Asubuhi: Ma-Don wa Chai ya Rangi
Siku inaanza saa kumi na moja alfajiri kwa nyuzi za kujimwambafai.
Raia wanaanzisha mada za "Niko Five star hotel Dubai..nakunywa capuchino ya Brazil huku...
Mtu una acha kupiga mswaki una kazi ya kutafuna vitunguu saumu asubuhii na karafuu mdomo una anza kunuka kitunguu saumu aseee pigeni mswaki wengine hiyo harufu ya kitunguu ina kera sana hasa...
Asalam aleykum Sheikh.🙏🙏
Sheikh mie ni pagani.Ni atheist mie.Siitikii kengele wala adhana na kabla ya madhila hii kukupata sikuwa nikikufahamu na nashindwa kukupa pole sheikh sbb sijui kwanini...
Ukienda saloon ukimaliza kunyoa una ingia kuoshwa kichwa vizuri mpaka masikio ukifika nyumbn hakuna haja tena ya kuoga ni kulala tu 😂😂😂 sio kama zaman ukitoka saloon mbio mbio kuoga 😂
-Wikendi inakaribia tamati
-Nimeshinda humu tangu jioni hadi vidole vinauma kisa kutype
-huu mfumo ulioanza leo wa kutembeza ban umenichosha sana maana muda si mrefu yatanikuta pia...
Ni ijumaa nyingine tulivu kabisa, nikiwa nafukiza udi nyumbani kwangu nikakumbuka kitu hiki, ukipishana na wanaume jamani ni aidha uzibe pua au ukubali kunukishwa harufu mbaya ya kwapa, inakuaje...
Tofauti kati ya "BAR" na "BRA" ni nafasi tu ya herufi "R". Ukifungua BAR, wanaume husherehekea. Ukifungua BRA, baadhi ya wanaume hupagawa. 😅 Sasa hebu fikiria ukitoka na msichana mzuri anayeitwa...
JF SIO MAMA WALA BABA YAKO
labda kama umeamua kuwa mjinga kama yeye, ila piga ignore, muache aendelee kujisemesha na ku-expose madudu yake.
Ule muda unaoenda kazini, mwenzako amekaa kwenye kochi...
Leo bi mkubwa kanicheki , kakuta naongea kilevi levi kazingua kinouma, nikafanya kumtumia 200k kimya kimya, baada ya muda , akaandika yaani ungekua hapa mwanangu , tungefurahi mno, leo...
Ni tetesi au habari zipi unazokumbuka ambazo zilivuma sana enzi hizo lakini hazikutokea.
Ninazozikumbuka ni pamoja na tetesi kamba dunia ingefika mwisho mwaka 2000. Nakumbuka kuna watu walikuwa...
Kuna uhusiano gan kati ya mlevi na mbwa
Huwez kuta mlevi anakimbizwa na mbwa badala yake humuona kama mpuuzi fulani kama alikuwa anabweka basi atasitisha
Walevi tupeni siri
Siku hizi wanajamii wa humu mmekuwa mnaringaa sijui mmeona nini jamani aisee .
Nimeomba msaada wanani anajua shamba za bei rahisi aniambie pangani au eneo lolote la Tanga kimya.
Mnashida gani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.