Nimekuwa nikiona mara kwa mara nyuzi zinazoulizia wanachama ambao wamepotea jukwaani kwa muda mrefu, wengine miaka mitano, minane au zaidi. Sasa naelewa kwa nini jambo hili hutokea.Najua ukimya...
Wadau ilishaletwa thread hapa kuhusiana na hizi status na profile picha za watsap, mkewangu ni muathirika wa hili, status zake za ovyo yaani kana kwamba hajaenda shule.
Profile picha zake ndo...
Kuna jamaa aliwahi niambia kama mimi angekua yeye, angetembea na wadada wengi sana, nikamuangalia nikajua ndio uhalisia, wanaume wengi hawana mvuto kwa wadada, Asilimia kubwa ya wanaume...
Habari za muda huu wana jamiiforums,
Okay tuanze, mara nyingi tunafikiri "raha" inatokana na vitu vikubwa tu kama pesa au mapenzi. Lakini kisayansi, ubongo wetu unazalisha kemikali za furaha...
Nakumbuka ilikuwa Mwaka 2008 mwezi Juni nilikuwa naenda kikazi Lusaka, Zambia basi sijui hili wala lile kwenye tiketi iliandikwa saa ya ndege kuondoka saa 12 asubuhi (ndege ndo inapaa) mimi...
Moja kwa zote kwenye mada!! Kifo kisikie tu wakuu leo baada ya mvua na radi kubwa na nyingi niko zangu mtaan nimejibanza sehem nikisubili hali ipoe niende na mishe zangu
Sasa kilichofatia hapo ni...
SHEMEJI: bandiko ni kitu gani na inatoka wapi?
KIJANA: Si unajua shemu mimi JF ndio napotezea mawazo, sasa nimepigwa ban, siwezi ingia
SHEMEJI: ndio maana asubuhi hadi jioni upo na simu tu tena...
Asubuhi: Ma-Don wa Chai ya Rangi
Siku inaanza saa kumi na moja alfajiri kwa nyuzi za kujimwambafai.
Raia wanaanzisha mada za "Niko Five star hotel Dubai..nakunywa capuchino ya Brazil huku...
Mtu una acha kupiga mswaki una kazi ya kutafuna vitunguu saumu asubuhii na karafuu mdomo una anza kunuka kitunguu saumu aseee pigeni mswaki wengine hiyo harufu ya kitunguu ina kera sana hasa...
Asalam aleykum Sheikh.🙏🙏
Sheikh mie ni pagani.Ni atheist mie.Siitikii kengele wala adhana na kabla ya madhila hii kukupata sikuwa nikikufahamu na nashindwa kukupa pole sheikh sbb sijui kwanini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.