Mama mkwe mpenda kuharibu ndoa ya mwanae kaenda kutibiwa nyumban kwa mwanae,bahati nzuri kamkuta mkwe wake mjamzito.....maroa miez imepita mtoto wa mwanamke mwenzie kajifungua dume la mbegu..mama mkwe akaanza visa..mtoto c wa mwanangu huyu,,mke wa jamaa akakaa kimya kisha akamjibu.."samahani mama mimi nina kizazi sina photocopy mashine" ...haha ahhahahahahahah