Habari wana jamii. Leo ni siku muhimu sana ktk maisha yangu kwa kutimiza miaka kadhaa hapa duniani hivyo nimeona ni vizuri nanyi wanajamvi tufurahi pamoja.
Namshukuru sana Mwenyezi Mungu...
wasalaam wana JF...!
Baada ya kufuatilia kwa umakini mkubwa mwenendo wa bunge la 10, tangu kikao cha kwanza hadi hiki kinachoendelea sasa hivi, imenifanya kurudisha fikra nyuma na kuwakumbuka...
Watanzania wanachokihitaji ni maendeleo sio porojo zenu na magamba yenu. Kujivua magamba, kujipaka rangi, kufukuza mafisadi na mambo mengine kwenye yanayohusu chama chenu sisi watanzanai...
Nimegundua mob justice imehamia bungeni, kulikoni ? kanuni na taratibu za bunge zimepitwa na wakati? nani ana wajibu wa kuzi-ammend zikaendana na wakati tulionao?kuna mawazo tofauti? wasilisha!
Mke wa Yule fisadi papa Yusuph Manji amejikuta akipokea kichapo kutoka kwa mumewe baada ya kukutwa akiangalia kipindi fulani kutoka ITV, Kwa madai kuwa hakuna mtu yeyote katika ile familia...
A good woman is proud.
She respects herself and others.
She is aware of who she is.
She neither seeks definition from the person she is with, nor does she expect them to read her mind.
She...
Nimefuatilia na kubaini kuwa kasi ya CCM kusikiliza, Kujiuliza, Kujifunza na Kuchukua hatua ni ndogo mno. Mbaya zaidi Wana CCM ni wakaidi sana wanapoambiwa ukweli, huwa wanakuwa wakali na kutoa...
Picture From: "Tanzania Daima" April 15, 2011, Page 1
Jamani, watoto wetu wana-risk kifo kila siku wakivuka barabara hadi wanashikana mikono ili kupambana na kifo au kama ni kufa wafe pamoja...
KIBAO kimewageukia wafanyabiashara wakubwa wa mafuta nchini baada ya kudaiwa wamekuwa mstari wa mbele katika kufanya vitendo vya uchakachuaji, imeelezwa. MZALENDO ilielezwa kuwa kelele zilizokuwa...
Wana JF,
Nimejaribu kufikiria dira ya uongozi wa JK nimeshindwa. Miaka mitano imepita, sijajua alikuwa ana lengo gani hasa ambalo alilivalia njuga kuhakikisha linafanikiwa. Nilichokiana ni...
Wabunge wa ccm wanashangilia ushindi.
Ni vyema tukakukumbuka kuwa hata siku moja serikali iliyo madarakani haiwezi kuwa na nia ya dhati kubadilisha katiba bila kushinikizwa kufanya hivyo. Na...
Nilikuwa najiuliza na kufikiria uozo ulipo kwenye hii nchi hasa kwenye masuala ya mafisadi!Kwa kuwa uongozi wote uliojuu umeonyesha kushindwa kusimamia haki ipasavyo hali hii imesababisha kila...
ICC suspect loses Sh840m at Jomo Kenyatta International Airport
By Standard Reporters
Police are investigating the reported loss of hand luggage containing about Sh840 million in hard cash. The...
Taarifa kwa vyombo vya habari:
VIONGOZI KUTEKWA NYARA
UTABIRI WA MWEZI APRILI
"Kuanzia tarehe 19 April na kuendelea hadi July, viongozi wa siasa na wafanya biashara maarufu wajichunge...
hii serekali ya sisiemu kweli ni uoza mtupu,jana kwenye taarifa ya habari saa mbili usiku walionyesha tena ujuzi wao wa kuwadanganya wapiga kura wao wakulima ni kwa namna gani ni ma...
KWANINI MAFISADI WOTE HUTOKEA KASKAZINI,NYANDA ZA JUU NA SIO PWANI?
1) Jee huko maadili yamekuwa mabaya
2)Wajanja sana na wanajua matumizi tofauti na viongozi wa mikoa ya pwani?
Mama mkwe mpenda kuharibu ndoa ya mwanae kaenda kutibiwa nyumban kwa mwanae,bahati nzuri kamkuta mkwe wake mjamzito.....maroa miez imepita mtoto wa mwanamke mwenzie kajifungua dume la mbegu..mama...
After a luncheon hosted by the Queen in London in his honour, the former Ugandan leader Idi Amin had this to say for his vote of thanks. (Personally I cannot believe this is true.)
His...
kuwa na mpango thabiti wa kuakikisha watu hawa jamii ya kihindi haimilikishani haya majumba ya National Housing, kuwe na utaratibu wa kuakikisha waliopanga ni wenyewe kufuatana na orodha ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.