Katika miondoko ya pwani, wazee wetu husema: "Mwanamke ni siri ya nyumba, siyo dhoruba ya bahari."
Lakini unajua maana halisi ya gubu la kike? Ni ile tabia ya mwanamke kugeuza nyumba kuwa uwanja...
Tangu utotoni tunaambiwa mambo mengi ambayo tunayaamini bila kuyahoji. Kadri tunavyokua, tunagundua baadhi yake si ya kweli au hayafanyi kazi kwa kila mtu.
Kwa maoni yako, ni imani au ushauri...
Shalom Shalom taifa la Mungu.
Leo natamani tupige mastory ya jiji la Dar es Salaam.Kwanza kabisa nataka kuweka wazi kwamba hii habari ni kweli ila angalizo ni kwamba kuna baadhi ya mambo kama...
Race ya wanaume halisi inateketea kwa kasi ya ajabu mno.. Haya mambo tulizoea kuyaona kwa akina mama tena wa Uswazi.. Sasa leo ni wanaume tena viongozi wa dini 🙌🏿🙌🏿🙌🏿...
Kiuhalisia hakuna uthibitisho wa kisayansi au wa kifizikia kwamba leo ni Jumatatu, kwani jina hili si sheria ya asili kama vile mzunguko wa dunia, bali ni makubaliano tu ya kijamii yaliyoundwa na...
Nilienda dukani kununua mahitaji ya hapa na pale leo wikiend, mara pap kapita boda kapakiza dada anamzigo kama wote, ghafla nikasikia wamama wauza vitafanwa na supu wanasema " YALE MAKEBO...
Aisee toka ni mdiskave huyu dada nimekuwa addicted to her songs....
Alaf shemeji yenyu yupo nje anafua nguo mm nafanya kaziii zangu online,
Alafu in the background zinapigwa ngoma za SZA Oyaa...
Kuna content creator yupo Facebook, Instagram na Youtube Kazi yake kubwa kuuliza wapita njia makazi yao na kodi wanazo lipa.
Jiji la New York mtu analipa usd 2500 alafu anaishi sehemu ya ovyo...
Nimefungua uzi huu mahususi kabisa kutokana na uchovu unaotupata kwenye mida flani hivi makazini. Mara nyingi ikiwa bado masaa mawili au moja kutoka.
Kama na wewe ni mmojawapo naomba tuungane...
Usikae kinyonge
Usisononeke. Maisha bado yapo na siku hazigandi. Unayopitia walishayapitia wengine wewe si wa kwanza na wala hutakuwa wa mwisho
Pita hapa uone pia shuhuda za wengine
Changamoto...
Nimeona matangazo mengi ya kuhitaji vijana kwa ajili ya kazi mbalimbali, mfano: kazi za masokoni, za majumbani, minadani, za kibiashara, kutembeza vyombo, nguo n.k, lakini waombaji hawaonekani...
Huyu MwanaJF yuko wapi ni muda sasa hajaonekana hapa jukwaani.
Nimeona reply yake ya mwisho ni mwezi wa tisa mwaka jana.
Kabla ya uchaguzi.
johnthebaptist
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.