Ni mkoa gani unaukubali kwa Misosi?

Ni mkoa gani unaukubali kwa Misosi?

Richer

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2025
Posts
2,116
Reaction score
3,496
Habari wakuu,

Kwa wale tunaopenda kusafiri mikoa mbalimbali au hata wale tunaojivunia asili zetu, huwa kuna mkoa unaokubali kwenye mambo ya Misosi.

Mfano kuna mshikaji wangu yeye anapakubali sana Mara anasema Kuna Sato, sangara, dagaa, maziwa na nyama kwa sababu wakurya wanafuga sana ng'ombe

Kwa watu wa Pwani wanapasifia sana kwa Maankuli ya vitoweo kutoka baharini, watu wa Supu ya Pweza, Papa na ubwabwa wa nazi.

Zaidi wengi hupasifia Mbeya kwamba kuna vyakula vingi ila sijajua upande wa mapishi hali ikoje

1785328114233.png
 
Back
Top Bottom