Natamani ningekuwa Invizibo.....

Jestina

JF-Expert Member
Jan 6, 2011
4,831
1,707
nisome PM zenu woooooote....
nani kamtongoza nani.....
...kila nikiboreka ningekuwa naingia JF na kuanza kusoma Pm zenu baaasi!,umbea kwetu suna!:teeth::teeth::panda:
 
utasutwa mtoto wewe!ndio ukute mtu wako anatongozwa kwa Pm ameshaweka na appointment sijuii utafanyeje!utajuta
 
nisome PM zenu woooooote....
nani kamtongoza nani.....
...kila nikiboreka ningekuwa naingia JF na kuanza kusoma Pm zenu baaasi!,umbea kwetu suna!:teeth::teeth::panda:
watu watakugongea groan hadi utakoma
 
utasutwa mtoto wewe!ndio ukute mtu wako anatongozwa kwa Pm ameshaweka na appointment sijuii utafanyeje!utajuta


huoni nikiona ndio nitajua nimfanyeje kama nimbwage au vipi,nikiona majibu yake nitajua kama ana msimamo au la :bored::tape::A S 2152:
 
Hivi Pm ni kwa ajili ya kutongozana, Mbona sijatongozwa huko
 
Natamani nikeshe nawe Invisible sura yako inanivutia sana:love::love: hope unavaa kiatu namba 9
 
Back
Top Bottom