JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Bima ya afya ya uhakika , achana na hii ambayo kuna matibabu haupewi Passport, yani wewe tulia kabisa. Bustani ya mboga, wewe ni kima ambae hata haujitambui hivyo usichalenge na mimi, Cheti...
4 Reactions
3 Replies
62 Views
Ciao, Kuna baadhi ya watu humu jukwaani wamevurugwa na maisha kwa iyo wasikusumbue akili. Utawajua kwa hizi komenti 👇 "Jiandae urudi shule" "Kwan shule zimefungwa?" "Hama apo kwa shemeji...
4 Reactions
6 Replies
116 Views
Enzi hizo Tanzania tulikuwa na kituo kimoja cha radio, RTD. Piga ua ilikuwa lazima tu usikilize vipindi vyao vile vya ajabu ajabu kama vile, 1. Mbiu ya mikoa 2. Asilia salamu 3. Ukulima wa kisasa...
0 Reactions
73 Replies
12K Views
Mbishi:Mimi siachi kula nyama choma,mimi nitaendelea kula kila saa,nitaendelea kunywa pombe na soda,hatukuja duniani kua walinzi wa dunia,hakuna anaeishi milele mimi: 😂😂😂😂😂siku yake itafika tu🫣...
5 Reactions
41 Replies
455 Views
Mosi: uchawi wa farakana unalenga kuvunja mahusiano na kuleta chuki, utengano, au migogoro mikubwa kati ya wanandoa, wanafamilia, au marafiki waliokuwa wakipendana sana. Pili, uchawi wa gundu...
3 Reactions
13 Replies
164 Views
Kama unajiamini kama mimi na unayo pesa , kamwe usiseme kumpata mwanamke mzuri, kunategemea tabia yake Ukweli ni kwamba hatuna mwanaume anapenda mwanamke m baya wa sura ni ukosefu wa...
22 Reactions
55 Replies
521 Views
Do you believe in love? ❤️ Wadau, mnaamini kweli katika upendo wa kimahaba, au siku hizi ni hadithi tu? Je, kuna mtu unampenda? Anajua hilo? Na unahisi anathamini upendo wako au hauoni kabisa...
13 Reactions
262 Replies
1K Views
Siku nyingine Tena 🙏
0 Reactions
0 Replies
23 Views
Nyuzi zao ni uhakika wametupa raha kweli na burudani huu mwezi. asanteni wakuu endeleni na moyo huohuo wakutuburudisha.
0 Reactions
14 Replies
115 Views
Ni tembo na nyati ni walaji wazuri wa mirungi.. Na wanakula ile fressh kabisa halafu free of charge na hawakamatwi na police Zinaitwa raha za mwituni😋😎😀 https://www.facebook.com/share/v/1CJ11maTpt/
4 Reactions
24 Replies
328 Views
6 Reactions
194 Replies
1K Views
Familia hotuba ya Trump MBELE ya Civilian-Coin
5 Reactions
22 Replies
436 Views
https://www.facebook.com/share/v/1BVTA15BYj/
1 Reactions
0 Replies
42 Views
Kwenye moja na mbili mkoa x nimefungua famasi , inauza jumla na reja reja , inafanya vizuri . Picha lianza kibaka mmoja yupo hospital x kanichongea kwa mfamasia wa mkoa , mbaya zaidi...
15 Reactions
33 Replies
284 Views
Kila enzi na nyakati zake.. Kipindi hicho najiunga JF kuna ma konki niliowakuta .. Aisee hao wakikutana kwenye mada hapatoshi Hawa ndio walisababisha kuibuke nyuzi za makapuku forum na tupia...
46 Reactions
966 Replies
11K Views
Kwa wale wazee mliosoma kipindi tunabeba maji, kidumu na mfagio kwenda shule mtakuwa mnakumbuka lile shairi moto na maji wakijibizana kuwa nani ni bora. Nyie vijana wa siku hizi sijui kama lile...
1 Reactions
2 Replies
6K Views
Kwa mimi Nilijuta. Nilimpenda so nikampa smartphone WiFi iko home 24/7. Show niliona .. ndo alipoanza kubadilika.. kulala saa nane usiku, kuamka mpaka umwamshe. Vyombo unarudi unavikuta. inshort...
0 Reactions
0 Replies
58 Views
Kila siku kuna ingizo jipya Nani yuko nyuma ya hizi ID au ni mpango maalum wa kupoteza maboya decoy NB : Jf is threat to the throne
18 Reactions
109 Replies
1K Views
Kama unamjua mganga ambae hana vipengele wala hana garama, ila ni mtaalam kweli kweli dondosha apa namba zake wadau waruke nazo. Hakikisha hana vipengele.
5 Reactions
35 Replies
356 Views
Back
Top Bottom