JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Katika pita pita zangu mtandaoni, nikakutana na kijana anatafuta kazi. Nikamfanyia usaili kwa njia ya mawasiliano, ikaonekana nikimpachika sehemu fulani itakuwa si mbaya, ili yeye apate nami pia...
6 Reactions
80 Replies
544 Views
Tuanze na kumshukuru mungu kwa kutufanya sisi sote tuwazima, habari mabibi na mabwana, wanawake wa zamani; ukimtongoza basi hua alikua hakuangalii usoni na kama kucha mikononi zitaisha, na kama...
2 Reactions
13 Replies
160 Views
Hapa kitaa inafahamika kama;jeuri,kazi,mji,majito,kungi,kishari,ndege,hatari,shada,kiboko,zungu,maji,kinara,weusi
2 Reactions
2 Replies
54 Views
Kichwa kinajieleza ulimiliki geto lako ukiwa na miaka mingapi? binafsi nimemiliki geto langu nikiwa namiaka 12 tu mpaka sasa nina nyumba yangu vp wewe ulimiliki geto ukiwa na miaka mingapi...
0 Reactions
0 Replies
38 Views
Kuna vijimisemo vifupi vimeibuka huku kwenye mitandao kwa sasa, yaani ni burudani tupu. Ukivisoma mwisho lazima ubaki mdomo wazi au ucheke, baadhi ya niliyokutana nayo naweka hapa, pia karibuni...
324 Reactions
7K Replies
2M Views
Huu uzi ni maaluma kwa ajili ya kuweka vichekesho tufurahi wote 1 Kifo nini kifo ni pale unapomtumia text babaako mambo mrembo? 2 Leo nimekunywa sumu ya panya kumbe haina madhara yeyote ila...
1 Reactions
4 Replies
105 Views
Kwangu Mimi Hao ndiyo wadada ninaowakubali humu ww je?
4 Reactions
111 Replies
7K Views
Shunie Extrovert Jimena FRANC THE GREAT The 13 Mnazareth Daudi Mchambuzi Dinazarde Carleen Wangari Maathai Mshana Jr
31 Reactions
9K Replies
238K Views
Lengo langu limetimia kwa 99.99%. Je! Wewe?
2 Reactions
10 Replies
78 Views
Kuna IDs ambazo wakilianzisha kuna nyomi na vumbi linafuatilia. Kuna IDs hata wakianzisha misemo basi inaingia kwenye tamusi ya JF. Kuna IDs ambazo at least 80 ya wana JF wameweza ku-interact...
17 Reactions
136 Replies
1K Views
Hili ni swali la kawaida kabisa. Wakuu, Naomba kuuliza, mnivumilie jumamosi ya leo nina maswali ya kuwauliza kwa hio kila ninapouliza nijibiwe. Umewahi kufananishwa na mtu ambae haufanani nae...
3 Reactions
28 Replies
260 Views
Nime mscreen shot huyu hapa Kaniambia nimtumie details za akaunti zangu anitumie pesa nikamuangalie kombe la dunia Nimeshindwa kulala, natetemeka.😢
5 Reactions
16 Replies
167 Views
Habari ndugu wa jf, hili linaonekana mara nyingi kwa baadhi ya watu walio pitia shule na hata ambao hawakupitia, ila nikwamba walimu wa kiume mashuleni kwenye swala la kuchagua sketi wako vizuri...
3 Reactions
4 Replies
98 Views
Mkuu Financial Analyst, kuna ukweli gani juu ya hili?
6 Reactions
48 Replies
497 Views
Moja kwa moja . Iwe stori au chochote muhimu ili kuwafunza watu kuwa bange si kitu kizuri na ni mbaya kwa akili mwanadamu. Nakumbuka nimewahi kumpoteza rafiki yangu wa utotoni Allaah amrehemu...
1 Reactions
10 Replies
259 Views
Huyu jamaa anawezaje kula makitu kama kenge,je midude ya aina hii huwa aina sumu?,au kuna namna ya upishi wake!.....
1 Reactions
12 Replies
191 Views
Maisha ni kujipa furaha pale unapopata nafasi, maisha hayahitaji usiriazi sanaa, kama vile unataka kuvumbua sayari yako. Yote yanapita, muhimu kuipa furaha nafsi kwa kuwa wote tunaishi mara moja...
1 Reactions
0 Replies
25 Views
Hello members, Kwanza kabisa, mimi sio mwanaume! kuna watu wananifahamu na ninaongea nao mambo mbalimbali ya kiimani na kibiashara! mimi sio malaya wala shoga! kukaa kwangu jf muda mwingi au kila...
90 Reactions
705 Replies
7K Views
Back
Top Bottom