maji,kinara,weusi
2 Reactions
2 Replies
54 Views
Kichwa kinajieleza ulimiliki geto lako ukiwa na miaka mingapi? binafsi nimemiliki geto langu nikiwa namiaka 12 tu mpaka sasa nina nyumba yangu vp wewe ulimiliki geto ukiwa na miaka mingapi...
0 Reactions
0 Replies
38 Views
Kuna vijimisemo vifupi vimeibuka huku kwenye mitandao kwa sasa, yaani ni burudani tupu. Ukivisoma mwisho lazima ubaki mdomo wazi au ucheke, baadhi ya niliyokutana nayo naweka hapa, pia karibuni...
324 Reactions
7K Replies
2M Views
Huu uzi ni maaluma kwa ajili ya kuweka vichekesho tufurahi wote 1 Kifo nini kifo ni pale unapomtumia text babaako mambo mrembo? 2 Leo nimekunywa sumu ya panya kumbe haina madhara yeyote ila...
1 Reactions
4 Replies
105 Views
Back
Top Bottom