Fisherscom
JF-Expert Member
- Mar 13, 2008
- 1,763
- 764
Habari wana jamii. Leo ni siku muhimu sana ktk maisha yangu kwa kutimiza miaka kadhaa hapa duniani hivyo nimeona ni vizuri nanyi wanajamvi tufurahi pamoja.
Namshukuru sana Mwenyezi Mungu kunijalia uhai na afya njema.
Ahsanteni!
Namshukuru sana Mwenyezi Mungu kunijalia uhai na afya njema.
Ahsanteni!