JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Habari wana jamii. Leo ni siku muhimu sana ktk maisha yangu kwa kutimiza miaka kadhaa hapa duniani hivyo nimeona ni vizuri nanyi wanajamvi tufurahi pamoja. Namshukuru sana Mwenyezi Mungu...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
wasalaam wana JF...! Baada ya kufuatilia kwa umakini mkubwa mwenendo wa bunge la 10, tangu kikao cha kwanza hadi hiki kinachoendelea sasa hivi, imenifanya kurudisha fikra nyuma na kuwakumbuka...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Watanzania wanachokihitaji ni maendeleo sio porojo zenu na magamba yenu. Kujivua magamba, kujipaka rangi, kufukuza mafisadi na mambo mengine kwenye yanayohusu chama chenu sisi watanzanai...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Nimegundua mob justice imehamia bungeni, kulikoni ? kanuni na taratibu za bunge zimepitwa na wakati? nani ana wajibu wa kuzi-ammend zikaendana na wakati tulionao?kuna mawazo tofauti? wasilisha!
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mke wa Yule fisadi papa Yusuph Manji amejikuta akipokea kichapo kutoka kwa mumewe baada ya kukutwa akiangalia kipindi fulani kutoka ITV, Kwa madai kuwa hakuna mtu yeyote katika ile familia...
0 Reactions
14 Replies
7K Views
A good woman is proud. She respects herself and others. She is aware of who she is. She neither seeks definition from the person she is with, nor does she expect them to read her mind. She...
0 Reactions
0 Replies
914 Views
Nimefuatilia na kubaini kuwa kasi ya CCM kusikiliza, Kujiuliza, Kujifunza na Kuchukua hatua ni ndogo mno. Mbaya zaidi Wana CCM ni wakaidi sana wanapoambiwa ukweli, huwa wanakuwa wakali na kutoa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Picture From: "Tanzania Daima" April 15, 2011, Page 1 Jamani, watoto wetu wana-risk kifo kila siku wakivuka barabara hadi wanashikana mikono ili kupambana na kifo au kama ni kufa wafe pamoja...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
KIBAO kimewageukia wafanyabiashara wakubwa wa mafuta nchini baada ya kudaiwa wamekuwa mstari wa mbele katika kufanya vitendo vya uchakachuaji, imeelezwa. MZALENDO ilielezwa kuwa kelele zilizokuwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
nisome PM zenu woooooote.... nani kamtongoza nani..... ...kila nikiboreka ningekuwa naingia JF na kuanza kusoma Pm zenu baaasi!,umbea kwetu suna!:teeth::teeth::panda:
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Wana JF, Nimejaribu kufikiria dira ya uongozi wa JK nimeshindwa. Miaka mitano imepita, sijajua alikuwa ana lengo gani hasa ambalo alilivalia njuga kuhakikisha linafanikiwa. Nilichokiana ni...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wabunge wa ccm wanashangilia ushindi. Ni vyema tukakukumbuka kuwa hata siku moja serikali iliyo madarakani haiwezi kuwa na nia ya dhati kubadilisha katiba bila kushinikizwa kufanya hivyo. Na...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Nilikuwa najiuliza na kufikiria uozo ulipo kwenye hii nchi hasa kwenye masuala ya mafisadi!Kwa kuwa uongozi wote uliojuu umeonyesha kushindwa kusimamia haki ipasavyo hali hii imesababisha kila...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
ICC suspect loses Sh840m at Jomo Kenyatta International Airport By Standard Reporters Police are investigating the reported loss of hand luggage containing about Sh840 million in hard cash. The...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Taarifa kwa vyombo vya habari: VIONGOZI KUTEKWA NYARA UTABIRI WA MWEZI APRILI "Kuanzia tarehe 19 April na kuendelea hadi July, viongozi wa siasa na wafanya biashara maarufu wajichunge...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
hii serekali ya sisiemu kweli ni uoza mtupu,jana kwenye taarifa ya habari saa mbili usiku walionyesha tena ujuzi wao wa kuwadanganya wapiga kura wao wakulima ni kwa namna gani ni ma...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
KWANINI MAFISADI WOTE HUTOKEA KASKAZINI,NYANDA ZA JUU NA SIO PWANI? 1) Jee huko maadili yamekuwa mabaya 2)Wajanja sana na wanajua matumizi tofauti na viongozi wa mikoa ya pwani?
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Mama mkwe mpenda kuharibu ndoa ya mwanae kaenda kutibiwa nyumban kwa mwanae,bahati nzuri kamkuta mkwe wake mjamzito.....maroa miez imepita mtoto wa mwanamke mwenzie kajifungua dume la mbegu..mama...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
After a luncheon hosted by the Queen in London in his honour, the former Ugandan leader Idi Amin had this to say for his vote of thanks. (Personally I cannot believe this is true.) His...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
kuwa na mpango thabiti wa kuakikisha watu hawa jamii ya kihindi haimilikishani haya majumba ya National Housing, kuwe na utaratibu wa kuakikisha waliopanga ni wenyewe kufuatana na orodha ya...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Back
Top Bottom