JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Nameless girl popote ulipo chukua maua yako, kwani ulitubirudisha kwa riwaya za Ben Mtobwa (R.I.P). Ikikupendeza rudi jamvini maana mara ya mwisho kuonekana humu ilikuwa 2024. ........ adriz...
2 Reactions
6 Replies
101 Views
https://www.jamiiforums.com/threads/dilemma-je-nimwandikishe-jina-lake-kwenye-mali-zangu-au-nikubali-tuachane.2326887/
0 Reactions
23 Replies
146 Views
Wakuu, nijitambulishe! Kwanza awali ya yote naitwa AXIOM APEX VERBOSE hii ndio ID pekee ninayoitumia JF sina ID nyingine ukiondoa hio. Tuache hayo. Turudi kwenye mada. Ninaomba kufahamu wewe...
1 Reactions
10 Replies
138 Views
Misosi na soda Mazoezi na maji Mmea na mikito Mmea na vikali Mmea na vilevi Huchagui hubagui
7 Reactions
124 Replies
1K Views
Tumezoea kuona mitumba kutoka Ulaya, Marekani, Canada, Korea, Uturuki, China n.k Ila sijaona mitumba yoyote sokoni kutoka nchi za kiafrika, tatizo ni nini? Nguo zetu zinazochakaa, zinazotubana...
2 Reactions
45 Replies
389 Views
Kwa mara ya kwanza natua jijini aisee nilichokiona sikuamini macho yangu
3 Reactions
15 Replies
181 Views
Najua shida ni sehemu ya maisha ila muda mwingine, tufanye kuweka shida chini, halafu mikono juu, maisha ni haya haya tu🍻🍻🍻🍻🍻
8 Reactions
24 Replies
295 Views
Min-me,SECRETARY BIRD,Mbaga Jr na wote tuenden tukamwagilie moyo
5 Reactions
39 Replies
308 Views
Baada ya bilionea mstaarabu wa Katoro Kahama Sylvester Buyamba na wenzake kuvunja Internet kwenye send off ya kufukuru na kutetemesha mitandao ya kijamii Africa mashariki, kati, kusini hadi...
4 Reactions
8 Replies
315 Views
Hatari sana aiseee
4 Reactions
23 Replies
365 Views
Mida ya kupumzika na kutuliza akili hizi ndo nyimbo pendwa 1."sacrifice by Elton John 2."Sexual healing" Marvin gaye 3."kenny G " forever I love 4 "Joe ".i believe in you 5. "Ruben studdard" I...
3 Reactions
33 Replies
1K Views
Kichwa kina jieleza wakuu hivi ni kitu gani unafanya ila kila... Ukisema leo ni mwisho sirudii tena mara unajikuta unarudia tena ni kitu gani...?
5 Reactions
39 Replies
628 Views
Guys, msaada wa haraka nipo njia panda, ishu iko hivi nimealikwa na jirani yangu mtoto wake amepata ubatizo sijui kumunio hata sielewi, nikasema ngoja nijichanganye na majirani zangu hawa ndio...
22 Reactions
98 Replies
965 Views
Mnasema maumivi ya kuachwa na mpenzi, kufiwa na umpendae, ya kukatwa cjui wapi pale bila ganzi, wanawake kutobolewa bikra nk haki mnakosea. Hapa nilipo kitanda kwangu ndio adui wa kwanza tena...
5 Reactions
31 Replies
452 Views
Kama Kuna kitu hujawahi kukigundua kwa muda mrefu basi ni hii👉 "Namna picha ya profile yako inavyokuelezea wewe ni mtu wa aina gani ndani na nje ya mitandao ya kijamii." Hata hapa jamiiforums...
6 Reactions
24 Replies
414 Views
Leo nimetimiza miaka 20 tangu tukio lilinishushia heshima linitokee hadi nikahama Kijiji. Ilikuwa July 25, mwaka 2006 ambapo nilikumbwa na mkasa ambao sitoweza kuusahau. Mara baada ya kumaliza...
13 Reactions
59 Replies
829 Views
Hata kama ni pesa. Hii ni zaidi ya kujidhalilisha https://vm.tiktok.com/ZSXgdE7Jw/ This post is shared via TikTok Lite. Download TikTok Lite to enjoy more posts: TikTok
7 Reactions
57 Replies
1K Views
Kichwa kinajieleza Wakuu hivi. Ukisikia yule Ana Roho mbaya Wewe huwa. Unaelewa nini..?
2 Reactions
28 Replies
339 Views
Huku wakivuta hewa safi na kusikiliza milio ya ndege. Wanakuwepo mjini kwa ajili ya majukumu tu, na ikifika mida ya jioni wanarejea kwenye makazi yao nje ya mji. Wenye akili ndogo watapambana...
18 Reactions
100 Replies
1K Views
Back
Top Bottom